EBM na JOYCE K NURSE wakutana kuongelea maisha ya Canada na USA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 ต.ค. 2024
- Maisha ya Canada na USA kwa wahamiaji yapoje? Unawezaje kuanza na kufanikiwa?
Asante sana Joyce. Kwa fursa za Canada, subscribe kwa channels za Joyce / @joyceknursecanada nyingine / @crucialsnapshots na / @joycekcanadacontentcr...
#maishayaughaibuni #visacanada #marekani
Asante sana Joyce. Kwa fursa za Canada, subscribe kwa channels za Joyce th-cam.com/channels/_Px-SuCUz3oc4S4wYv88Fw.html nyingine th-cam.com/channels/Py5p9_boEuOqmghFkwIAxg.html na th-cam.com/channels/-aXFT8of9rPzXj5yGOeByA.html
Already subscribed
EBM for life
Ongera kaka ebm kwa kutupigania tuulizie kazi za usafi zile kama da Joyce anavyowasaport watu kwenye channel yake
Love your contents...much love from Nairobi Kenya East part of Africa
Asante sana mheshimiwa for supporting me nashukuru sana
Huku kwa comment kuna mwenye anasema wewe ni mwizi ulimuibia 5 000 dollars. Kuja ujitetee.
Dada Joyce nimekua flowers wako kwa ajili ya Mr' EBM
Mungu awapeni roho hiyo hyo mzidi kutuchanua sisi ndugu zenu tulio na ndoto za kutaka Kuja huko ughaibuni kiukweli Naimani hatutakuja wote ila kwa hiki mnacho kifanya kuna watu wengi watakuja hata kama sio huko hata nnchi zingine za ughaibuni kwa ajili ya hii hamasa mnayotupatia
Thanks
@@damariszuckschwert9489 mwenye anasema alimuibia ni muongo juu Joyce hachukuangi pesa
Joyce nifanyeje ili niweze fika canada?...Na vipi kuhusu kazi za huko ni mpaka uwe umesoma sana au hata class 7 inatosha?🤔😂
Shukran Sana Joyce na Kaka nawapa heko Kwa kazi yenu nzuri mola awajalie siha njema Mimi nina imani siku moja nitapata fursa yakuaje na kuchapa kazi huko
You are so genuine people. God reward you for free mentorship
Ebm nakubali sana TU mola akuzidishie wepesi zaidi
Dada Joyce nipatie kazi hukoo,, please maisha ni magumu sanaa😢
Good news
Nahitaji kufanya masters Canada
Nakmba mawasiliano jamani ya Joyce na Ernest iliwemk emails zenu
Nitashukuru Sana
Thank you for your information may god blessed you all
Joyce May God bless 🙏🙏🙏🙏 mama
Was very educative one day al come to MISSURI
Asante sana kwshabari zenu
Habari mnayotupatia inasaidia sana.Mnatusaidia wale tuko na hamu na maono.Tony Anampiu-Thika,Kenya
So it's easy to get permanent residency in Canada. Never knew that. Australia and America must be bff. I know people in Australia, who have lived here for more than 10 years and don't have PR. It make life very expensive and stressful.
Great people, great souls. May you be blessed always!
Joys tafutia mtoto wangu job plz
Nawapata vizuri sana
Ontario Oakville nko chojo. Nice to see you guys
Nimeipenda sana hii interview, it was so nice. Thanks Mr. EBM endelea kutupa dondo zaid.
Twajivunia ndugu na Dada kutoka eastAfrica. Twajivunia kwa kutuelimisha vilivyo. Big up.
Nimependa kama naagalia news flani ivi mko vizuri nimewafwata kurasa zenu
Hongera sana dada Joyce, nipatie kazi huko jamani,aisha magumu sana my love dada
Asante
Asante sana Joyce na mgeni EBM mazungumzo mazuri kweli
Dada Joyce na Ebm mnazidi kunisaidia kuelewa vizuri sana kuhusu Canada inabidi nikutafute sana Ebm unisaidie kukamilisha ndoto zangu siku moja nifike huko aliko dada Joyce
Niko mwaka wa sita Marekani, ukweli ni hamna inchi duniani utapewa vya bure.. ila, inchi za ughaibuni ata kama maisha ya upweke (culture shock) angalau uko na tumaini la kazi, ila kama maisha yanakupekeka vyema Africa, usiuze ng’ombe zako na kiwanja eti unaleta mke na watoto marekani- pia usikuje marekani kama umri umekuzidi, eti miaka 55 .. ughaibuni yataka vijana, miaka 40 na chini ambao WANAANGAIKA AFRICA.. narudia, sio wote..
Ni kweli kabisa
Thankyou Joyce you are so true
Ebm Mungu akueke
Hongera sana kaka kwa kazi safi unaoifanya
Thank you Joyce for this information. This is great! Now, Joyce, what is the starting point?
