GPS: Wapalestina wapokea kwa furaha sitisho la vita Gaza, warudi, Mateka 3 wa Israel waachiwa

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 31 ม.ค. 2025

ความคิดเห็น • 231

  • @HajiKabacalaf-kv7fd
    @HajiKabacalaf-kv7fd 11 วันที่ผ่านมา +26

    Mungu wewe ni wa haki Linda watu wa Gaza,,Quds,westbank,na misikiti mtukufu wa baitul maqdis. Asanteni. Sana Dj sma. Ali masubi. Kwa uchambuzi. Mm kutoka mombasa kenya. Nawategea

  • @KarimAthumani-vj4pf
    @KarimAthumani-vj4pf 10 วันที่ผ่านมา +3

    Kaka Ally masubi umezidi kuimarika kwenye uchambuzi wa siasa za kimataifa... i wish you all the best

  • @OmerSuley-gl7go
    @OmerSuley-gl7go 9 วันที่ผ่านมา +1

    Leo GPS ni ya tofauti😊 sana ila ipo siku Palestine itasimama tena inshaallah ❤

  • @zulfaibrahim1929
    @zulfaibrahim1929 11 วันที่ผ่านมา +3

    Nawaenda sana mola awalinde ‘ nipo Toronto Canada✌️

  • @Shadia544
    @Shadia544 11 วันที่ผ่านมา +9

    Alhamdulillah 😢😢waliokufa mungu hawapunguzie adhabu ya kaburi😢😢😢😢

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 11 วันที่ผ่านมา

      Kipenzi changu hujambo

  • @MohammadiSefu
    @MohammadiSefu 11 วันที่ผ่านมา +6

    Nashukru mungu kwa kuwaona mkosalam napia kua na afya nzuri, nawakubali sana nawatazam nikiwa mwanza tanzania.

  • @salumadam2862
    @salumadam2862 11 วันที่ผ่านมา +10

    Mungu awape maisha malefu mnafanya kazi kubwa sana

  • @HusseinAli-g9w
    @HusseinAli-g9w 11 วันที่ผ่านมา +8

    Dj smaa 👏Gps🔥🔥🔥

  • @mohamedaley5632
    @mohamedaley5632 11 วันที่ผ่านมา +5

    Kubali mno dj smaa... big up

  • @mozamoza3960
    @mozamoza3960 11 วันที่ผ่านมา +8

    Alhamdulillah kwa kweli

  • @MsangoDiesel
    @MsangoDiesel 11 วันที่ผ่านมา +2

    Ally masubi Sasa amekuwa Bora Sana mbeleni atakuwa Atari kwenye uchambuzi ❤ djsma anamwachia muda wa kumwaga Sera Ally masubi tunaendelea kupata vitu vya hatari Sana Asante kwa sky bundura kwa kuwa na mvuto kwa voko

  • @عرفانشرف
    @عرفانشرف 11 วันที่ผ่านมา +3

    Asanteni sana kwa ufahamu wenu mungu awabariki

  • @aysherkabby5937
    @aysherkabby5937 11 วันที่ผ่านมา +3

    Mungu awabariki sana... Allahadullillah!! 🙏🙌

  • @MwidaniAbdulmalik
    @MwidaniAbdulmalik 11 วันที่ผ่านมา +3

    Haki ni haki ila ukweli hauzami mungu aijale hii dunia iwe na amani
    Wanwaji damu huwa hawachoki isipokuwa Mungu ana mipango yake🇯🇴🇯🇴🇯🇴

  • @exodusezekielkaitira6238
    @exodusezekielkaitira6238 11 วันที่ผ่านมา +1

    Bora vita imeisha waarabu weusi na waisraeli weusi nao wapoe kutofautiana waangalie ya nchini mwao sasa.. ila big up sana one of the best channel kwenye maswala ya uchambuzi wa siasa za nnje 🙌🙌

    • @neemanyove9130
      @neemanyove9130 11 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂

    • @SaumuIssa-zl1vy
      @SaumuIssa-zl1vy 9 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂😂😂😂😂

  • @FaudhuHamza
    @FaudhuHamza 11 วันที่ผ่านมา +9

    Nawakubali kwa kuteletea habari nzuri za Palestine

  • @daudinyello4033
    @daudinyello4033 10 วันที่ผ่านมา

    Good

  • @hassangaddafi2347
    @hassangaddafi2347 11 วันที่ผ่านมา +2

    Shukran wamkuu

  • @shifaaal-baity4503
    @shifaaal-baity4503 11 วันที่ผ่านมา +6

    Viva Gaza vivaaa 🎉

  • @AmbweneKaini
    @AmbweneKaini 11 วันที่ผ่านมา +4

    Smaa, Ali na bundara nawafuatilia sana Mimi GPS nawakubali sana

  • @benjaminibirama6664
    @benjaminibirama6664 11 วันที่ผ่านมา

    Good 👍

  • @ReyzDon
    @ReyzDon 11 วันที่ผ่านมา +7

    Nimeona mateka Wa Israel wako na Hali nzuri sana

    • @asmaalghafri449
      @asmaalghafri449 11 วันที่ผ่านมา +3

      😅Wapalastine wamepigana ki haki hawatesi mateka wala kuuwa watoto wala wazee lakini mayahudi wametaka kuwauwa wote kwa urithi wa nchi dhulma haifainikiwi nchi 38 na matajiri wote wa America wamesaidia kuwauwa lakini mwenyezi mungu mkubwa jamasi peke yao wamewanyima maji chakula dawa laki mwenyezi mungu ashukuriwe moto unawasubiri

    • @GeraldElias-s7j
      @GeraldElias-s7j 11 วันที่ผ่านมา

      ​@@asmaalghafri449October 7 waliua wanajeshi pekee au waliua wote

    • @OnesmoEphrata
      @OnesmoEphrata 11 วันที่ผ่านมา

      Una ongea Nini na wewe hauna sera Nini??

