Wakulima nchini Israel watumia teknolokia katika kilimo
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 26 ก.ย. 2024
- Je, mtazamaji unajua kuna nyama isiyotoka kwenye mifugo na ambayo hutengenezwa kwa kutumia mimea? Na je unajua kuna teknolojia inayotumia mawimbi ya sauti inayosababisha vifaranga wa kiume wakiwa ndani ya mayai kubadilika na kuwa kuku ili kutaga mayai? Hizo ni baadhi ya uvumbuzi wa wataalam nchini Israeli ambao wanalenga kubadilisha jinsi sekta ya kilimo itakavyokuwa katika miaka ya baadaye. Mwanahabari wetu Gatete Njoroge alizuru taifa hilo na kutuandalia taarifa ifuatayo kuhusu kilimo mambo leo.
That where the difference is, Kenyan ni tu shinde kwa club na usherati kila kona, watu apigwe tax hadi waamuke😊
Mkenya anapenda shortcut kwa kila kitu atatumia technology saa ngapi😅?
Now imagine Israel security if that is agriculture 😮😮😮
Security especially in the airport is top notch.Most cleaners in the airports are armed guards looking for any suspicious moves
God blessed Israel all the time.shalom Israel
Uku kwetu ni kugoja mvua na natural dams zimejaa maji kenya mzima🤦
Teknologi pertanian& Peternakan Israel sangat luarbiasa
Blessed is the Nation whose God is the LORD ALMIGHTY. Israel is a covenant nation they carry the name of GOD since their conception,am not surprised.
Most evangelical christians are very stupid. Your christian brothers are persecuted by Israel and you come say this nonsense
Wanafanya kazi
Congratulations. Great technology indeed.
Great job🎉
innovative people
Wonderful 👍
Cabinet ministers are the core source of failures in Kenya. They are sent to this workshops but never attend them rather squander the money shopping and entertainment with their families. Kenya needs a dictator with proff. PLO’s mindset.
❤❤
Great
That is why I really love Israel
l must travel to Israel
Karibu sana
Shalom Yerusalem
Amazing 😮
Hiyo ni ugonjwa tuu
Imgn Israel na hakuna mvua ni desert, na kenya kunayesha kila siki
Sasa kufa mapema ndio huku nyama ya kuundwa na kufanya kuku kua mashoga mukiila na nyinnyi hayo makende yenu yatakua mboga hayana Kazi LGBT mpaka Kwa kuku wafrica tahadharini
Kabisa
Huku prezo anatuambia tuombe mvua inyeshe😂 hatuezi ji compare bana
Wenye husema nyama haikuzwi shambani kujeni hapa🤣
Hii biashara ikifika kenya nitaacha kula nyama na kuku
Is not rocket science is just irrigation !
Ruto and company are out here talking about serikali ya shares while other countries are making progress in eliminating hunger smh!!
0:04 sossi is that you?
Nop,its meat that is grown in labs without using animal tissues
God of Israel
Makubwa
Teknolokia???????
If this technology will be applied to our country it will change many lives of Kenyans people won't go such for green passure outside the country but the problem is our leaders greedy for themselves 😔
Kenyan's politicised GMO while all you see happening in Israel is all GMO
In Kenya instead of supporting agriculture, tunaabiwa tujengewe manyumba. Wonders never end 😂😂😂
They came to help establish galana kulalu 😅😅 and what happened walisema hawajawai ona country corrupt and backward as Kenya
That's it leadership is ROTEN
Gatete njorogeee'Runinga ya cityzen. 😂😂😂