Safi sana asanteni kwa kutupa elimu
Naona mgeni greetings Joy mungu awabariki sana
EBM Hongera nakuomba number yako Mungu akulinde maisha yako yote daima Ameen
Hi Joyce proud of you
Nimekuelewa brother
Nawapata vizuri .nauliza baada ya kupata utapataje mtu wa kukuhost na huna mtu America
EBM for life♥️♥️♥️
You are my favorites joyce
Hakuna Nziii🤣 I really love you Guys ,very healthy insight waaahh it's like tuko Canada already,the experience is WOW...
My brother.God bless you
Me too dear i understand you, l can't leave Australia and go to leave in Tanzania. My kids won't come with me. Tanzania just holidays. I just have to accept it.
Your character is more important than your comfort. The Almighty is not going to give you more if you have not learned how to be content; how to count your blessings. Contentment means your accept His Decree.
Let me know how I can process my self to Canada madam Joyce because haujaguzia the process want to be a truck driver
kwa kweli wewe bro EBM, upewe ulinzi maalum ili kukutunza myda mrefu
Da
Good souls 👍👍👍
Kaka nakufatilia sana
Yani nyiee mungu awajalie
How do you cope with the cold
Yeah bro 😍😍😍
Jambons kakEbm mimi nakufata nikiwa Congo 🇨🇩 nita cheza ou dv loterry iyi mwaka
Hy joy Natamani Kuja Canada sana
Tunaenda website Gani Kwa apply.
He. Llazima uongee kiinnggereza?
Hello Joyce Mimi ni Truck driver napenda Sana kuja huko Canada kutafuta maisha nifanyaje ili niweze kufika ?
Waohhhhh
Kaka naomba unitafutie kazi uko
Naomba kupata information kuhusu immigrant dentistry in Canada or US
Uyu dada ndio wale watu wa kamati roho mbaya unawazungumzia Kila siku
Nivipi mtu anavyoeza kuenda Canada bila masomo?
Alana sister Joyce wapo waongea Kiswahili hapo Canada
Mama tunashkuru kwa elimu yako
Hao wanapoteza muda ughaibuni huko kazi zote nzuri na nafasi nzuri zenye kipato kikubwa ni wazungu white Africans watumwa wa wazungu kufanya kazi za usafi, viwandani kubeba maboksi maisha expensive gharama usave chochoteee maisha ya kawaida tu Africa maisha mazuri ukikomaaa nafasi nzuri zipo na kazi nzuri hatuna ubaguzi wote ni Africans na mafanikio ni makubwa Nyumbani kenya Tanzania ndio mafanikio na maisha mazuri tunaona wasaniii wana maendeleo wananunua magari ya kifahari wanajenga majumba na wanafungua biashara kubwa tu
Huna lolote wewe hiyo ni wivutu huku kila mtu ana maisha yake ,kazi nikazitu si tunaripwa mushahara unafikiri tuna tumikia bure vitu vya utumwa viliisha tangu zamani huku kuna kila aina yakazi hichaguwi wewe ni nani uwe mwa Africa kazi yoyote unapata inionekana wewe umekosa maneno ya kuandika maisha yetu ya huku hayakuhusu achana namaisha yetu sisi hatuko watumwa kuwa na adabu watu wengine hamjui kusema
Acha kukatisha watu tamaa uwe na hekima katika kunena
Nawapata kutoka Tanzania
Tuambie njia za ku appy
Madam Joyce habari yako naomba msada wa kuja uko nakufuatilia sana
Please Joyce how can I communicate with you,I need your help,I was Saudi for 3yrs but hua natamani saana kukuja Canada .
Nahitaji kz hata ya kufangia balabala nk tayari jmn
Kwa msaada zaidi nahitaji what's up namba.
Ubaya hawapeanangi number
Kama utaweza kufanya video kuhusu mambo ya Taxes za Canada itakuwa poa sana maan mimi naishi USA as an RN nimepata job offer Canada lakini naogopa kuhamia Canda coz nimesikia wanalipa taxes mingi sana. Kama unaweza fanya kuuliza ili tupate clarifications pls.
Nataka nipate namb yako ili tuongee natamani nifike huko
nina cousn yangu anaishi canada nimeongea nae anifanyie mpango kanigomea mwisho ananiambia canada maisha ni magumu nyumba ghali sna kukodi kazi hamna kupata kazi ni shida sna na hamna mishahara wallah nimechoka ananiambia hasa kma mie nlokua sijasoma mpaka kiivo nimeishia la 7 ni tabu kupata kazi wanao pata kazi ni wenye elimu sio kma mie
@Aisha njoo saudi huku peza zako hupunguzi hata kama ni kidogo kwangu ni mingi nko 3yers saudi nashukuru MUNGU.
@@sophiamakani6133 mmh saudi wanatoa watu figo huko!