  • @Samwel_tz
    @Samwel_tz 11 วันที่ผ่านมา

    Gps 🔥🔥

  • @sharifahabsi5004
    @sharifahabsi5004 11 วันที่ผ่านมา

    Pamoja sns🎉

  • @HusseinHassan-p7g
    @HusseinHassan-p7g 11 วันที่ผ่านมา +3

    Mungu ajalie usitaji wavita uwe wenye kudumu na uwe wamda mrefu

  • @SalimSaid-z5y
    @SalimSaid-z5y 11 วันที่ผ่านมา +3

    Kila siku nilikuwa nawaombea duwa kwa mungu vita visimame

    • @NikrahAyubu
      @NikrahAyubu 11 วันที่ผ่านมา +1

      Amiin ALLAH amepokea Dua zenu

    • @SalimSaid-z5y
      @SalimSaid-z5y 11 วันที่ผ่านมา

      @NikrahAyubu kweli ni duwa za watu wegi

  • @KarimShabaniNAHIMANA
    @KarimShabaniNAHIMANA 11 วันที่ผ่านมา +1

    Léo mmecelewa sana

  • @HalimaGalgalo-d1g
    @HalimaGalgalo-d1g 11 วันที่ผ่านมา

    Goodjob guys

  • @ttss7716
    @ttss7716 11 วันที่ผ่านมา

    Wakwende uko Allah ndo mwenye hii dunia 😂😂😂❤❤❤❤❤❤

  • @ttss7716
    @ttss7716 11 วันที่ผ่านมา

    Wakwende ndo mungu aka wakata 😢😢😢😢😢kwa vitabu zake huyo nyeta nyau akwende uko laanatullah 😢😢😢😢😢

  • @MaurusMpinga
    @MaurusMpinga 11 วันที่ผ่านมา +3

    Smaa kaongea point leo sababu yuko nje

    • @abdalahngozi5455
      @abdalahngozi5455 11 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂yaan nasoma comments ata cckii

  • @kingnass6410
    @kingnass6410 11 วันที่ผ่านมา +2

    Yaani sky mpaka kiarabu unaanza kuzungumza sasa 😂😂

  • @MustaphMtangenange
    @MustaphMtangenange 11 วันที่ผ่านมา +1

    ❤❤❤❤

  • @kassimrajabu7805
    @kassimrajabu7805 11 วันที่ผ่านมา +1

    Tumeisubiri sana

  • @Khatib-iv9pb
    @Khatib-iv9pb 11 วันที่ผ่านมา +6

    Wala hawazidishiwi madhwalim ispokua hasara, free palestine❤Hamas ndio jeshi Bora duniani, km Kuna miujiza bs na huu ndio muujiza mkubwa wa Karne hii, Hy jiulize Hamas wameisha au nd bado mnaendelea kuliombea taifa la mungu???

    • @KhalidiBoaz
      @KhalidiBoaz 11 วันที่ผ่านมา +1

      Hoja rahisi,UKIANZISHA VITA HARAFU UKAOMBA VITA IISHE AU SURUHU TAFASIRI RAHISI NI KUWA UMESHINDWA VITA

    • @raymrash
      @raymrash 11 วันที่ผ่านมา

      @@Khatib-iv9pb muujiza wa kupoteza wanawake na watoto na majengo! Kweli ninyi mna shida🤨🤨😹

    • @raymrash
      @raymrash 11 วันที่ผ่านมา

      @@KhalidiBoaz Bora wewe muislamu mmoja Mwenye akili

    • @AbdallahSumbinyo-ln9qi
      @AbdallahSumbinyo-ln9qi 11 วันที่ผ่านมา

      ​@@raymrashvita ni malengo wewe! Malengo ya hamasi ni kuhakikisha mateka wooote wanarudi Gaza ila malengo ya Israel ilikuwa ni kurudisha mateka Kwa nguvu na kuiangamiza hamasi yooote! Sasa nikuulize swali moja tu kama wwe una akili timamu
      Je! Mateka wa Israel walipatikana Kwa vita??
      Mbili ,je hamasi wameisha??
      Ukitoka jibu basi ujue vita ilikuwa ngumu sana na Israel wameshindwa vita coz malengo yao hayajatimia! Kuwauwa hamasi wooote na kuwarudisha mateka Kwa nguvu(kijeshi)

  • @mndambokilavo2502
    @mndambokilavo2502 11 วันที่ผ่านมา +2

    Marekani anapata hasara kwa vita vya Israel na Ukraine, lakini ukiangalia Marekani anapata faida kutoka saudia arabia trump ni mfanyabiashara hataweza kukubali hasara kwa vita ambavyo havina maana

  • @majidiabduli
    @majidiabduli 11 วันที่ผ่านมา +2

    Daaaa!! nimesubir kwa hamu zote tokaa saa 1 nimekuwa niki chungulia tu 😂🎉

  • @SalumuMisigaro
    @SalumuMisigaro 11 วันที่ผ่านมา +10

    Tuna omba uwe ndio mwisho wa vita na Palestina wapewe ardhi yao na uhuru wao In Shaa Allah.
    From river to the sea, Palestina will be free ❤❤❤❤❤❤ soon In shaa Allah.

    • @Latifahhassan-lr8ew
      @Latifahhassan-lr8ew 11 วันที่ผ่านมา +1

      In Shaa Allah Palestina itakuwa huru, kila lenye mwanzo lina mwisho na baada ta dhiki ni faraja.

