Ask. Bagonza: Je, ni dini au Ujasiriamali?

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.พ. 2025
  • Ameelezea kinagaubaga kuhusu Usahihi au Upotofu wa mafundisho mengi ya siku hizi. Hapa anazungumzia dini zote.
    #africa #education #elimu #kad #ikulumawasiliano #automobile #karagwe #kijitonyama #kkkt #mindset #live

ความคิดเห็น • 11

  • @ErastoManyika
    @ErastoManyika หลายเดือนก่อน +1

    Nampenda Sana baba askofu Bagonza,amenisaidia sana Kwa mafundisho yake makubwa yenye kujenga na kuelimisha

  • @michaelambangile3632
    @michaelambangile3632 หลายเดือนก่อน +2

    "Hahitaji msaada wa kitu chochote alichokiumba mwenyewe." Nimeipenda. BWANA akubariki Baba Askofu na ambariki huyo Mwandishi ambaye anayemudu kukuuliza maswali kwa mpangilio unaotoa ushirikiano.

  • @KanutiKasian
    @KanutiKasian หลายเดือนก่อน +2

    Hivi kwanini vipindi kama hivi visipewe nafasi katika TV zetu kubwa Nchini ili ujumbe huu na kama huu uwafikie watu wengi.Maana imeandikwa kuwa WATU WANGU WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA.

  • @innocentb.s4008
    @innocentb.s4008 หลายเดือนก่อน +1

    Nani anapotosha na nani anapotoshwa...👀 "Huenda hata wapotoshaji hawajui kama. Wanapotosha na wapotoshwaji hawajui kama wanapotosha😢😢"

    • @elct-karagwediocese4244
      @elct-karagwediocese4244  หลายเดือนก่อน

      🤷

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward หลายเดือนก่อน

      Ukitaka kujua nani anapotosha soma habari Swameli na Heri. Au Musa na Yoshua.

  • @jaspertito5343
    @jaspertito5343 หลายเดือนก่อน +1

    Ni uchambuzi unaokidhi mahitaji ya jamii kwa sasa.