@@sophiamakani6133 uko saudia ni kz za ndani au ije tuambizane jmn watu tuko na shida
How can I get the house maid job
Dada Joyce sasa hiyo town ndogo unapoishi amo yaitwa aje?
Ulaya ni ulaya tu.. mbona kwenda uko mnatutoza pesa kuja huko.. fanyeni bure basi kutusaidia
Na hakuna inzi nimecheka 🤓
😂😂😂eti alikuja kutembeaa!!!?, Si una hela yakoo?..... Kweli Marekani sio mchezo
Hapo ni kweli, marekani hawakubembelezi..
Hivi naomba ikiwa mwaweza nipa namba zenu za what's up?
Nimekwama hapo kwa hakuna inzi,,😄😄😄
Mimi pia nilirudi tz nilikuwa uk nasoma for 3yrs now toka nirudi ni 10yers but Sasa najutia why aikupanga kukaa uko coa system ya Africa imenishinda now nataka Rudi tena lazima nirudi nimejifunza somo
Ulikua umesomea nini na ni nini ilikua ngumu kuingiana na system za Africa
Maisha ya London Yani ulaya yako moja kwa moja hayani longolongo Kama Africa Sasa kutokana na iyo naona aipawezi ngoja nirudi tu uko so mlipokuwa mnaongea hapo juu no kweli kabisa watu tunaenda hatujui tunataka Nini na tunadanganyani eti kurudi tz kiolela olela tu so Mimi nimejifunza kupitia elimu yenu emb mnayotoa TH-cam so sitafanya makosa hayo tena
Dada Joyce ni mkenya
Nimependa mazungumzo yenu please namba no zenu za whatsap
Be hosted by Kenyan it's pleasure
EBM please Naomba uorodheshe majimbo ambayo ni raisi kimaisha kuishi Nipo Marekani Jimbo la Baltimore Maisha uku magumu sana..
Upo Maryland, hapo maisha cyo magumu.ila ni expensive..panahitji pesa mingi
Njoo Columbus OH…Kazi nyingi maisha cyo juu kama huko MA..
@@berthatz Texas je maisha yako vipo
@@bijalnicomeds3926 Nilidhani hiyo expensive ndio ugumu wenyewe unapokuja?
@@berthatz jmn muliyoko uko twaomba mutusaidie twahitaji kz Elimu dalasa la 7 km inapatikana hata kz ya kufangia balabala mm niko tayari
Sasa Na Nikija Huko Na Pesa Zangu Like $500,000 Nataka Kuja Kukaa Huko Na Kufanya Biashara Huko Hapo Vipi ????
yaani mi ndio nataka niamie kabisa na kwenda mbinguni niondokee uko
Nakuja ughaibuni ata kama ni kwa miguu, huku wamechagua ruto, no future here
@Kabete toka huko kabisa kimbia mbio uje huku ughaibuni hata ss tuko huku hadi kieleweke 😄 🤣 😂
EBM kiongozi tafdhari niangalizie Kazi popote pale ambapo wewe utakapoona panafaa kutengeneza maisha.
Suscachwan au ebm tupe spelling
Saskatchewan
Joyce in mwizi.... awaiting judgment
@@adrinenduta286 my God why are saying that to your fellow kenyan? Mwizi wa nini? Explain
@@KADALAtv255 she conned me. 5 000 dollars
@@KADALAtv255 Ai?? Tope story...kulienda aje??
Huko USA watoto wana bebe bunduki kama chocolate bora nife bongo Marshall ah
Hujaalikwa wala..,wee kaa huko kunakokufaa
@@damariszuckschwert9489 niende ku safisha wazungu Wana shida ndio Wana waza kuenda huko ku safisha viombo!!!!
@@zawadix9574 why uwaze kusafisha wazungu!?? Kwani we hujasomaaaa!?????
@@Kabi_47 ume skia video zake ata kama una PhD ukingia asa bila qualifications zao una Anza maisha ya chini sana na hu toboi!!!! Mimi na uncle wangu miaka 25 Yuko huko sithani ata Rudi nyumbani marafiki yake wote wame toboa!!!!! Nyumbani ni nyumbani
@@zawadix9574Binafsi @@zawadix9574 fani iliyonibeba hapa mjini canada ni UDEREVA msingi ukiingia kiwanja njooo na fani kwanzaaa muulize mtu unayemjua akuambie dereva wa bus la abiria mshahara anaolipwaaaa halaf uliza na msomi mwenye phd au degreee nchi za wenzetu mtu mwenye fani analipwa pesa nyingi kuliko mwenye elimu kubwaaa ✌🏿✌🏿✌🏿 anko yako kurud hawez kwa life la hukooo tena marekaniiiiiii😁😁😁😁😁😁
Dada abari vp naomba namba Yako ya Whatsapp