    • @Latifahhassan-lr8ew
      @Latifahhassan-lr8ew 11 วันที่ผ่านมา +1

      Viva Palestina! Viva Palestina ❤❤❤❤❤❤

  • @grhr1616
    @grhr1616 11 วันที่ผ่านมา

    Allah akbar

  • @MikelSitoe
    @MikelSitoe 11 วันที่ผ่านมา +2

    Ben Giver mwizitu Hawezi kuto boa bila wizi wa ardhi😂😂😂😂😂

  • @abdullahmapesa
    @abdullahmapesa 11 วันที่ผ่านมา +1

    ⭐⭐⭐⭐⭐

  • @MwalamiMngombe-mk3fk
    @MwalamiMngombe-mk3fk 11 วันที่ผ่านมา +1

    Nawakubari sio waongo

  • @JohnoAbdoul
    @JohnoAbdoul 11 วันที่ผ่านมา +1

    Hi. Nawafata nikiwa France

  • @AwadAbedalla
    @AwadAbedalla 11 วันที่ผ่านมา +3

    🇪🇸🇪🇸🤔👍👍👍👍👍🇯🇴🇯🇴🇯🇴🇯🇴🇯🇴🇯🇴❤️❤️

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 11 วันที่ผ่านมา +4

    Ali 😂usifananishe amas na sisi wa Africa ukionahivo juwa kuna msaliti aliosaliti uganda ndo maana walijuwa mapema

  • @kanukanute1514
    @kanukanute1514 11 วันที่ผ่านมา +3

    Anaitwa naftal benet

    • @djsma255
      @djsma255 11 วันที่ผ่านมา +1

      Thnx

  • @EdwardRweyendera
    @EdwardRweyendera 11 วันที่ผ่านมา

    Ni huruma tu kola siku watu mia wanakufa makubaliano ni muhimu

  • @ErickWankuru
    @ErickWankuru 11 วันที่ผ่านมา

    Nyie Vita siyo poa

  • @Benedict-e4t
    @Benedict-e4t 11 วันที่ผ่านมา +1

    Nawapenda tuu hamas

  • @SAYMOEKARIM
    @SAYMOEKARIM 11 วันที่ผ่านมา +2

    SnS 🎉🎉🎉 juu #
    HAMASI 🚨 wamehesimisha wale wote wapigania ukombozi na uhuru .
    bila damu hakuna kinachokuja kwa mdomo !
    marekani na nduguze wamehangaika kazi ilikuwa kuua raia2

    • @kayagoAziza-z2c
      @kayagoAziza-z2c 11 วันที่ผ่านมา

      Kabisa mungu azidi kuwapa nguvu

    • @raymrash
      @raymrash 11 วันที่ผ่านมา

      @@SAYMOEKARIM raia akishika silaha huyo sio raia tena! Ni mwanamgambo

  • @bishweko
    @bishweko 11 วันที่ผ่านมา +1

    UN wapeleka Upelelezi huko si msaada TU tunajua UN ndio wako nyuma ya Israel

  • @JOHNMAWILLO
    @JOHNMAWILLO 10 วันที่ผ่านมา

    Hawa wa Sasa walifichwa haijulishi kilometa ngapi kufichwa ni jambo gumu

  • @raymrash
    @raymrash 11 วันที่ผ่านมา +2

    Kuanzisha vita na mwisho kuomba isimame; ni KUSHINDWA VITA!

    • @DaudiJoseph-s1s
      @DaudiJoseph-s1s 11 วันที่ผ่านมา

      Watu wanomba amani wewe unaomba upuuzi .sasa kama kushindwa ndio nn sasa wewe kweri mwehu.

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 11 วันที่ผ่านมา

    Leo uchambuzi wenu haujawa fresh,,,

  • @AFRICA_D669
    @AFRICA_D669 11 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu awenao nakufuta kumbukumbu mbaya zote za kivita ,,,zilizo waharibu kisaikolojia

    • @raymrash
      @raymrash 11 วันที่ผ่านมา

      @@AFRICA_D669 wasirudie tena kuchokoza Israel

    • @zainabzanzibar1518
      @zainabzanzibar1518 11 วันที่ผ่านมา +1

      ​@@raymrashsasa aleanza kumteka mwenzie ni nani mbona mnajitoa data nyinyi ndugu zetu

    • @raymrash
      @raymrash 11 วันที่ผ่านมา

      @zainabzanzibar1518 sio kujitoa data ... Elewa kuwa HAMAS waliteka raia wasio na hatia, Israel alikamata wahalifu wanaoshukiwa kwa ugaidi na kuwafunga kwenye magereza yake...kwa hiyo tofautisha mwenyewe kati ya magaidi na raia wasio na hatia.

