tunataka kuja kukusupport ndugu lakini tatizo nguo zako si nzuri kulinganisha na watu wengine ambao hata hawana jina kubwa kuliko wewe, matarajio yetu ni kwamba tukija kwa vunja bei tutapata vitu quality lakin sasa mtu anaweza kuingia dukan kwako kulingana na ukubwa wa duka akazunguka mpaka akapata kizunguzungu na akatoka bila ya nguo aliyoipenda lakn mtu anawezakwenda mtaani kwenye kifremu kidogo tu cha nguo na akapendezewa na nguo alizozikuta USHAURI WANGU JINA LAKO LITENDEE HAKI KWA KUTUWEKEA VITU VIZURI KULINGANA NA JINA LAKO. usituambie t-shirt n 15000 alaf tukakuta maronya wewe tuwekee n quality hata 25000 tutanunua
Hii ni kweli kabisa, Fred jitahidi uweke na nguo zenye quality kali ili uwavute na wanaopenda nguo zenye ubora na fashionable Jina lako ni kubwa sn ktk tasnia ya mavazi ila quality ya nguo ndio kitu umekosa, jitahd uweke vitu kama vya mwenzio Sandaland Shop
@@gibsonjosephat6352 nashkr mungu pesa ya mavazi hainisumbui tena hua sinunuwagi kwa bajet yan muda wowote nikijiskia naingia shop natungua vitu vikali tena kwa bei ya juu😂😂😂😂
HONGERA VUNJA BEI KWA KUWA NA MAWAZO MAPANA YA KUFUNGUA BIASHARA, MIMI NI MOJA YA MTEJA WAKO WA VIATU KUTOKA DAR.. HONGERA KUWA KIGOMA, UFANIKIWE KTK TAIFA LETU...
Mliyopata ajira Naomba MUNGU awaongoze msimamie vizuri hiyo biashara ya VUNJA BEI ili ipate kusonga mbele.Lakini pia ili muendelee kupata ajira. Wewe utakayewekwa kusimamia hiyo biashara Naomba MUNGU akuongoze ukawee mwaminifu.
@@hancybeny mawazonmgando nawakati mna ambiwa ukweli mijitu imelubdikana hapa imejaa kibao inashindwa kufanya kazi imejaa kama min'gombe yani ni vitu vya hovyo sana kupoteza muda kwa ujinga wakushangaa uzinduzi kama huo
@@fredichaki3497 kabla ya kuwabeza hao watu waliolundikana hapo lazima ujue hapo hawashangai duka hapo wanawashangaa wasanii na ndio maana vunjabei anatumia nguvu ya wasanii kutangaza biashara zake na ukumbuke kumshangaa msanii au mtu maarufu c ushamba coz hayo mambo yapo mpaka ulaya
Hongera sana mkinga wetu mungu azidi kukubariki zaidi ya hivyo2 uwe Kama mfalme Suleiman alivyo barikiwa na hekima zikufutatee
Ahongereke sanaa kwa bidii yenye manufaa JAH bless ❤
Nguo za Fred sio nzur
Nakupenda sana kaka yangu vunja bei
Hongera sana vunja bei
Ata mimi nimevutiwa nao nitazama kwenye shola zao nikag,arie
Kahama tunakisubiri vunja bei
Mimi binafsi nimefurahi kupata Jezi ya Simba M-bet kwa bei nafuu. Asante Fed
Dah Fred unani inspire sanna
Mashaallah
Wahaa wananuka.sana majasho.na.midomo
tunataka kuja kukusupport ndugu lakini tatizo nguo zako si nzuri kulinganisha na watu wengine ambao hata hawana jina kubwa kuliko wewe, matarajio yetu ni kwamba tukija kwa vunja bei tutapata vitu quality lakin sasa mtu anaweza kuingia dukan kwako kulingana na ukubwa wa duka akazunguka mpaka akapata kizunguzungu na akatoka bila ya nguo aliyoipenda lakn mtu anawezakwenda mtaani kwenye kifremu kidogo tu cha nguo na akapendezewa na nguo alizozikuta
USHAURI WANGU JINA LAKO LITENDEE HAKI KWA KUTUWEKEA VITU VIZURI KULINGANA NA JINA LAKO.
usituambie t-shirt n 15000 alaf tukakuta maronya
wewe tuwekee n
quality hata 25000 tutanunua
Chagua pa kwenda sio lazima uende vunja bei acha maneno ya shobo
Hii ni kweli kabisa, Fred jitahidi uweke na nguo zenye quality kali ili uwavute na wanaopenda nguo zenye ubora na fashionable
Jina lako ni kubwa sn ktk tasnia ya mavazi ila quality ya nguo ndio kitu umekosa, jitahd uweke vitu kama vya mwenzio Sandaland Shop
Nguo zipo fresh inatakiwa uvae nguo miezi 3 tu ununue nyingine. Sema hauna fweza wewe.
