Mch Paul Kuria Kutoka Kenya Avunja Mbavu za Watu Kanisani Kwenye Marriage Revival Dinner Party 2018
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 11 มี.ค. 2018
- Mch Paul Kuria Kutoka Kenya Avunja Mbavu za Watu Kanisani Kwenye Marriage Revival Dinner Party 2018 iliyofanyika siku ya Ijumaa 02.03.2018 katika kanisa la Mlima wa Moto Mikocheni "B"
Dr Getrud Rwakatare Mama yetu kipenzi..Tz ulipoteza shujaa wa ajabu, mwajiri wa waalimu, watangazaji, mama wa wachungaji, mfanya biashara mashuhuri....Asante Bwana kwa kumleta huyu Mama DUNIANI na kumtwaa TENA...I loved this strong woman
Kuria is the perfect one ...nice teaching❤❤❤❤
Good job our pastor I've really enjoyed 😉 the teaching
This is the real pastor. Mafundisho ya ucheshi hasahauliki kamwe.Mungu akubariki Pst Kuria
Amen mtumish kweli changamoto zipo ila kwakua yuko Mungu alieanzish ndoa basi wanandoa wanapasw kupeleka kero yao kwa Mungu aweze kutatua matatizo tusitangaze mambo ya ndani maan akun mtu anaewez kumsaidia mwenzake ni Mungu tu pekee asant pastor Mungu akuongezee hekim bb
Sijaona mtu amelala kanisani hii ni fire 🔥️🔥️🔥🔥😥👏👏👏 sasa pokee wokovu
Kanisa nzuri Sana starehe kibao, injili inapanda na soft drinks.. Fungua branch ingine huku Kenya..
wapi likes za kenya
Pastor mankush next ukienda TZ uniite twende pamoja
Mafundisho mazuri for reviving our marriage !! Thanks, Pator Kuria !!
Pastor Kuria ni nooomaaaa sana anafundisha huku anachekesha.mama Leo anakubali watoto wake wakija kumchukua mama yao na kumpeleka mahali naana mwacha baba
This man is saying deep things of God, don't be so ignorant to see how God is using him to mend marriages and war against the enemy.
Pastor kuria God bless you,you made my night .
Ooh ok nilikuwa sijaona vizuri kumbe ni marriage revival oh good
Pastor God bless you for telling people the truth I have learned alot ,keep it up "mwenye sikio askie"
Mlima wa moto kuna warembo jamani! mambo ni moto!!
This was just awsome God bless you
Tanzania kuzuri hivyo👌👌👏👏👏👏
Karibu Esther DSM Tanzania
Kuzuri Sana . Karibu
May the Soul of Bishop Dr Gertrude Rwakatare Rest in Eternal Peace.
Makanisa mengi yanakosa mafundisho kama Haya.....ndio maana now days ndoa za kikristo zina talaka.....nimejifunza pia!! Mungu akubariki pastor kuria baba wa man kus
Emanuel Lairumbe mabo Emmanuel
whaooo ilike this my God bles you
Amina nashukuru Mungu kwakua amemtumi mtumishi wake huyu duuuu nimejifunza kitu Mungu akubariki
vitu hivi kanisa watavimic sana maana mama alianzisha jambo muhimu sana ni wachache wanaofanyia hvo wana ndoa.Mungu aikumbuke kazi hii.
Waoo pastor kuria karibu Tanzania tunakupenda
Pst kuria wewe top oman watunjenga sana
Pastor Kuria youre,Great Teacher.
Safi sana pastor urudi tena TZ
Bravo man kush ladies and men in that church are very beutiful
Blessd mum. Hapo sawa
Wonderful message Man Kush.
Who to bless who be blessed man of God you're highly favored by Jehovah.
Watz mumependeza hongera, pastor Kuria rudi nyumbani we miss you
Goodwork
Sikuwai jua unakimanya kiswahili man kush..ulijitahidi dar kweli..barikiwa
hao wanawake wanashika shika simu kanisani.. tabia mbaya sana. malezi ovyo.
Sio wote wanachati wengine wanasoma vifungu vya biblia kwenye cm
Ni hovyo sana kiukweli
Good job pastor kuria you are always real.much love
Well done Man Kush, you're my mentor.
I do like this idea of inviting different pastor to share the words of God in different places, let pastor mgogo also visit Kenya.
I second this,,, mgogo nampeda bure
I 3rd you
Ashaenda kenya several times na hata hapa yupo nilisikia tangazo from the beginning akitajwa atakuwa kwa mkutano.
Very inspiring message, Jacob from baringo
Beautiful teachings
Pastor kuria you are the best
sio porojo. muyazingatie
good and the best pastor in Kenya
Ndio maana sikuoni Churchill shw siku hisi, kumbe uko Tz??? WAaaah
Wow kanisa la huyu mama kiboko kuna meza na viti vya kila size naona kuna za ambao wapo kwenye party wow that nice
Huyu pastor mwisho wa shida. Duuuuuu
I really appreciate you pastor kuria_👋👋👋
Habari za mungu zinamajibu na vitu vyote vy a dhamani mungu ana majibu yake
uko vizuri ase by michael mshana
Great conversations
I really like this man of god Kuria
The reception was on 👌👌👌👌 ...
hatariiii huyu mchungaji.....moto hufa kwa sababu ya kukosa kuni.
