Inaonyesha huyu mlilo nimiongoni mwa watekaji mana kauli zake zinaleta ukakas pia ninacho kielewa Tanzania hatuna jeshi tunakikundi kimejivisha elementi ya kijeshi lakin kazizao ni kazin zao ni majambaz kiujumla tuna majambaz hatuna jeshi mungu ndo anajua
Jeshi letu La polisi ni janga Aisee sijui limepatwa na nini!!!? Weledi sifuri. taaluma ukichanganya na siasa ni umekwisha masood kipanya uko vzr Sana kaka pamoja na team yako msichoke endeleeni ivoivo na endeleeni kuwaalika tuone panapo Vuja.
Kaka masoud umeuliza swali zuri Sana lakini Cha kusikitisha halijatolewa majibu sahihi, tunamuamini kamanda wetu mulilo na tunaipenda kazi yake hivo ni vizuri alichukue Ilo swali na kulifanyia kazi. Asante
Mlilo ana maanisha askali wake akitajwa kwautekaji yeyeanaandika kwenye failizake kwamba asikali siku hiyo alikuwa ametumwa mkoa furani ,hapo huyo anachunguza nini,ona anavyopindisha hoja watanzania tutaisha
Hatuna taarifa za kutosha ila tuliowaamini na kuwathamini na kuwaona polisi ni sehemu ya ulinzi ila imani yetu kwao inatoweka kabisa wanatakiwa kuwa smart sio kutumia nguvu na vitisho sisi tunawathamini na kuwaheshimu na ni kweli kazi yao ni ngumu na wanapitia changamoto nyingi ,.Tunataka kuona ubora wa kazi zao na maarifa makubwa kuna sehemu hekima inahitajika sio nguvu
Amakweli uongo wa polisi sio ukweli wa raia. Polisi ni chombo Chenye nguvu sana katika Jamii. Na wasii vijana wangu ambao wapo katika jeshi la polisi kueni waadilifu. Kwani kesho yenu amujui... Mwenyezi Mungu anawapenda wanaofanya uadilifu.
Yani hawa wamebaki na mavazi tu lakini si kazi. Naumia sana kwa yanayoendelea. Waandishi mnatakiwa kujua uchunguzi hufanyika kama muhusika ni CCM ila raia wa kawaida ambaye hajihusishi na shuguli za CCM hanaumuhimu. Hapo nakubaliana na kauli za baadhi ya makada wa CCM wanaosema kesi ya mwanaCCM na wengine ni tofauti inaonekana kabisa.
Kusema kweli Mimi binafsi huyu kamanda huwa simuelewi maana naona kama ana udhaifu katika kusimamia watendaji wake,ye naona amebase katika siasa tu sio kuangalia majanga yanayosababishwa na jeshi la police Kwa wananchi!
Bas ilikuwa haina haja ya kuzuia maandamano mngewasikiliza waandamanaji ili muwasikilize mpate taaliza ambazo pengine zingewapa ukweli juu ya hao wanaotajwa, kuliko hii ya kuzuia, inaleta sintofahamu,
Shida polisi mkiwa mnakamata mhalifu hamkubali kupigwa picha kwanini hamuoni hiyo mnapoteza ushahidi toeni elimu kwa watanzania pindi wanapotaka kukamatwa
Naamini mungu yupo na kila nafsi itaonja umauti aya yote mapito ya kesho. Mana ukipandacho duniani utavuna mbinguni mn naamini kila chozi la mnyonge litapata uponyaji kwa mungu. Muchungaji bola ni yule anaye wapa machungo bora mifungo yake bila kuwatesa
sisi tulichokiamua police 👮 akija mtani kwetu aondoki na mtu labda aondoke akiwa oi au amekufa sababu atuwezi kukubali ujinga huu sababu anaulizwa swali lengine anajibu swali lingine kabisa
Yani katika watu siwapendi duniania ni polic wa tanzania maana awana hutuu kabsa alfu awa viongozi wao wanawatetea sana ila ingekuwa rahia kampiga polic yani watakamata mtaa mzima awa awana maana kabisaaaa
Tanzania raia haruhusiwi kua na smg ni polisi peke yake kama sio police ni nani anae miliki silaha kama hizo basi kinacho takiwa toeni elim kwa watanzania iweje akija kukamatwa ajilizishe vip kua hawa ni polisi kweli
Hongera sana kamanda murilo ila kwenye jeshi la police kuna tatizo kubwa sana hujma za ubambikiaji kesi kwa raia umekuwa kwa kasi sana chunguza hilo na chukua hatua
Majibu mepesi kabisa anatoa kamanda ila naisi wao Awana Mungu awa jamaa wanajipa cheo Cha mtoa roho utazani wao hawatakufa kumbe apa duniani wote niwakupita tu ifike mahari Viongozi mumuogope Mungu.