@@gibsonjosephat6352 nashkr mungu pesa ya mavazi hainisumbui tena hua sinunuwagi kwa bajet yan muda wowote nikijiskia naingia shop natungua vitu vikali tena kwa bei ya juu😂😂😂😂
@@sakayonsakihunga3496 sikia wewe wala hukulazimishw kunireply naomba tusiharibiane siku.
Hata Zambia tunasubiri
HONGERA VUNJA BEI KWA KUWA NA MAWAZO MAPANA YA KUFUNGUA BIASHARA, MIMI NI MOJA YA MTEJA WAKO WA VIATU KUTOKA DAR.. HONGERA KUWA KIGOMA, UFANIKIWE KTK TAIFA LETU...
Upigwe na wimbo la Taifa la waha ule kigoma aeheeee kigomaaaa lekatutigite wishava ameneke
Kigoma kumenoga
Karibu sana Vunja Bei mkoa wetu wa Kigoma.
Tunaomba zanzibar pia .
Mliyopata ajira
Naomba MUNGU awaongoze msimamie vizuri hiyo biashara ya VUNJA BEI ili ipate kusonga mbele.Lakini pia ili muendelee kupata ajira.
Wewe utakayewekwa kusimamia hiyo biashara Naomba MUNGU akuongoze ukawee mwaminifu.
Hongera sana
Mbn aji na kilimanjaro 2napata shda snaa kweny mavazi asa ya simba
Ila uchawi awache kwenda kuzimu
Hee kumbe mchawii
Watu ban mtu akiwa masikin shida akiwa Tajiri mchawi🤣🤣🤣🤣🤣 Tutafika mbinguni tumechoka Sana
Nawe kuwa mchawi utajirike
RC biashara binafsi#maslah yake mwenyew#kiki#mitumbakwenyeduka la spesho
Congratulation RC Ande,huo ni ubunifu.
Ubunifu wa kuzuia watu kwenda kazini kukusanyika kusangilia duka la nguo za China
Sasa hapo huyo wa muungano wa tanzania anaingiaje kwamfano.
Njoo na oman ufungue
Hongera Sana kijana ndomaana chimekeke Ana Sema vijana token magetoni nenda Ata porini urudi na ndege tu 🤣🤣🤣🤣🤣 🤣🤣🤣ona Sasa masiriko ya nin
Wewe lucy
@@dorcasmejason9808 Abeee eeeeee
zito kabwe hana shea hapo ? good luck
Kigomabana.....etinaehuyu nimsanii anajiita
Yaani mkuu wa mkoa anazindua duka? Nchi hii ina watu kweliii
Aje na uku moshiiii tunamkubaliiiii
hana nguo hapo ni uzushi tu
Kwa hiyo hizo zinazoonekan ni mifuko au ?
Kaweke zako
@@niceygeorge8042 hahahaaa watu bwana
Mambo ya hovyo kabisa, duka tu watu hawaendi kwenye shughuli zao
Acha roho mbaya
@@leonardkahimba9815 watu waache kazi kwa sababu ya duka tu, Acha ujinga
Acha wivu aisee tafuta pesa njaa itakufanya uone wivu mpaka kifo chako
@@joycekalago532 mpumbavu hawezi kuelewa
@@joycekalago532 mi na hela na huo ujinga sitaki
Karibu na kahama
Nitumie namba yako
Nguo feki, hata Mbeya hununui
@@mwitamalwa2773 ukamfunguliye au
Aende na Zanzibar kuwekeza vunja bei
Waha wa kigoma washambaaa spati picha vunja watamuita Rais
Acha umama
Alaf waha wa kigoma hawana hela maneno tu
We ni kabila gani ambalo siyo washamba
Kuma tu wewe
mikoa yote anayofungua watu wanajaa kama hivi, kwa hiyo siyo washamba.
Africa wajinga hawaishi
acha tu yani...ukiongea hivi utaonekana umewatukana watu ila kiukweli huu ni upuuzi, kwa style hii maendeleo tutayasikia kwenye bomba
Hayo ni mawazo mgando
@@hancybeny mawazonmgando nawakati mna ambiwa ukweli mijitu imelubdikana hapa imejaa kibao inashindwa kufanya kazi imejaa kama min'gombe yani ni vitu vya hovyo sana kupoteza muda kwa ujinga wakushangaa uzinduzi kama huo
@@fredichaki3497 kabla ya kuwabeza hao watu waliolundikana hapo lazima ujue hapo hawashangai duka hapo wanawashangaa wasanii na ndio maana vunjabei anatumia nguvu ya wasanii kutangaza biashara zake na ukumbuke kumshangaa msanii au mtu maarufu c ushamba coz hayo mambo yapo mpaka ulaya