    • @zainabzanzibar1518
      @zainabzanzibar1518 11 วันที่ผ่านมา

      @raymrash ukisema ugaidi wanaoongoza ugaidi duniani wanaeleweka sasa mtu akidai uhuru anaitwa gaidi katika nchi yake hakiingii kitu chochote bila wao kukagua kila kitu mpaka wakague na wengine walikuwa wanapigwa ndani ya misikiti ila yalikuwa yayatangazwi na vyombo Fulani hivi kwasababu ni wenzao ila walipolipiza Hammas kwakuona dhulma imezidi ndio wanaonekana wabaya ila ata hivyo wapalestana wamechoshwa na wanachofanyiwa na waisrael ambao mbaosema ni taifa la Mungu ila sijui mataifa yetu sijui ya nani

    • @AFRICA_D669
      @AFRICA_D669 11 วันที่ผ่านมา

      @@raymrash hujui husemalo

  • @JOHNMAWILLO
    @JOHNMAWILLO 10 วันที่ผ่านมา

    Ni hivi kaka zangu wale walopelekwa Uganda hawakufichhm

  • @jacobmsuku5765
    @jacobmsuku5765 11 วันที่ผ่านมา

    Huyo bwana Myemeni hajui anachoongea maana hayo yanatokea yangetokea kwake ,sijui kama angesema hayo

  • @mohamedaley5632
    @mohamedaley5632 11 วันที่ผ่านมา +1

    Nawapongeza mno watu wa Gaza kwa Subra walionesha na ushindi mkubwa kwa wapalestina na mashujaa wasiopgika na mazayun Hamas

  • @hatibumohamedi3471
    @hatibumohamedi3471 11 วันที่ผ่านมา +6

    Team mashoga awaamini macho yao hii ndio islamic power 😂😂 33 kwa 1000 😂😂

    • @BarakaKusalula
      @BarakaKusalula 11 วันที่ผ่านมา

      Usisahau watu wa Gaza wameuawa zaidi ya 50 thousand,Sasa hapo utajua ni wapi Kuna hasara zaidi

    • @AminaMtatuu
      @AminaMtatuu 11 วันที่ผ่านมา

      Iko hivi mateka watatu raia wa ISRAELI sawasawa na mateka 30 wa KIPALESTINE, MATEKA MMOJA WA KIISRAEL MWANAJESHI, NI sawasawa na wapalestine 50.

    • @AminaMtatuu
      @AminaMtatuu 11 วันที่ผ่านมา +2

      UKITAKA UKOMBOZI LAZIMA DAMU IMWAGIKE, KTK WATU WAPO STRONG KTK IMANI ZAO HAWAOGOPI ARE PALESTINIANS NAISHI NA MPALESTINE SO THEY ARE MORE THAN STRONGER PEOPLE

    • @ttss7716
      @ttss7716 11 วันที่ผ่านมา

      Si hata hatuna fujo 😂😂😂😂😂 kaa utulie si ata mukae miaka mia hiyo iko kila kwa kila kitabu😢😢😢😢😢😢

    • @MamuRashid-i1t
      @MamuRashid-i1t 10 วันที่ผ่านมา

      ​@@BarakaKusalulajee na wewe unajua majeshi ya Israel wamekufa wangapi?au unasema kuhusu palestina tu

  • @novatv5575
    @novatv5575 8 วันที่ผ่านมา

    Bro unapwsa kuweka watu wenye mitazamo rofaytinkuchangia mada SIO kuweka wote wanaopendelea hamas

  • @comics3437
    @comics3437 11 วันที่ผ่านมา +1

    Leo mpo jikoni kabisa

  • @jeremialauden
    @jeremialauden 11 วันที่ผ่านมา +1

    HAMAS N WAZO WAZO HUWA HALIFI

  • @abrahamhabarugira2483
    @abrahamhabarugira2483 11 วันที่ผ่านมา +3

    Inabidi siku moja dj Sma uje na makala ya kutafautisha wa zayuni na wa yahudi wenye kufata taurati ya Moussa na tufaham kuwatafautisha kimavazi itakuwa jambo la mana sana dj Sma

    • @raymrash
      @raymrash 11 วันที่ผ่านมา

      @@abrahamhabarugira2483 ili iweje

    • @djsma255
      @djsma255 11 วันที่ผ่านมา

      Tayari nikoshaifanya na ipo sns

    • @paschalcharles3617
      @paschalcharles3617 11 วันที่ผ่านมา

      Kwanza KABISA torati ya Musa inasema mwanamke asivae mavazi ya KIUME Sasa ona wazayuni wa kike wanavyovaa suruali za kubana matako 🚮

    • @BarakaKusalula
      @BarakaKusalula 11 วันที่ผ่านมา

      Trump ndy chanzo Cha hii vita na kaa ukijua kama vita ikirudi tena Trump ataongeza nguvu zaidi ya hii iliyotumika awali

    • @abrahamhabarugira2483
      @abrahamhabarugira2483 11 วันที่ผ่านมา

      @@djsma255 inaitwa aje Dj Sma

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 11 วันที่ผ่านมา

    Hawa mateka ni mbinu ,tyu ,,watajua pia ni wapi huwa wanawaficha

  • @selemaniigosha
    @selemaniigosha 11 วันที่ผ่านมา +3

    Waislamu mnajipa moyo sana hakka shetan ndo anawaongoza ili mzid kupotea mtaisha mpokeen YESU ili mjiepushe na ugaid huo!!!

    • @RajbuMussa
      @RajbuMussa 11 วันที่ผ่านมา

      ugaidiupi unaouwonaww

    • @hanifa9153
      @hanifa9153 11 วันที่ผ่านมา +5

      Wew ndo ubaki na yesu wako ili uishi milele apa dunia usipatwe na umauti😅 tuache cc waislam tuteseke hatuwezi kuachia ardhi ya manabii ichukuliwe na mashoga wenu

    • @fadhilngalanda7520
      @fadhilngalanda7520 11 วันที่ผ่านมา +2

      Ebu hiyo akili iweke kwenye uelewa basi ujuwe Yesu anajulikana na kila mtu hapo ulipo Yesu humjuwi ukiulizwa Yesu ni nani humjuwi tukikuuliza Nini maana ya gaidi hujuwi alafu unaropokwa asa wewe ndio huyo shetani

    • @Awatee
      @Awatee 11 วันที่ผ่านมา +3

      Kaa kwa kutulia nani alikwambia waislam hawamjui Yesu tafuta kazi ufanye upunguze ufukara wa akili na mawazo mabovu

    • @raymrash
      @raymrash 11 วันที่ผ่านมา +1

      @@selemaniigosha kabisa Uislamu ni dini ya shetani mwenyewe kabisa.