Murilo wimbi la watu kupotea ni kubwa sana haijawahi kutokea. Sasa kila swali unaleta siasa. Jamaa juzi anasema anakumbuka alipelekwa osystebay alafu akatupwa porini naye alijizima data. Hili ni janga ni bora muonbe msaidia kwa jeshi tusifanye mchezo maisha ya watu. Mo Dweji naye alijificha eti watu wanajizima data
Matako huyu, he is so an ethical /unprofessional .Hebu tupunguze matumaini ya hawa gangster wanavaa uniform za polisi ,wapo hapo kwa interest za CCM. Solution ni katiba itakayo badilisha mfumo wa jeshi kuanzia uteuzi wa IGP, ma RPC na OCD . Wawe wanaajiliwa na Mameua na siyo hapo wata save interest za Wananchi. Lakini kwa mfumo huu hakuna watakachofanya kinyune na mwajiri wao,Rais ,Waziri husika
Anajaribu kukwepa maswali ya msingi lakini waelewa tunajua kuna ukweli anaoujua juu ya Askari wanaolaumiwa kuchukuwa watu kinyamera na kuwapoteza,na sikuwa wananchi wakichoka wataanza pia kuwapoteza askari
Yana awa jamaa wanajiona jiona sana sema mungu yupo ipo siku moja watapata uchungu ety watu wameenda South africa alafu wamebadilisha majina sasa ndio nn ww yanakuhusu nn wao wakibadilisha majina yao
Huwezi kumata polisi kwenye kesi ya polisi
Safi sana kipanya umemuuliza maswali maxuri sana
Inaonyesha huyu mlilo nimiongoni mwa watekaji mana kauli zake zinaleta ukakas pia ninacho kielewa Tanzania hatuna jeshi tunakikundi kimejivisha elementi ya kijeshi lakin kazizao ni kazin zao ni majambaz kiujumla tuna majambaz hatuna jeshi mungu ndo anajua
Mh!
Kweli kaka wala usigune...@@EmmanuelSimion-d3e
Huyo mliro mwenyewe mtekaji
Mulilo mwenyewe ni mtekaji mkuu
Hakuna kazi ngumu kama kutetea uongo...
😂😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣
Nimeipenda hii ❤
Jeshi letu La polisi ni janga Aisee sijui limepatwa na nini!!!? Weledi sifuri. taaluma ukichanganya na siasa ni umekwisha masood kipanya uko vzr Sana kaka pamoja na team yako msichoke endeleeni ivoivo na endeleeni kuwaalika tuone panapo Vuja.
