Asiyeamini akifungamana na asiyeamini hakuna madhara hata ukitafuta mwanamke mwenye sifa ya kuolewa kadiri ya sababu zinazopatikana kwenye maandiko utahangaika sana zama hizi ukiamini bila kukagua. Na zama hizi hakuna kuhani mhubiri mcha Mungu wala wewe kuvijaribu violewavyo vyote kama una haki ya kuviozesha...unazuga tu watu.
Ameen
Nakupata Askofu BARAKA
👏🙌💝 real
Nasikia maelezo tu sijapata sababu hata moja.
Asiyeamini akifungamana na asiyeamini hakuna madhara hata ukitafuta mwanamke mwenye sifa ya kuolewa kadiri ya sababu zinazopatikana kwenye maandiko utahangaika sana zama hizi ukiamini bila kukagua. Na zama hizi hakuna kuhani mhubiri mcha Mungu wala wewe kuvijaribu violewavyo vyote kama una haki ya kuviozesha...unazuga tu watu.