😲😲😲😲heee huyu Lisa ni mzma kweli??yaan anamkataa mwanae aliyemzaa mwenyew duuh dunia simama nishukee🙌🙌🙌,,mama wee lea mjukuu atakuj kukusaidia cku moja n huyo Lisa atajutia hayo anayoyatenda leo na mungu atakusaidia tyu
Wewe mama bora usngemsaidia huyo muuaj wa kikee hana hata aibuuu 😏😏😏😏ameacha mtot hospital anajifny walitak kumuua mwehu mmoja huyo kantibua hatr anatka utajir wakt hana kaz yoyte anayoifnya
Wewe si mama angu nzuri inaendelea au ndo imeisha sijaelewa.
hii ni nzuri zaidi hata ingekuwa na muendelezo jamani 🙏🙏🙏💞🇰🇪🇪🇺
Utupe muendelezo dada Tina ❤❤❤
Toba ili janga jmn😂😂😂😂😂😂uyu mgonjwa sio mzm
Wakwanza ku comment naombeni mu like comment yangu na mungu ata wa bariki muwe na siku njema❤️❤️❤️
😲😲😲😲heee huyu Lisa ni mzma kweli??yaan anamkataa mwanae aliyemzaa mwenyew duuh dunia simama nishukee🙌🙌🙌,,mama wee lea mjukuu atakuj kukusaidia cku moja n huyo Lisa atajutia hayo anayoyatenda leo na mungu atakusaidia tyu
❤❤❤❤
itowe full please
Wewe mama bora usngemsaidia huyo muuaj wa kikee hana hata aibuuu 😏😏😏😏ameacha mtot hospital anajifny walitak kumuua mwehu mmoja huyo kantibua hatr anatka utajir wakt hana kaz yoyte anayoifnya