Nafurahi sana
mayele welcam to simba sport club welcam to to home my blother thank u
Hata aende simba hatuna wasiwasi pamoja nahayo ila kazi inaendelea "piece and love kwa wanajangwani "ni fireeeee.
Inaeza ikawa ni kweli fiston kalala mayele kaja msimbazi
Shamra shamra huo ni ya lini mbona mnatushua zana sis washabiki wa simba ambao tuko mbali na nchi yetu tetesi zimekua nyingi yasiyo elewk
Mayele ni mchezaji wa kawaida Sana hawezi kupokewa kwa shamrashara hivi, Kuna jambo linaendelea hapo na CRDB.
Aise isijeikawa mnatulusha tu hapa
Mayele +dube simba hyoo itakuwa ya moto mtatufurahisha washabiki hebuu fanyeni hivoo
Karibu mayere simba
Kalibu sana fistoni mayere
Je mayele atakua ana pa form vizuri
Kweli mayele amekuja ximba au
Jaman tuwe tunamuogopa na mungu HV mnahc mnavotudanganya ni vzr ety so pow
Simba ebu acheni kutufanya watoto .mwaka jani ilikuwa iviivi kwa mchezaji fulani tukasikia yuko andia. Tena mnataka kutudanganja tena kuhusu mayele duuuu
Mayere acha kuwa mjinga rudi yanga heshima yako itashuka naufarume wako utapotea bora uende hata azam sc uta enjoy maisha
Simba oyeeeeee
si sio watoto Simba by king obutu
Shauri kwako
Aah!! Mayele ndo nn unaniacha hoi me yanga Queen 😢😢
Simbaaa❤
Tuna mkarbisha sana mwamba waku tetema.
Havi kweli jamani Mayele kajiunga na simba
Kumbe Mayele mnahitaji?
Si mlisema si mchezaji?
Karibu
Kalb xan unyaman
Ok good Kama ametuwa msimbaz
Mayele ni mtu na nusu tukichukua na dube itakuwa hatar na nusu jamn Simba viongoz wetu fanyen kwel
Mayele Yanga si kwao
Mayele kwao ni Simba
Karibu Mayele ndani ya Simba
Usiogope hawakufanyi kitu ha o
Simba no.mfalme wa Nyika
Simba mbele kwambele
Mayele hawezi kwenda Simba mayele anamapenz na club ya yanga
Utopolo acheni zenu simba itabaki kuwa simba
Adina adinan
Nitamin siku yasmb day
Mmechoka na sisi habar zakizush kias hik mnafanya biashala au ushamba tumewachoka meshindwa kutafta habali za ukweli mnatuona sie mashabiki wa Simba mazizu
Simba hawana Hela ya kumsajili kijana mayele wao wanaweza kusajili wazee ndo zao.
Pamoja na yote wenzetu wnalia hawaamini Kama kweli Mayele anaenda Simba hawatajaili sanaakienda popote Soo simba
Pumbavu sanaa sasa mbona hamjawatambisha
Mnazingua kwani mayele Kawa mess mnatafuta vewers au acheni njaa
Simba kwell achen uong
Ukwer wanasimba tunateka xana me niwaombe viongoz waache tamaa watuxajilie kwanza watu xio Bola wa2
Mayele hamna mchezaji apo mm apa ni shabik wa simba lakin kwa Mayele hua simuamini hajui kma chama
Hayo ndo maneno y simb Kila msimu maneno mengi vitendo hakuna
Imeisha iyo
Mbona mijez mingi za msimu uliopita kuna nini hapa japo kauli mbiu ndo inayyonekana ni ya msimu huu
Simba nichama kikubwa hela tunao simba hatuna shaka kalibu maele
Mm ni mshabiki pia mwanachama wa simba lkn kwa hili la nyie battle tv kutoa hbr hakika ni uongo wengine ss tutajitoa kutokuwacliliza
Je ni kweli sijaamini
Last season nilikuwa nasikia eti manzoki Sahi mayele aki Simba weeeh🤣🤣🤣
Kaka nikweli
Kama kweli haya
Hii ndiyo simba yamoto mno msimhuu hakika tumezamilia
ohyoooooo jembe iro
Jaman mayele kama kwer unakuja simba tunakukaribisha
Naisi ao waomaliza mb zetu kwa kutuongopea wanafilana
Weeee achen utan mayelee so mchezaji wamchongo msifananishe nautopolo mwingine msiwe mnatudanganya
Siamini haya Kama ni ya kweli
daaah mungu anisamehe kama nimewatukana kimoyomoyo. ngoja nitie ka dislike hapo juu
Anajuwa
Akuna kitu kama icho yanga aiwez maanake simba munaiga
Acheni habari zenu
Yuko wapi huyo Mayele hapa?hebu mtambulisheni tumwone
Msibani natoa 100m kwa shabiki wa yanga atakaelia kumkosa mayele
Ivi jaman nikweli kuhsu mayele?
Mm napendekeza saido aende
Sisi sio watoto bwa wakudaganya ovyo
Hapa utopro wanatafuta nini humu mbo awatulii
Hii. Ni lini mwaka gani
mm bado sijaamini maan mitandao ni uwongo2
Kwenye kazi panakazi simba nguvu moja mbaka waseme.
Oa iyo n kweli ama tu n uwongo
Simba nimadunduka hayajielewi
Unyama n mwing unyama
Kwani nikweli mayele yupo
Ivi mpira nayo ni siasa?
Ata màyele aje bado kwa yanga
Km amekuja simba atskufs akiwa anaangalia kwa macho
mimi mpaka nimwone ndontaamini
Imeisha hiyo
we mjinga Simba hatuna njaa hiyo
Ap bado hamjasema
Yametimia mwakahu moto
Nijambo la heri ajitahidi naawe imara kama mwanzo
Hii no kwely aw
Niite mbwa Madeley akienda simba
Mayele
Uongo. Umekomaa
Hawa jamaa waongo nyie mtwaua vyura kwa preshaaa
WENYE NCHI HATUTAKI UTANI,
We mtangazaji una kaa nyangwa
kuwaamn bado itakuwa kama ya manjoki
Karibu sana mayere