Madaktari 2 wa Cuba watekwa nyara
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 9 ก.พ. 2025
- Maafisa wa usalama wanaendelea kuwasaka wahalifu waliomuuaa afisa wa polisi na kuwateka nyara madaktari wawili wa cuba Harera Correa na Landy Rodriguez waliokuwa wakihudumu katika hospitali ya Mandera. Watu waliokuwa na bunduki wanaokisiwa kuwa wanamgambo wa alshabaab walitorokea somalia muda mfupi baada ya kutekeleza uhalifu huo. Feisal Abdi ameandaa taarifa hiyo kwa kina
Citizen TV is Kenya's leading television station commanding an audience reach of over 60% and in its over 12 years of existence as a pioneer brand for the Royal Media Services (RMS), it has set footprints across the country leaving no region uncovered.
This is your ideal channel for the latest and breaking news, top stories, politics, business, sports, lifestyle and entertainment from Kenya and around the world.
Follow us:
citizentv.co.ke
/ citizentvkenya
/ citizentvkenya
plus.google.co...
/ citizentvkenya