Daudi Koroso ndio hio sasa great
Mafundi yapo vizri past mungu akubariki
Amen pst
Be blessed Pst Kush u r the best aki asant kwa mafundisho yako mema
Safiri salama Daktari Bishop G.Rwakatare
Man Gush aii beyondn border we are proud of you
Some comments yawa he is great preacher you like him or hate him period !!
true
True
wow thats amaizing
These pastors and churches makes us to question if there is heaven!! Spiritually in limbo!
Why victor? Paul did not only speak about heaven but also about our daily life and relationship with fellow man.marriege and family.Now we only concentrate on heaven issues and forget our family and life on earth which is also important.
Kabisaa moto hufa kwa kukosa kuni ndiiooo
Great.. like the teaching
More of a motivational speaker than a preacher. Very good teachings for marriage couples. Kama hii ni marriage ceremony it was wonderful but if it was a church service......only God knows if it was from Him.
Read the title well,Marriage Revival dinner party
@ Caro the preaching was about love and God is love...also having sex is very Heavenly... this message should be preached in main service
read song of songs by king Solomon and you will see the romantic language used in it
Woo nice seminar
May the lord help us keep our socks panties,shave & inner garments clean..Amen.
Wah pastor kuria comedian
Video editor. ...u get 20%
The feedback sound kinda hitchi
Nice conference
Aisee mungu anavifaa
nimeupenda ushuhuda wa pastor kumuacha salama mkewake gari INA mafuta ya kutosha na simu imejaa salio hapo vile vya kwanza ndio usiulize yani jikoni kwenye friji nk ni fulu
Pastor uko juu
Hehehehe! Man Kush is a real comedian!!
God bless u pastor
mtumishi wa Mungu twakuomba huduma hii muilete na mwanza
Collin Carlos mfuatilie mtandaoni
Grace Mwalu Nimeshirik ibada zake nikiwa nrb Mara nying,,lkn pia hilo si lako kujibu ,,,,,mtandaon ni tifaut na live ,,,na hta hvyo IPO kamati pale mlima wa moto ndo iliratib na ndo nilyokusudia
Wachaniwaambie ambo ajaelewa nikanisani ndio lakini kulikua nashelehe yawanandoa lakini namafundisho yalikuwepo uwa inafanyika kwamwaka malamoja mwezi wa 3 balikiwa sana kama umenielewa by mwana wabishop rwakatale
Napenda sana mafundisho yako sana man kush
Tanzania are so humble
Lucy Kimani who told u
My favorite pasi
Mtumishi rulea sikia kilio cha watazamaji sound haipo poa chukulia sound kwenye mixer ikikupendeza tafuta na sound card
Herald John it's very pathetic,,,,, iko na sound fanny
muhubiri Paul huduma safi ucheshi wako unafikisha ujumbe nyumbani.
Mungu ni mwema
Mafundisho ni mazuri lakini sound system mbovu sana
Kim Mtorobo nitake radhi mchukua picha anatumia mic ya kamera unategemea kupata kilicho bora kweli
waoo thanks God
Ata kama mwarabu hapa Dubai amenikasilisha wen i watch u furaha huwa nayo teletele u win mtumishi
Pole sana pia mm niko oman najuwa hawa waarabu
I follow you everywhere
nice kuria
Kikiki "naughty Pastor"
I could see some very uncomfortable faces in the audience ......
This topic is almost never discussed ...
Ngwedety muno mch kush
RIP Dr.Bishop Gertrude Rwakatare
Somthing very wrong with the ambient n colour...Wonen dressed like Jazabeel..enticing..with red nails...am not judging..looks more like a party than humbled souls...Mungu awaongoze muregee kwa njia za kuabudu na unyenyekevu..nyooni..its not late for change
Huoni ilikua Arusi
Lol ,hitting the nail on the head 😂😂
Ni furaha kwetu sote kupata dhahabu ya habari ....ninachokisema kuweka Mambo bayana bayana ni vingumu mtu akwambie ukweli hata rafiki hushindwa kupa mashauri ya maswala ya doa. Heko Man Kush Ndani Africa mashariki nakutambua kuweka Mambo wazi .
Great message
Hatari sana
Mambohayo merci
Hahahaha wacha ni cheke paster kuria Heheee umewezaa
Lilia Akwan
Mungu yu mwema asande
AMANDUS ZACHARIA AMEN MUNGU ni mkuu
Crazy but true
nimebarikiwa baba
wingi wa hekima
Was. Funny fine
ati njahirira
It's just not a laughing matter.. It should be troubling us deeply.... This is how Jesus was mocked in the past
Mch.kuria