HUSIYOYAJUA KUHUSU JEAN CHARLES AHOUA/ MRATIBU ABBAS ALLY ATAJA UGUMU WA KUPATA GOLI NNE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 25

  • @luluray2115
    @luluray2115 2 หลายเดือนก่อน +4

    Simba nguvu moja ❤❤

  • @Rihannaboniphace
    @Rihannaboniphace 2 หลายเดือนก่อน +7

    Vipi vya mpango yanga bila kubebwa na akina kayoko ni ngumu kushinda mechi so muwe na aibu make kmya..

    • @maryamnofli2109
      @maryamnofli2109 2 หลายเดือนก่อน

      Ahsante. Kwa. Jibu. Zuri
      ❤❤❤❤❤❤❤

  • @Edwardj4m
    @Edwardj4m 2 หลายเดือนก่อน +7

    Mzee wa vigomaa😅

  • @SubofficeNanyumbu
    @SubofficeNanyumbu 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mratibu wa simba sport club huwa namwelewa sana hana hata mambo mengi yan❤

  • @zubedaharoun6991
    @zubedaharoun6991 2 หลายเดือนก่อน +2

    ❤❤❤❤❤

  • @JohnJoseph-qq7ow
    @JohnJoseph-qq7ow 2 หลายเดือนก่อน +16

    Kama ligi ingechezeshwa kwa haki hata azam angechukua kombe yanga inayobebwa sana huo ndio ukweli

    • @abuumuhammad7133
      @abuumuhammad7133 2 หลายเดือนก่อน +2

      Fact sana ila tatizo kun maelekezo ya Simba na yanga wanatakika wawe wanapokezani kijiti miaka 4 kwa 4 huu mwwka wa mwisho wa yanga maana winga.wa wapiga ile ya miaka 5 ni wapo katika haya makundi wapo simba na yanga na Waislaam na wakristo hao.nikuwabalance sana mambo yao

    • @DorahAlbert-eb9zv
      @DorahAlbert-eb9zv 2 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@abuumuhammad7133Kama nimekuelewa vile duuu😮😅

    • @PriscaNoah
      @PriscaNoah 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@abuumuhammad7133kama Kuna kaukweli Fulani ivi 😂😂

  • @allynasri7544
    @allynasri7544 2 หลายเดือนก่อน +4

    Simba NguvuMoja

  • @alimirajali6652
    @alimirajali6652 2 หลายเดือนก่อน +1

    Wailulliquli umeitafsiri vp mkuu wangu

  • @KelvinLaizer-n6y
    @KelvinLaizer-n6y 2 หลายเดือนก่อน +1

    Animbie tu ile ngoma Libya aliimba nano

  • @thepresidenttobe5481
    @thepresidenttobe5481 2 หลายเดือนก่อน

    Andikeni Kiswahili fasaha nyie ni chombo cha habari. Sio HUSIYOYAJUA BALI NI USIYOYAJUA

  • @ChristinaJoseph-o8k
    @ChristinaJoseph-o8k 2 หลายเดือนก่อน

    Laha sana yanga kupoteza mechi 2 mbili mfululizo

    • @ChristinaJoseph-o8k
      @ChristinaJoseph-o8k 2 หลายเดือนก่อน

      Lava sana yanga kupoteza mechi 2 😞

  • @segesesayi104
    @segesesayi104 2 หลายเดือนก่อน

    HUSIYOYAJUA ?
    Kwanini usiedit title kabla huja upload video?

  • @ExcitedCityMap-xh2sm
    @ExcitedCityMap-xh2sm 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hua nachukia sana media kubwa kama hii inashindwa kuandika kiswahili fasaha
    Eti unaandika"husiyo yajua"
    Badala ya "usiyo yajua"
    Jirekebishini apo

    • @mbatatakiazi1678
      @mbatatakiazi1678 2 หลายเดือนก่อน

      Binafsi 'nilisubscribe' (haswa alipojiunga Salim), ila baada ya kuona namna wanavyokwenda, ikanilazimu kujiondoa. Kero yangu kubwa kwao ni matumizi sahihi ya lugha. Nimebaki na TBC pekee.

  • @maclaudismail6606
    @maclaudismail6606 2 หลายเดือนก่อน +2

    Musifurahie vitu vya mpango kila mtu ameona

    • @elliyawilliam2521
      @elliyawilliam2521 2 หลายเดือนก่อน

      Kapange na ww nyau mkubwa

    • @RohyChaula
      @RohyChaula 2 หลายเดือนก่อน

      Sis sio Kama nyinyi etii

    • @SwahiliMoviesHub
      @SwahiliMoviesHub 2 หลายเดือนก่อน

      Vitu gani hivyo?

    • @maclaudismail6606
      @maclaudismail6606 2 หลายเดือนก่อน

      @@elliyawilliam2521 mupo kama israel mukifanya ubaya muangaliwe tu, wafanye wenzenu kelele zenyewe hizo loh. Mulipoenda S.Africa mulikamatwa live munaroga, sa mmechukua watu wananyunyiza pale Azam munasema hao ni yanga, ukiuliza kwenye vyumba vya kubadilishia kuna chupa za maji za GSM. Kwani nyi mmekatazwa kunywa maji hayo ? Foolish