Kaka masoud umeuliza swali zuri Sana lakini Cha kusikitisha halijatolewa majibu sahihi, tunamuamini kamanda wetu mulilo na tunaipenda kazi yake hivo ni vizuri alichukue Ilo swali na kulifanyia kazi. Asante
Mlilo ana maanisha askali wake akitajwa kwautekaji yeyeanaandika kwenye failizake kwamba asikali siku hiyo alikuwa ametumwa mkoa furani ,hapo huyo anachunguza nini,ona anavyopindisha hoja watanzania tutaisha
Kama huyu anaetoa majibu hapa ni jeshi la polisi basi tunayo kazi kubwa
Kama ujawai kupelekwa police uwez kujua omba yasikukute et uchunguz yani! mungu atusamehe
❤❤❤❤❤❤
Hatuna taarifa za kutosha ila tuliowaamini na kuwathamini na kuwaona polisi ni sehemu ya ulinzi ila imani yetu kwao inatoweka kabisa wanatakiwa kuwa smart sio kutumia nguvu na vitisho sisi tunawathamini na kuwaheshimu na ni kweli kazi yao ni ngumu na wanapitia changamoto nyingi ,.Tunataka kuona ubora wa kazi zao na maarifa makubwa kuna sehemu hekima inahitajika sio nguvu
Mungu wa haki Tunaomba ikikupendeza...........raajuun
Natamani kujua Elimu ya Kamanda huyu, mana ninamashaka nae.....mana haelewi anachoulizwa
Amakweli uongo wa polisi sio ukweli wa raia. Polisi ni chombo Chenye nguvu sana katika Jamii. Na wasii vijana wangu ambao wapo katika jeshi la polisi kueni waadilifu. Kwani kesho yenu amujui... Mwenyezi Mungu anawapenda wanaofanya uadilifu.
Maswali na majibu nivitu tofauti au Sina uwelewa
Masha Allah masoud umeuliza swali zuri sana
Huyu bwana anakua kila kitu kinachoendelea😢😢 ila Mungu yupo
Hakuna kitu hapa aibu tu
Hamna kitu hapa Hana analojibu, mbambamba nyingi
Safi sana Masoud Ally Nyomwa
Hawa police watanzania tuchukuwe hatua kwa hawa police kwani tunaishi nao na sisi tukawauwe watoto wao na wazazi wao
Masud uko vizuri sana
Afande mrilo unatoa majibu mepesi kwenye watu ambao kwasasa wanauelewa mkumbwa sana unatuona watanganyika niwajinga sana wa kudanganya
Je afande anatushauri kwamba watakaokuja kuchukua watu wananchi waungane wawadhibiti kama hawatatoa vitambulisho?
Hakuna anachojibu afande, anazunguka tu. Swali liko wazi, kwenye hali ambayo askari anatajwa jina nini kinafanyika? Hatoi jibu, anazunguka.
👀
Kaz ya hawa watu ni changamoto
Masoud ❤❤❤
Yani hawa wamebaki na mavazi tu lakini si kazi. Naumia sana kwa yanayoendelea. Waandishi mnatakiwa kujua uchunguzi hufanyika kama muhusika ni CCM ila raia wa kawaida ambaye hajihusishi na shuguli za CCM hanaumuhimu. Hapo nakubaliana na kauli za baadhi ya makada wa CCM wanaosema kesi ya mwanaCCM na wengine ni tofauti inaonekana kabisa.
Afisa ni dhaifu mno ktk kazi yake, anaonyesha uwezo mdogo sana ktk kuelezea kiupolisi hana uwezo wa kuwa mkuu wa police anaeleza kisiasa kabisa
Dah Mungu tusaidie tujue kwamba upo hata km huonekani kimwili🙏
Bado hujajibu swali mzee acha kupuyanga
Masoud muulize mpaka akujibu.😮😮😮
Kusema kweli Mimi binafsi huyu kamanda huwa simuelewi maana naona kama ana udhaifu katika kusimamia watendaji wake,ye naona amebase katika siasa tu sio kuangalia majanga yanayosababishwa na jeshi la police Kwa wananchi!