  • @MejackPaul
    @MejackPaul 11 วันที่ผ่านมา

    Kpnd ongeza muda jmn

  • @ttss7716
    @ttss7716 11 วันที่ผ่านมา

    We sky me sikujui but naona upendi amani we juwa dunia imeisha kama ulifanya mambo yako ya siri fanya tobaa 😅😅😅😅😅😅

  • @WadySaidi
    @WadySaidi 11 วันที่ผ่านมา

    Sio waparestina tu na waisraeli pia

  • @alfredbernard5801
    @alfredbernard5801 10 วันที่ผ่านมา

    Ukuta wa kuegemea na glasi ya maji inamaana kubwa kuliko unacho kisikia
    Nionavyo Mimi hakumaanisha ukuta tunaoujua sisi Wala glasi hii ya maji tuijuayo sisi

  • @zulfaibrahim1929
    @zulfaibrahim1929 11 วันที่ผ่านมา

    Hamas hawana nguvu yoyote ni Mola tu anawasaidia

  • @MarckMasaki
    @MarckMasaki 11 วันที่ผ่านมา

    Mashoga wameshindw vita,yani mateka3 wapelestina 901 ,vip wamerudi na mimba au walisema hamasi ni wabakaji.mbona wamerudi na afya njema

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 11 วันที่ผ่านมา

    Mungu ni mwema wapalestina wapo na amani. Big up Trump kwa mkumshinikiza Netanyau kumaliza Vita

  • @KhalidiBoaz
    @KhalidiBoaz 11 วันที่ผ่านมา +1

    UKIANZISHA VITA THEN UKAOMBA VITA VISITISHWE MAANA YAKE UMESHINDWA VITA TOTALLY

    • @GeraldElias-s7j
      @GeraldElias-s7j 11 วันที่ผ่านมา

      Alieanzisha vita ni nani sasa

  • @ramadhanmazije3882
    @ramadhanmazije3882 11 วันที่ผ่านมา

    Si walisema hawaongei na magaidi imekuaje tena!

    • @Robert-t3f8p
      @Robert-t3f8p 11 วันที่ผ่านมา

      😅😅😅magaidi wamewashika madakoni mwao

  • @Kulindwa
    @Kulindwa 11 วันที่ผ่านมา

    Middle east inaelekea ukingoni kujiondoa kwenye mitafaruku ya vurugu zenye kusababishwa na mitazamo ya kidini zaidi, jamii hiyo inaelekea kufukia tofauti hizo kwa ajili ya mwanzo mpya Wa waarabu na waebrania kuishi pamoja kwa amani ya utulivu ukiwemo utulivu wa kidini, Syria inatulia...

  • @BarakaKusalula
    @BarakaKusalula 11 วันที่ผ่านมา +2

    Sijaelewa vizuri Uchambuzi wa Asma Kwamba Hamas ipo imara sana na wanashangilia zaidi ila nachojua Wanaoumia zaidi ni raia wasio na hatia haasa wanawake,watoto&wazee ,Hiyo ni hatari sana

    • @Bahati47
      @Bahati47 11 วันที่ผ่านมา

      Hii imeipa ushindi HAMASI hata kwenye vyombo vya Israel wanasema hivyo maana lengo la neta nyahu nikuuwa HAMASI wote kwahiyo mpaka Leo hamasi wameonaka Bado ni wengi sana kana kwamba hawakupigwa na makombora mazito mazito

    • @Robert-t3f8p
      @Robert-t3f8p 11 วันที่ผ่านมา

      Sasa ww unakataa Nini ebu weka ufafanuzi wako.ss tunajua mateka hawakupatikana tangia mwanzo mpaka ss wamepo simamisha vita walikuwa hawajapatikani.hay hamas Bado ipo na wanaonesha wao dhahili kuwa wapo imara.pia hamas imeonesha dhahili Bado wanaushawishi mkubwa san ndani ya Gaza na palestina na mwisho Israel imekubali matakwa ya hamas.kwhy hapo lazm umpe ushindi japo ndio hvyo hauwez kusamin kw 7bb roho inauma san😅😅😅

    • @Robert-t3f8p
      @Robert-t3f8p 11 วันที่ผ่านมา

      Ww mshenzi sana Yani umeona watoto,wanawake na wazee haujaona vijana wenzako na wababa akili za pumba hzo

    • @BarakaKusalula
      @BarakaKusalula 10 วันที่ผ่านมา

      @@Robert-t3f8p Akili zako haziko sawa ,Mimi ni maoni yangu sasa kwanini unajibu kwa Jazba hivyo? Toa maoni Yako hata bila matusi utaeleweka acha hizo ni ujinga huo

  • @OmarSongoro-bp9pn
    @OmarSongoro-bp9pn 11 วันที่ผ่านมา +2

    Tupe tathimini ya vita je nani mshindi au nani mshindwa katika vita hiiii

    • @raymrash
      @raymrash 11 วันที่ผ่านมา +1

      @@OmarSongoro-bp9pn mwenyewe..."ukianzisha ugomvi, ukaona unalemewa, ukaomba ugomvi uishe maana yake nini, umeshinda au umeshindwa!?

