UTACHEKA!!! DULVAN akiiga sauti ya WEMA SEPETU, "nimeblock.....unakuta mtu anakutukana"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 25 ก.พ. 2020
  • #WEMASEPETU
    #WEMAAPP
    #DULVANI
    #COMEDY

ความคิดเห็น • 46

  • @zainabujuma7252
    @zainabujuma7252 3 ปีที่แล้ว +2

    .
    .
    .
    KULEGEA KWA MISULI YA UKE.
    Tatizo hili huwatokea wanawake wengi kabla au baada ya kujifungua. na wanawake wachache Sana huliepuka kutokana na tofauti za kimaumbile na njia ya uzazi anayotumia mwanamke huyo.
    Uke hutanuka zaidi ya kipenyo chake cha kawaida ambacho ni sentimeta nne, sawasawa na kipenyo cha uume ambacho Pia huanzia sentimeta nne na kuendelea kwa wanaume wengi.
    SABABU ZA KULEGEA
    1-uzazi wa karibu karibu kwa vipindi viwili vifupi vifupi kwa njia ya kawaida.
    2-matatizo ya vichocheo, homoni za kike hushindwa kufanya kazi vizuri kutokana na mashambulizi ya magonjwa sugu kama vile; kansa,TB, HIV/AIDS, kisukari, na Magonjwa ya zinaa kama kaswende.
    3-kuongezwa njia wakati wa kujifungua kutokana na ukubwa wa mtoto. Misuli ya uke hulegea na uke hutanuka kabisa, ndiyo maana wanawake wengi sasa wanapendelea Sana KISU ili tu asiharibu uke wake, (mawazo yao) ingawa uke unaweza kutanuka hata bila kuzaa.
    4-Umri mkubwa. Mwanawake mzee (Wabibi) hali hii haikwepeki hata kidogo, hata kama hakuwahi kuzaa (mgumba) Kwani misuli ya uke hulegea Kadri umri unavyozidi kuongezeka hasa kuanzia umri wa miaka 70 na kuendelea.
    MADHARA
    Mwanamke huathirika Sana kisaikolojia na kimaumbile, kwani hupoteza raha ya tendo la ndoa kutokana na kutokuwepo na msuguano wa kutosha baina yao kama ilivyokuwa hapo awali, hali ambayo humuathiri mwanaume pia, na kushindwa kufurahia uke wa mke wake na pengine huanza kutoka nje ya ndoa na kuzidi kumuathiri mke kisaikolojia hata aione ndoa Chungu Sana kutokana na kukosekana mapenzi na ukaribu baina yao.
    NINI KIFANYIKE SASA
    1- Epuka kukaa na magonjwa au maradhi ya ukeni mara kwa mara kwa muda mrefu bila kutibiwa
    2-Kumbuka kujisafisha vizuri kila unapohisi tu kuna tatizo ukeni kwako kisha muone Daktari anayeshugulika na magonjwa ya akinamama kwa msaada mkubwa
    3- Zingatia chakula bora hasa mboga za majani na matunda ya kutosha kila siku, Kwani katika mboga mboga na matunda kunapatikana vitamini na madini mengi Sana yanayosaidia kuweka sawa mwenendo wa mfumo wa homoni, upevushaji wa mayai, uimarishaji wa misuli yote inayounda mfumo na viungo vya uzazi
    4 - Mazoezi ya viungo, Kubana pumzi na kubana misuli ya uke wakati wa kukojoa ama haja kubwa kuitoa kwa kukatakata kidogo na siyo kusukuma haja yote itoke kwa wakati mmoja.
    Suluhisho lipo tumia femicare +96879161307/+255 769 381 343

  • @queen.christelle1
    @queen.christelle1 3 ปีที่แล้ว +1

    Na nyinyi mna amini upuuzi hio sio kweli

  • @dianalyanga3310
    @dianalyanga3310 3 ปีที่แล้ว +2

    Hahah. Daah umewezea iyo sautiii

  • @lovevivy7459
    @lovevivy7459 3 ปีที่แล้ว +1

    Uko vizuri dull

  • @michaeleustach9769
    @michaeleustach9769 3 ปีที่แล้ว +2

    Jera ukiwa unajixhaua xhaua kma demu unaolewat

  • @michaeleustach9769
    @michaeleustach9769 3 ปีที่แล้ว +2

    Hyu atakuja kuwa mushkeli

  • @rehemamakame8898
    @rehemamakame8898 3 ปีที่แล้ว +4

    Namkubali dullyvan

  • @faridaoman149
    @faridaoman149 4 ปีที่แล้ว +3

    Hahaha hatari hila hizo kucha

  • @nathalienyota3176
    @nathalienyota3176 4 ปีที่แล้ว +3

    Kitoko

  • @AlarmMedia4600
    @AlarmMedia4600 4 ปีที่แล้ว +2

    HApo kati patamu mwisho kaua

  • @sabrinasab2910
    @sabrinasab2910 3 ปีที่แล้ว +4

    Makucha kama jini😄

  • @fatmerhabibth7477
    @fatmerhabibth7477 3 ปีที่แล้ว +2

    Hii sauti ya wema kumbe yakera watu wengii...

  • @haleemasulthan4894
    @haleemasulthan4894 4 ปีที่แล้ว +2

    Kampatia haswa madhallah

  • @christinajohn181
    @christinajohn181 3 ปีที่แล้ว +2

    Huko vizr

    • @htmnews6881
      @htmnews6881  3 ปีที่แล้ว

      Wamotoo wamuotee mbali

  • @rukiamatola2485
    @rukiamatola2485 3 ปีที่แล้ว +2

    Nyie amjaelewa sauti niyawema Ila yeye kanyanyua mdomo tuu ili aonekane anaongea yeye ameingizia sauti ya wema

  • @mlunguchibidu7979
    @mlunguchibidu7979 3 ปีที่แล้ว +3

    HIYO MIKUCHA KAMA KUNGURUU

  • @mkongafiber4285
    @mkongafiber4285 3 ปีที่แล้ว +5

    Huyu dulivani kama hajabadilisha style huenda watu wakamfira kabla hajafa.

  • @rahmssalum3163
    @rahmssalum3163 3 ปีที่แล้ว +2

    Dulvan nibalaa

  • @Saadah-jm5xs
    @Saadah-jm5xs 3 ปีที่แล้ว +1

    Waaaah🤣🤣🤣

  • @hassanmchau8908
    @hassanmchau8908 4 ปีที่แล้ว +4

    Hapo mwisho wa video kamalizia gudi

  • @annamshangi1648
    @annamshangi1648 4 ปีที่แล้ว +2

    Mmmmm

  • @pastoralamoth1824
    @pastoralamoth1824 3 ปีที่แล้ว

    😂😂😂😂😂😂🤪🤪🤪

  • @hidayaasumani820
    @hidayaasumani820 3 ปีที่แล้ว

    T