Kuna kitu kinaitwa Leadership (kiukweli kwa Tz viongozi wa Umma wanatakiwa kulitendea Haki hili NENO hasa Jeshi LA POLICE TANZANIA)
Atuna ima na polisi wa Tanzania ni kama majambazi
Kamanda mbona maswali unayoulizwa tofauti na majibu unayotoa
Bas ilikuwa haina haja ya kuzuia maandamano mngewasikiliza waandamanaji ili muwasikilize mpate taaliza ambazo pengine zingewapa ukweli juu ya hao wanaotajwa, kuliko hii ya kuzuia, inaleta sintofahamu,
Afande hapo naona kama Masoud Kipanya hajapata alichokuwa anahitaji hapo
Shida polisi mkiwa mnakamata mhalifu hamkubali kupigwa picha kwanini hamuoni hiyo mnapoteza ushahidi toeni elimu kwa watanzania pindi wanapotaka kukamatwa
Naamini mungu yupo na kila nafsi itaonja umauti aya yote mapito ya kesho. Mana ukipandacho duniani utavuna mbinguni mn naamini kila chozi la mnyonge litapata uponyaji kwa mungu.
Muchungaji bola ni yule anaye wapa machungo bora mifungo yake bila kuwatesa
Tunaenda wapi jamani mbona ss niwaamani kwann tusiezi amani yetu ,mungu ubariki tz nawatu wake emungu waazibu wanao ua watu bila hatia i
Muliro unazunguka mbuyu sema ukweli mungu anakuona unafahamu Siri yote ya mauaji na utekaji sisi siyo watoto wadogo
Kaka masoud umemuuliza swali zuri lkn majibu yake ya kujitafunatafuna masoud kazi ipo samia na jeshi lake
Jeshi la polisi limeoza
Afande mbona anazunguruka tuu zuieni hicho kiti kwanza tuelewane
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂 daaah
😂😂😂
Kwanini hajibu swali mbona angekuwa kipanya katajwa angekuwa kakamatwa kwanini hawo hawakamatwi
Salute mwandish
Haya mambo bhana MUNGU atusaidie tu!
sisi tulichokiamua police 👮 akija mtani kwetu aondoki na mtu labda aondoke akiwa oi au amekufa sababu atuwezi kukubali ujinga huu sababu anaulizwa swali lengine anajibu swali lingine kabisa
vipi lipoti ya upelelezi mtekaji unajua roma alimanisha nini
Unajua mm ninacho kiona police ss mnatulisha chakula kimbichi saiz watu waogopa polisi kuliko mahakama bro police acha tu
Sasa hawajulikani lini watajulikana mbona tupo kwenye wasi wasi hatuna amani kilasikuwatu wanatekwa
Hii ndio sababu polisi hawezi kuchunguza kesi ya polisi waalifu, tu outsource hii kwa taasisi ya nje kufuatilia
Kuna mtu amesema askari fulani tunamjua na kulikua na cctv camera
Yani katika watu siwapendi duniania ni polic wa tanzania maana awana hutuu kabsa alfu awa viongozi wao wanawatetea sana ila ingekuwa rahia kampiga polic yani watakamata mtaa mzima awa awana maana kabisaaaa
Bro masoud fanyeni mumpate waziri wa mambo ya ndani aje ajibu yote hayo ila kesi ya ngedere kumpelekea nyani .....
Tanzania raia haruhusiwi kua na smg ni polisi peke yake kama sio police ni nani anae miliki silaha kama hizo basi kinacho takiwa toeni elim kwa watanzania iweje akija kukamatwa ajilizishe vip kua hawa ni polisi kweli
Hongera sana kamanda murilo ila kwenye jeshi la police kuna tatizo kubwa sana hujma za ubambikiaji kesi kwa raia umekuwa kwa kasi sana chunguza hilo na chukua hatua
😂duh. Mungu atusaidie
Kuna police wazuri, na Kuna police wabaya , muliro usitete nafsi za vijana wako. Muogope Mungu.
Mmmmmh tunachamoto kubwa kwenye jeshi letu la police
Majibu mepesi kabisa anatoa kamanda ila naisi wao Awana Mungu awa jamaa wanajipa cheo Cha mtoa roho utazani wao hawatakufa kumbe apa duniani wote niwakupita tu ifike mahari Viongozi mumuogope Mungu.