    • @OmarSongoro-bp9pn
      @OmarSongoro-bp9pn 11 วันที่ผ่านมา

      @raymrash tusaidiane tufahamishane nani aliyeanzisha ugomvii katika hawaaa maana hii vita wengi wameingia katika ushabikii bila kujua kitu

    • @raymrash
      @raymrash 11 วันที่ผ่านมา

      @OmarSongoro-bp9pn kuwa specific Ugomvi upi

    • @paschalcharles3617
      @paschalcharles3617 11 วันที่ผ่านมา +1

      Ukweli ni kwamba mshindi ni HAMAS Kwa sababu Israel aliingia GAZA Kwa malengo makuu mawili kwanza kuwakomboa mateka pili ni kuimaliza HAMAS Sasa MATEKA hajawapata na HAMAS wapo kama hawakuwahi kupigana 🙌

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 11 วันที่ผ่านมา

      ​@@raymrashMbona Putin anasema anataka mazungumzo ili vita iishe kwahyo Urusi ndio imeshindwa?

  • @OnesmoEphrata
    @OnesmoEphrata 11 วันที่ผ่านมา

    Mna zungumza vizuri kuhusu hamasi ila sasa wagaza waki gombana wana tumia kinga yakusema wanao uwawa ni raia siyo hamasi vipi hapo pame kaa vipi sindiyo ita mpa IDF fursa ya kuuwa wote awamu hii ya pili ya vita ita kapo anza??

  • @mr.erickmwacha8575
    @mr.erickmwacha8575 11 วันที่ผ่านมา

    Nani anawalipa Hamas

  • @OnesmoEphrata
    @OnesmoEphrata 11 วันที่ผ่านมา

    Mna ongea kwa kuhuzunisha et nipate glass ya maji na ukuta mwingine arudi kuzika watoto wake Duh! HALAFU NYUMBU MOJA INASEMA HAMASI NI VIDUME kima huyo hajui kitu na hali iliyopo gaza

  • @عرفانشرف
    @عرفانشرف 11 วันที่ผ่านมา

    Hao mateka walikua wapi

    • @Robert-t3f8p
      @Robert-t3f8p 11 วันที่ผ่านมา

      Walikuwepo pale pale unapo pajua

  • @MzeeKigogo_
    @MzeeKigogo_ 11 วันที่ผ่านมา

    Netanyahu amefanya kosa la kimkakati kwa kuruhusu magaidi yajipange upya

    • @cdeegwau551
      @cdeegwau551 11 วันที่ผ่านมา

      Sawa mke wa netanyahu

  • @ayshasaid1547
    @ayshasaid1547 11 วันที่ผ่านมา +1

    Wayahudi wameshaa njia walifunga zote ila wameshangaa mateka wapo mulemule hhhhhh

    • @raymrash
      @raymrash 11 วันที่ผ่านมา

      @@ayshasaid1547 sio kwamba hawajui walipo sema Hawa Hamasi ni wajanja? Wamewachanganya mateka kwenye makazi ya raia

    • @paschalcharles3617
      @paschalcharles3617 11 วันที่ผ่านมา

      ​@@raymrashhakuna kitu kama hicho Israel ni DHAIFU na mafala TU 🚮

    • @Robert-t3f8p
      @Robert-t3f8p 11 วันที่ผ่านมา

      ​@@raymrashsasa ci wangewachukua

  • @BuruhaniSalimu
    @BuruhaniSalimu 11 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu jamaa mwenyekipara na tshirt nyeusi anaakirisana ya kuona ukweli wamambo 😮😮😮 washikaji inaonesha walijificha muisrael akajipigia raiaaaa mpaka kachoka kisha hao wamejaa mtaani wanataka kuzaanaupya

    • @Fgldesigns
      @Fgldesigns 11 วันที่ผ่านมา

      Sasa hapa si raia ndo wameponzwa

    • @Robert-t3f8p
      @Robert-t3f8p 11 วันที่ผ่านมา

      😅😅😅😅

  • @aysherkabby5937
    @aysherkabby5937 11 วันที่ผ่านมา +1

    Mateka wa Amasi wana afya nzuri tu, sasa subiri tuone wanaotoka jahanamu ya duniani

    • @abdalahngozi5455
      @abdalahngozi5455 11 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂😂nmecheka ka mazur bn aah

    • @aysherkabby5937
      @aysherkabby5937 11 วันที่ผ่านมา

      @@abdalahngozi5455😂😂😂😂🤩

  • @doubleymkuu4267
    @doubleymkuu4267 11 วันที่ผ่านมา +4

    HAMAS WANAONEKANA NI WAMBA KWELI ISRAEL NI DHAIFU SANA BILA USA

    • @raymrash
      @raymrash 11 วันที่ผ่านมา

      @@doubleymkuu4267 kwani HAMAS wako peke yao!?

    • @paschalcharles3617
      @paschalcharles3617 11 วันที่ผ่านมา

      ​@@raymrashSasa wewe GAZA imezingirwa Kwa zaidi ya mwaka tujiulize vyakula vilikua vinapitaje ? Silaha zilikua zinapitaje? 😂dah ! Haya ni maajabu ya Karne katika Vita 🙌

    • @raymrash
      @raymrash 11 วันที่ผ่านมา

      @paschalcharles3617 vyakula vilikuwa vinapita kaka sema vyombo vya habari vinadanganya sana

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 11 วันที่ผ่านมา

      ​@@raymrashVyombo vipi vya habari unavyosema vinadanganya? Vyombo vya habari vya Marekani, Uingereza, Ujerumani, na Israel au? Maana habari za vita ya Hamas na Israel tunazipata kupitia vyombo vya habari ambavyo ni pro-Israel?

    • @Robert-t3f8p
      @Robert-t3f8p 11 วันที่ผ่านมา

      ​@@raymrashHy habari ilikuwa inamponda Israel ni ya channel gan au website gan???

