Kwa upande wangu naona mwandishi kafel sehem mbalimbali ikiwemo mwandishi ameshindwa kutuonesha mwisho au kitu kilchoendelea kwny maisha ya mgaya na yule mdada alieonesha kumpenda
Yani hii tamthilia kulikucha kweli,mwasi katimuliwa na narabuk naye kaenda timua chaupele# mbonolwa umekazana jiheshimu jiheshimu na husimami ukaondoka😂😂 aro in oro kazi nzuri sana dada mwasi
Mwasi asante sana,kweli mwasi wewe ni mrembo sana,tena wewe ni beautiful woman asante sana, congratulations mwasi,god bless you, sasa sisi tunataka tamthilia mpya siku karibu plz,mwasi mimi kutoka kenya, plz welcome to kenya plz,
th-cam.com/video/QOFU1DRPLaQ/w-d-xo.htmlsi=yH1aL_vmjJXXcP2e link hiyoo
Kwa upande wangu naona mwandishi kafel sehem mbalimbali ikiwemo mwandishi ameshindwa kutuonesha mwisho au kitu kilchoendelea kwny maisha ya mgaya na yule mdada alieonesha kumpenda
Nawapenda woteee❤❤❤❤❤❤❤❤
Huyo jamaa wa sauti aongeze sauti series inayofuata,,,, love from Kenya 💗
Kaz nzur 🎉❤ila pink 😂😂😂
Yani hii tamthilia kulikucha kweli,mwasi katimuliwa na narabuk naye kaenda timua chaupele# mbonolwa umekazana jiheshimu jiheshimu na husimami ukaondoka😂😂 aro in oro kazi nzuri sana dada mwasi
Mnajua sanaaa. Yani mpo motoo
Nilijua mwisho wa siku yatakua haya😅😅😅😅😅😅
Kawaida bhana eti uko seriousl mwenyewe 😂😂😂
Mwasi nakupenda bure dadaaa❤from Qatar
Hongereni kwa kazi nzuri nawapenda sana❤🎉🎉🎉 mwasi umeweza mamaa❤❤❤
Hongera Sana dada mwasi🎉🎉🎉❤❤❤
🎉🎉🎉🎉❤❤imekua vzr🎉🎉🎉hongeraa sana dada
Mzee wa masenyetto senko 😂😂😂 kumekucha 😂😂😂😂❤
Nime penda mlivo jitabulisha uwe na kazi njema mwasi
Mwasi all the best ❤❤❤❤
Safi sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 maua mkwenu
Upo vizuri dada mwasi nawapenda sn❤❤❤❤
😂😂😂kazi nzur xna
Kutoka Burundi🇧🇮 naitwa Irakoze Hami sister mwasi kazi nzr
Kazi kwenu,❤ keep it up good work ❤️ mzee wa masenyetto senko kumekucha 😂😂😂❤❤
Mzidole jmniiii 🫣 ukipendwa pendeka please 🫣🫣pia Mimi nakupenda ❤
Saw tunasbr Kaz nyngne hngeren kwa Kaz nzur
Mm wamwisho kutok burundi naitwa djuma Ndikumana
Saidi komba mwenyewe nipo apa
Tume anza vizuri na kwa neema ya Mungu tumefika salama ❤️
Kwaiyo mzidore umekataa pisi aah kudadadeki sio kwel 😅😅 i know you broo😅😅😅😅
Sante sana kenya twakupenda mradi mbwela ameshiki series imekamilika❤🇰🇪🙏
Nampenda sana mwasi❤ Much love from Kenya 🇰🇪
Usijari dada yetu mwasi nabado tutakusapoti$
Malizia sasa the game dada mwasi
Nawapenda sana
Familia kubwa much love
Enginer yupo vizuri Kwa kutuweka thamthilia kuonekana kuwatamu hongereni Sana
Sijapenda mwasi,nagukubali huyo mama nitilie,,,
Tjr Tajiri wa ubunifu Asya nawafatilia kutoka Burundi 🇧🇮 ndabakunda cane team vevo ❤Mwasi nina ndoto kubwa nawewe 😢siku moja tutafanya kazi ❤
