Amina Amina
Aise watu wengi wanapotea kwa sababu tu wale wenye kweli wamekaa kimya. Ubarikiwe sana mwalimu Usmail , watu hawajui thamani ya kuwa na Yesu katika maisha yao
Wow mtum. Nt easy to the work ur doing. I support u in prayers. Many people perish fr lack of knowledge, usichoke.
Nakupenda bure wewe mze wangu lala katika imani tukufu ya kristo hongera
Kweli tuna macho lakini hatuon,
MUNGU msaidie huyu kijana maana wewe ni zaidi ya mali
Ahasnte sana mwalimu kaw kazi nzur,
God bless you abundantly