  • @BarakaKusalula
    @BarakaKusalula 11 วันที่ผ่านมา

    Ila ieleweke tu kuwa pamoja na yote aliyoyasema Dj hata Hamas pia wameogopa Ujio wa Trump maana alishasema kabla kuwa atateketeza Gaza.

    • @yassinhamza1969
      @yassinhamza1969 11 วันที่ผ่านมา

      Yale ni maneno sio Kila lisemwalo ni taarifa

  • @GrayIsmail
    @GrayIsmail 11 วันที่ผ่านมา

    Wachambuzi wetu huwa mnajiahaulisha Sana kuusu Israel mm nawaambieni ktk hao mateka wanaoludishwa gaza wapo wanaokwenda kufanya kazi ya Israel msimalize maneno kwa Israel wakati mnawajua wanachokitaka

    • @AbdallahSumbinyo-ln9qi
      @AbdallahSumbinyo-ln9qi 11 วันที่ผ่านมา

      😅😅😅😅😅

    • @yassinhamza1969
      @yassinhamza1969 11 วันที่ผ่านมา

      Wawape nchi yao uone watakajenga nchi yao na uchumi wao utaimalika

  • @GrayIsmail
    @GrayIsmail 11 วันที่ผ่านมา

    Tujiulizeni watu wangapi wakufa Gaza mali kiasigani zimealibiwa malengo miundo mbinu unasemaje wameshinda watu awa hii ni kuwapumbaza tu waparestina waendelee kuisapot hamas mateka 30, watu kiasi gani wamepotea Gaza au hamuoni ninyi, tunapoizungumzia Israel na parestina jamani ni tubakishe maneno

    • @paschalcharles3617
      @paschalcharles3617 11 วันที่ผ่านมา +1

      Ushindi wa Vita sio kuuwa wazee na watoto na kubomoa majengo, ushindi wa Vita ni kumdhoofisha ADUI na kuuwa wanajeshi

  • @ringicnation3722
    @ringicnation3722 11 วันที่ผ่านมา

    +254

  • @Benedict-e4t
    @Benedict-e4t 11 วันที่ผ่านมา

    😅😅 ivii hawa HAMAS walikua wameingia wap

    • @DEMSEY_TV
      @DEMSEY_TV 11 วันที่ผ่านมา

      Izraelii gaza walikua wanapigana na nani siku 400 hizo 😂😂 Kwa nini hawakupata matekaa Ujiulizi 😂

  • @Robert-t3f8p
    @Robert-t3f8p 11 วันที่ผ่านมา

    Sasa kumbe hamas bado wapo na hadi wanashangiliwa eee kwani hawa jamaa wananini yani hata raia wapale wajutii kuhusu kilicho tokea.au ndio ile kama ya lebanon😅😅

  • @raymrash
    @raymrash 11 วันที่ผ่านมา +2

    Wapalestina mjifunze ...tumieni njia ya Amani...msichokoze tena Israel

    • @AmusedCatfish-hd8wo
      @AmusedCatfish-hd8wo 11 วันที่ผ่านมา +1

      Hakuna amani n makafiri mpaka pale kafiri atakapo Toka toka Kwa ardhi za waislamu n kufanya ardhi za waislamu kua twahara yaani kuondoa najis kw ardhi za waislamu haijalishi tutaisha wote

    • @raymrash
      @raymrash 11 วันที่ผ่านมา +1

      @AmusedCatfish-hd8wo na mtakufa sana kama mbwa! Kwa hiyo kumbe ni udini ndo unawaosumbua? Haya mmepata faida gani kwenye hii vita ?!

    • @yusuphrashidi-dr1kb
      @yusuphrashidi-dr1kb 11 วันที่ผ่านมา

      Kamwambiie nyerere maneno hayo uko kaburini

    • @raymrash
      @raymrash 11 วันที่ผ่านมา

      @@yusuphrashidi-dr1kb Shida nyie ni watu wa mihemuko hamna facts

    • @kayagoAziza-z2c
      @kayagoAziza-z2c 11 วันที่ผ่านมา

      Unaota nini

  • @DicksonRameck-e4r
    @DicksonRameck-e4r 11 วันที่ผ่านมา

    Hao wajinga wasirudie Tena maana Wana garimu Wana nchi wasio na hatia halafu wao Wana jichimbia kwenye maandaki huku wanawake na watoto wanakufa bila hatia

  • @africanQueeny-u7o
    @africanQueeny-u7o 11 วันที่ผ่านมา +1

    Najiuliza Waslam ndio akili zipo matakoni au ni warabu?? Israel ilivyo ichakaza Gaza, watu wao walivyo uwawa, viongz wote wameuwawa, badae naskia et Hamas imeshinda vita 😂😂😂😂😂

    • @AliNassor-qt6fm
      @AliNassor-qt6fm 11 วันที่ผ่านมา +6

      Waislam watabaki kuwa washindi hata wawe Wamekufa wote hiyo ndio idiology ya dini yetu hakuna kukata tamaa na kifo sio mwisho wa maisha

    • @fadhilngalanda7520
      @fadhilngalanda7520 11 วันที่ผ่านมา +2

      Yaan kila post ya SNS natizama comment yako kitoto cha shetani wewe uhakika ni mtoto wa nje ya ndoa pia mzazi wako mmoja humjuwi au la umelelewa na mzazi mmoja ndio maana akili yako haifanyi kazi nyongeza wewe huna marinda nyum* na mbele

