Mubarikiwe sana watu wa media , tunamshukuru Mungu kwa kila Jambo, kitabu cha Ayubu 14:1-2 kina sema mwanadamu alie zaliwa na mwanamke siku zake za kuishi apa Duniani si nyingi BWANA alitowa na BWANA ametwaa jila la BWANA libarikiwe. Na malizia na kitabu cha 2Timotheo 4:7 kinasema amevipiga vita vilivyo vizuri,mwendo amemaliza, Imani ameilinda , jina la Bwana libarikiwe.
Mubarikiwe sana watu wa media , tunamshukuru Mungu kwa kila Jambo, kitabu cha Ayubu 14:1-2 kina sema mwanadamu alie zaliwa na mwanamke siku zake za kuishi apa Duniani si nyingi BWANA alitowa na BWANA ametwaa jila la BWANA libarikiwe. Na malizia na kitabu cha 2Timotheo 4:7 kinasema amevipiga vita vilivyo vizuri,mwendo amemaliza, Imani ameilinda , jina la Bwana libarikiwe.
Amen, Asante sana
Pole San kwa family 😢💔😭
Asante
Kazi nzuri sana
Asante sana