Safari ni ndefu sana na hata robo atujafika
Huyu hata haelewiki tangu kua kanda dar ni shida, mji upo ovyo ovyo
Uyu afande kisisiasa zaidi
Naam Kabisa
Swali zuri kipanya ila majibu tofauti kabisa mmmmmmhuuuu
Jeshi la police ni bado kizungumkuti
Unayemuulza ni muuska unatarajia jbu gani,
Huyu.Bwana ni Mropokaji na Hana Jipya ana Linda Jeshi lake
Sio wanaamini wameona mzee acha kujikingia kifua mzee
Uchunguzi wa nn na unamchunguza nani acheni usaninii hata kamanda ana familia kazi yako isiwe laana kwako
Next please
UYO mlilo muongo kashindwa kukujib Na awezi kujibu ata akijatena apo studio
Tunasafari ndefu sana ukicheki macho ya masoud anapata hasira kupitiliza😂
Murilo wimbi la watu kupotea ni kubwa sana haijawahi kutokea. Sasa kila swali unaleta siasa. Jamaa juzi anasema anakumbuka alipelekwa osystebay alafu akatupwa porini naye alijizima data. Hili ni janga ni bora muonbe msaidia kwa jeshi tusifanye mchezo maisha ya watu. Mo Dweji naye alijificha eti watu wanajizima data
Matako huyu, he is so an ethical /unprofessional .Hebu tupunguze matumaini ya hawa gangster wanavaa uniform za polisi ,wapo hapo kwa interest za CCM.
Solution ni katiba itakayo badilisha mfumo wa jeshi kuanzia uteuzi wa IGP, ma RPC na OCD .
Wawe wanaajiliwa na Mameua na siyo hapo wata save interest za Wananchi.
Lakini kwa mfumo huu hakuna watakachofanya kinyune na mwajiri wao,Rais ,Waziri husika
Dah aisee Mungu tu aingilie kati viongozi wetu wawe na busara juu ya haya malalamiko ya wananchi kuna vitu vinajengeka kwa jamii vitatuathiri baadae
Kipanya unaokomavu sana kwenye utangazaji hongera ila huyo afande ni siasa tu
Mm kwangu Power break fast ikiisha nafungaga radio
hana.cha.kujibu huyo
Polic mnazinguwa sana nyinyi
Tutachukua picha kila tukio la police arrest report.
Hana Majibu.
Duh Hamna kitu hapo ujanja ujanja tu
Hawawezi jichunguza.
sasa sativa alifanya tukio gani mbaka mkampeleka kalakana
Haja jibu swali la Masud Kipanya
Naona anakwepa swali 🤣
Anajaribu kukwepa maswali ya msingi lakini waelewa tunajua kuna ukweli anaoujua juu ya Askari wanaolaumiwa kuchukuwa watu kinyamera na kuwapoteza,na sikuwa wananchi wakichoka wataanza pia kuwapoteza askari
Tuendelee kushika tama
Yana awa jamaa wanajiona jiona sana sema mungu yupo ipo siku moja watapata uchungu ety watu wameenda South africa alafu wamebadilisha majina sasa ndio nn ww yanakuhusu nn wao wakibadilisha majina yao
Huyu ni muhuni
Leo mtekaji mkubwa anaojiwa 😂😂😂
Hiyo nikutaka kujitoa kwenye makosa kujifanya alikuwa sehemu nyingine na si sehemu ya tukio
Hapo ni trab na trat swali kingine jibu lingine
sasaivi tuwetunawapiga picha wakikamata mtu ili wakikataa tunawaonesha picha
Ndio dawa
Hayuko serious
Saws ongea ukweli
Jeshi la polisi mara nyingi halina ueledi kabisa
Mara nyingi serikali na majeshi Huwa na lugha zao kikazi
Kuna sheria ya kutoa taarifa ya uongo polisi, walinzi wa Mbowe walieleza kubadilishiwa majina, na kuhamishwa vituo. Anasemaje kuhusu hayo?
Very sad polisi anatoa majibu ya ovyo hivyo.
😂😂😂😂 sawa kaburi la kila mmoja lipo karibu sn
Kwahiyo mwananchi kukataa kukamatwa na polisi kama hawana uniform