Rais Magufuli Alivyompa MIL 3, Mtoto Shujaa!
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 28 ก.ย. 2024
- MBELE YA JPM: Ajitokeza Mtoto Shujaa, Amkabidhi MIL 3!
Ziara ya Rais Magufuli mkoani Morogoro imeendelea tena leo, baada ya kaunza jana ambapo alifanikiwa kuzindua barabara ya Ifakara.
Akiwa Njiani kulekea wilayani Kilombero, ambapo atazindua daraja la Mto Kilombero, Wananchi wa kijiji cha Sanje wamesimamisha msafara wake na kuzungumza nae kuhusiana na kero zinazowakabili.
lnstal GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis. .
TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1
kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishe... FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .
Jembe Lipo kazini! ubarikiwe na Mungu
mungu akuongoze na kukupa maisha marefu
hongera boss wangu nakukubali sana
amazing & wonderful presdent
mung akubarik rais wetu
my presidaar lov u. God bless u
Asante BABA
Mungu akutangulie mheshimiwa.
Maana bila kutokuwepo kwa choo/ vyoo kuna hatarisha mengi
baba mungu akusaidie rais wetu
Bila kupepesa macho, tutafika mbali kwa kasi hii ya JPM
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
baba umetisha pigs kaz mbaba.
baba tunakuombea mpaka tuzeeke jamani chaguo letu haaa
MMMT, UWOP na vingine vyote vimekufa karibu mang'ula karibu kilombero
mm
asante baba
safi
tunakuombea baba safisha mafisadi wote na sisi wengine tuliokimbilia nchi za watu kutafuta kazi tuweze kurudi nchini kwetu.
BWANA AKUTANGULIE
Ni Mkombozi wa wanyonge hasa wakulima wadogowadogo, big up.
Hapa kazi tu.
Wewe jembe bwana namuomba Mungu mwanangu aje kuwa kama Wewe
HALAFU 2020 UNAZUNGUMZA MASWALA YA FISADI LOWASSA? BIG BARLUNEY !!!!!!!!!!!!!!!!!
godfrey mbwambo kiumbe mafisad unawajua? Bas huyu MTU ndii fisad mkubwa haijawahi tokea nakuambia ,ebu niambie kipind cha miaka 3amefanya nn hasaa? Niambie tu wala usiwe na hasira,baada ya hapo ntakujibu
Safi sana jpm