Twakupenda pia💋💋💋💞🫂
Mbonorwa siwezi ishi bila ww 😂😂😂😂
Tunawapenda team mwasi na tuko pamoja kila sehemu tunasubili season nyingine💃❤️❤️❤️❤️🔥
We mzidole ubadilishe izo nguo nyau wew
hana zingine muache😂
Uliamuwa umfate uku kwa kumekucha msubiri kule kwa mpangaji🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂
Bado mchanga anavaa uhalisia msamehe
@@KwizeraEnock-ny1by Aya bn 🤣 nachangamsha jij kidg
Kitu kilicho nifurahisha ni kuon tangu hii movie inaanz mpak inaisha mbonolwa hajabadilisha track😅😅😅😅😅😅
Wa kwanza leo kutoka congo kaz kubwa dada mwasi tupo na ww 🎉🎉🎉🎉🎉
Mwasi asante sana,kweli mwasi wewe ni mrembo sana,tena wewe ni beautiful woman asante sana, congratulations mwasi,god bless you, sasa sisi tunataka tamthilia mpya siku karibu plz,mwasi mimi kutoka kenya, plz welcome to kenya plz,
Twakupenda da mwasi mashallah kazi nzuri❤❤
Mzidole❤🎉
p1 daima
Mapungufu ni vyeny auja tutaja watu wa 🇧🇮 na vyeny tunakupnd
👏👏😍😍😍
Keep it up sis mwasi❤❤❤❤❤
usipo taaja Burundi umekosea sana Mwasi wangu
Tano kweli kacheza km mlevi kweli
Mwasi mwanamke jasiri unalia chumban kwa ajili ya hisia zako love u ddangu big up
Mwasi maneno yote hayo bado umeganda😢😢😢
Mbonolo Safi, una nifurahisha lakini 🎉🎉🎉🎉
Dada Mwasi kakatwa miguu na Pinky 😂😂😂
Uyo Mbonolwa na Pink vile mwazo walivyokuwa hawapendani 😂😂😂wamenikumbusha mie namchiz wangu walai wee nlikua namchukia vibaya alikuja hd kwetu kuniposa iyo mikwala nlomuekea wee mungu nisamee😢😢na ss kitokee kt kidogo tuu nanyweaaa nikimaanisha *NAMPENDA SANA😊* nyie jmn mapenzii😂😂😂 *KUMEKUCHAA❤* mubarikiwe TWAWAPENDA wote
😂😂😂😂😂
Kaxi zuri sana
Tuko pamoja boss🌸
Tena unarudiliya na japokuwa jana tuli itazamaa😂😂😂
Waliitoa ata mm sikuiwahi😢
Walifuta jana
Mwasi🎉❣️
Good job 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Kumbe tanu msaniii anatuchora tu
Mzidole mzidole😅
Hujataja burundi na sisi ndio tunakutizama
Tunangoja ingine❤❤❤❤
Pongezi kwa kumekucha daa mwasi nakutazama nikiwa Doha Qatar
Umenikera mzee wa shebere unataka kupita mlango wa nyuma
Shida kweli😢😢🇨🇩
Mwasi much lov u❤❤❤❤🎉🎉🎉
Safi sana dadq Mwasi kutoka London
All the best
Naombeni sison two mtoe
Tanu ni mnyama sana
Nawapenda sn ❤❤
❤❤
Leo wa6🇵🇸
Mwasi kawa Sheikh au askofu aozesha bila ubani
Mashaallah 🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Hongereni nyote
Keep it up,,, you are doing well ❤️🩹
Jenifer jamani
Pinky actress ya insta umeiandkje mana sijakupata
Ana ya dhahabu huyo kaka da mwasi?😢😢😢
Unadhlilika mwasi
Kumekucha🎉🎉❤❤
Umejitaidi sana
❤❤❤🎉🎉🎉🇸🇦🇰🇪🇸🇦🔥🔥🔥👍💯💯
Nice
Mzidole yame mkuta
Tupo rusha hehani
Mbona Sasa mnamaliz