AT THE AIRPORT:SWAHILI CONVERSATION

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 29 ก.ย. 2024
  • SWAHILI CONVERSATION:
    KATIKA UWANJA WA NDEGE
    (AT THE AIRPORT)
    Hali ya 1: Katika dawati la kuingia
    Ajenti: Habari za mchana! Unasafiri kwa ndege kwenda wapi leo?
    Wewe: Moskow.
    Ajenti: Naomba pasipoti yako, tafadhali?
    Wewe: Sawa, hii hapa.
    Ajenti: Je, unakaguliwa begi zozote?
    Wewe: Ni hili tu.
    Ajenti: Sawa, tafadhali weka begi lako kwenye mizani.
    Wewe: Ndege yangu si ya moja kwa moja, itasimama Istanbul, - je, kuna haja ya kuchukua mizigo yangu huko?
    Ajenti: Hapana,ndege yako ni ya moja kwa moja hadi Moscow
    Hizi hapa stakabadhi zako za kuabiri- ndege yako inaondoka kutoka lango la 15A na itaanza kupaa saa 3:20. (saa tisa na dakika ishirini).
    Nambari yako ya kiti ni 26E
    Wewe: Asante!
    Misamiati
    KISWAHILI ENGLISH
    Kusafiri kwa ndege Traveling by plane
    Ndege aeroplane
    Leo Today
    Hii hapa Here it is/here you go
    Ni hili tu It’s only this
    Tafadhali Please
    Weka begi lako Put your bag
    Kwenye mizani On the scale
    Ndege ya moja kwa moja Direct flight
    Itasimama It will stop
    Kuna haja? Is there a need?
    Hapana No
    Stakabadhi Documents
    Kuabiri To board
    Inaondoka It leaves
    Kutoka From
    Itaanza It will start
    Kupaa To fly
    Nambari ya kiti Seat number
    Kugagua To check
    Asante Thank you

ความคิดเห็น • 24

  • @bunyaofficial2864
    @bunyaofficial2864 2 ปีที่แล้ว +2

    Ndiyo asante

  • @jonathanmalong7594
    @jonathanmalong7594 11 หลายเดือนก่อน +1

    Ndio

  • @johnmoumouris7342
    @johnmoumouris7342 2 ปีที่แล้ว +3

    A: Good day, where are you flying today?
    W: To Moscow
    A: Can I have (I would like) your passport please
    W: Okay, here it is
    A : Do you have any bags to be checked?
    W: It's just this one
    A: Okay, please put your bag on the scale
    W: My flight is not direct, it will stop in Istanbul, will be needed to take my luggage there?
    A: No, your flight is direct to Moscow. Here are your boarding cards, your plane leaves from gate 15A and will take off at 13.20. Your seat number is 26E
    W: Thank you

  • @TemperanceMoves
    @TemperanceMoves 2 ปีที่แล้ว +2

    Ni hii nzuri. nimejifunza mengi leo. Asante Mwalimu!!

  • @inno4035
    @inno4035 2 ปีที่แล้ว +2

    Hi, thanx so much for your efforts, I'm in South Africa 🇿🇦, After I learnt the numbers I thought 3:20 wil include Tatu and ishirini, ile, instead you talked about tisa, why is it like that?

    • @KiswahiliWithAbdulkarim
      @KiswahiliWithAbdulkarim  2 ปีที่แล้ว

      While saying time in Swahili we read the opposite digit... because we count the number of hours if the day or night( for the day we start counting from 7:Am- which we will say saa moja (The 1st hour) ..3:20 Pm in Swahili will be saa tisa mchana since that is the 9 hours after 7: 00Am in the morning

  • @angelikasteuer2777
    @angelikasteuer2777 9 หลายเดือนก่อน +1

    Nilisafiri kwa ndege.

  • @adamkhamis6339
    @adamkhamis6339 2 ปีที่แล้ว +1

    Nilisafiri kwa Ndege

  • @Saidmedia25
    @Saidmedia25 2 ปีที่แล้ว +2

    Asante sana mwalimuu

  • @GazaFamilyHope
    @GazaFamilyHope 2 ปีที่แล้ว +1

    nimewahi kusafiri na ndege mara mengi... uwanja wa ndege ilikuwa imejaa na watu.. kuna makelele hapo kwyene uwanja wa ndege☺☺

  • @adamkhamis6339
    @adamkhamis6339 2 ปีที่แล้ว +2

    Ndiyo

  • @mariamjuma4136
    @mariamjuma4136 2 ปีที่แล้ว +2

    Ndio nimewai kusafiri na ndege kutoa dar es salaam mpaka Abu dhabi