CHEKECHE | Yanayojiri kwenye mkutano wa baraza la usalama la umoja wa mataifa (UNGA)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 30 ก.ย. 2024
- Mkutano wa Baraza kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA) unaendelea mjini New York nchini Marekani
Rais wa Mamlaka ya Palestina Mahmoud Abbas akihutubia Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa mjini New York, Marekani ametoa wito wa kutipatia Israel silaha.
Mkutano huo wa mjini New York kwa kiasi kikubwa umetawaliwa na wasiwasi kuhusu vita vya Urusi nchini Ukraine, vita vya Israel na Hamas huko Gaza, na uwezekano wa kutanuka kwa mzozo wa Lebanon.
Kujua zaidi kuhusu mambo yaliyojiri katika mkutano huo...karibu katika Chekeche
Hawa Vingozi wa Africa ukiwafikiriasana unaona wanaitikadi za kichawi unakandamiza wanao nyumbani unakwenda kumpa mali mgeni tatizo lingine debe la unga linawatesa Yan njaaa
Hamna lolote wanaenda kustarehe na kufanya uzinzi
Acha uongo umesoma hakuna faidi na UN
Nyinyi hamna mpya kila wanchojadili dw swahili maoni na nyinyi mnaiga