    • @hanifa9153
      @hanifa9153 11 วันที่ผ่านมา +1

      Vibaraka wa America bila America wangechapwa mngeshangaaa tena hawangechkua ata miezi 5 wangemalizika hao mashoga wenu ndomana mungu kawawashia moto kule marekani washenzi sana magaidi wakubwa hayatokaa kwa amani mtaona😅😅😅😅

    • @salehkhalfan7345
      @salehkhalfan7345 11 วันที่ผ่านมา +3

      Kufanikiw Kwa Jambo ni kukamilisha Yale Malengo uliojiwekea, Israel iliingia pale kw malengo makuu ma3 nadhn mpaka sas hawakufanikiw hata 1 ktk hyo
      Lkn ukiongelea lengo lao la Siri ambalo halikutangazwa la Mauaji ya Raia bs hili wamefanikiw 💯

    • @yusuphrashidi-dr1kb
      @yusuphrashidi-dr1kb 11 วันที่ผ่านมา +2

      C tunajua wakristo wa Tanganyika mna roho mbaya ndomana c zanzibar hatuwapendi na mfumo wenu kristo kumamaaayooo

  • @omondiowino7875
    @omondiowino7875 11 วันที่ผ่านมา

    Panya wametoka shimoni 😂😂😂

    • @natual7572
      @natual7572 11 วันที่ผ่านมา +1

      Mzee naona umechok maan taifa la mungu halijafikia malengo ya kukomboa wafungwa wa kiyahid

    • @omondiowino7875
      @omondiowino7875 11 วันที่ผ่านมา

      @natual7572 vipi malengo ya Palestina kuichukua Jerusalem from the river to the sea...? Miaka mingapi sasa ...

    • @yassinhamza1969
      @yassinhamza1969 11 วันที่ผ่านมา +1

      Hamas wamepigana na dunia Ni vidume

    • @omondiowino7875
      @omondiowino7875 11 วันที่ผ่านมา

      @yassinhamza1969 jamaa walipoona wanalemewa ikabidi wakimbilie mafichoni na kuwaacha watoto na wanawake wakilipia gharama

    • @natual7572
      @natual7572 11 วันที่ผ่านมา

      @@yassinhamza1969
      Kwel hamas kapgan na dunia

  • @SalumuMisigaro
    @SalumuMisigaro 11 วันที่ผ่านมา +4

    Nimeona mateka wa Israel wale wanawake watatu wameachiwa wanafurahi na wana afya nzuri na wamepewa zawadi juu.
    Hapo ndio utaona Hamas walivyo na ubinadamu, utu na kujali hisia za binadamu. Smaa tunaomba utujulishe ni zawadi gani zile?

    • @KhalidiBoaz
      @KhalidiBoaz 11 วันที่ผ่านมา

      HAMAS Wameua watu 1200,sasa huo ni ustarabu😂😂😂

    • @SalumuMisigaro
      @SalumuMisigaro 11 วันที่ผ่านมา

      Hamas wana haki ya kujilinda na haki kulinda nchi yao. Ungekuwa wewe umevamiwa na adui, je ungembusu adui yako au ungempa mauwa? Tafakari ndugu!

    • @mohamedaley5632
      @mohamedaley5632 11 วันที่ผ่านมา

      ​@@KhalidiBoaztupe fact usibwabwaje usijielewa

  • @omondiowino7875
    @omondiowino7875 11 วันที่ผ่านมา

    Kupeleka misaada Gaza nikama kumlisha shetani...Acha Mateka wote warudi halafu Netanyahu akiwakishe tena... kufanya dili na Hamas ni sawa na signing a deal with the Devil....🇮🇱🇮🇱💪

    • @asmaalghafri449
      @asmaalghafri449 11 วันที่ผ่านมา +1

      Hashindi hata siku moja miaka 70 kashindwa sasa ataweza si mali zakw wala nchi yake atahangaika saaana nchi 38 na matajiri wote wamesaidia lakini hamasi kasimama na mwenyezi mungu peke yake safari hii wamewanyima maji dawa chakula lakini mwenyezi mungu mkubwa moto umewawakia wao LA na nyie mnaeshangilia ubaya mtakipata

    • @omondiowino7875
      @omondiowino7875 11 วันที่ผ่านมา

      @asmaalghafri449 Hamas kashinda nini wakati adui amemfuata mpaka kwake nakuchafua kila kitu wakati wao wako mashimoni wamejificha ...miaka 70 wanasema watachukuwa Jerusalem lakini mpaka Leo Nani anayeimiliki Jerusalem? hata Westbank wapalestina wanafukuzwa kila siku...hiyo ndoto yenu mtaendelea Kuota Sana .. Israel Forever 🇮🇱🇮🇱💪

    • @Awatee
      @Awatee 11 วันที่ผ่านมา +1

      ​@@omondiowino7875😂😂😂😂😊Tafuta kazi ufanye upunguze ufukara wa akili na mawazo mabovu adui weye dhwalimu basi kama imekuuma nenda ukaolewe na netanyau

    • @omondiowino7875
      @omondiowino7875 11 วันที่ผ่านมา

      @Awatee njoo nikuajiri bro...Mimi nachotaka ni Hamas wajichanganye tena warudie walichokifanya Oct7. ..ili wapewe show round 2 🤣

    • @natual7572
      @natual7572 11 วันที่ผ่านมา

      Duh unaroho ngum kama ya paka yaan bado unahngaika na hamasi hali mpaka taifa la mungu wko limeshindwa kumuondoa gaza pamoj na kuwa na baba yenu na vibarak wake ifike pahala ukubal ukweli huo ndio ujasir

  • @kayagoAziza-z2c
    @kayagoAziza-z2c 11 วันที่ผ่านมา +1

    Ndio shida ya kutegemeya majirani viva Hamas