Davistar sikuhizi unazingua mwana storry unaweka fupi alafu unajivuta sana kuweka patty inayo fuata tunachoka kufuatilia kihivyo angalia na mdaa piaa kuna mambo mengi ya kufanya na kuhangalia pia but all in all one love from Bundessland (Germany )
Natamani ningekuwa nashika bum light stick au camerawomen wa Davista Niwe nasikia stori zote bila kusubiri part 2 nakuwa najua stori kuliko wote 🤣🤣🤣isn’t it funny?🤪
Heri wewe ulichukuliwa ukiwa naakili zako yule iyasa jna lakuokolewa jina lakuximu aliitwa MAXWELL alikuwa amechukuliwa akiwa miaka mbili hadi kumi naine huko kuzimu..watu wanapenda kutesa wezao tena unakuta tuu ni family tuu wamtesa mtoto bure tuu nakuongea lughu yakuzimuni
Jamani eehh tujifunze ulimwengu wa kiroho ulivyo...izi story ni ushahidi tosha kuzimu IPO wachawi wapo wanamaliza vijana wadogo kbs...kama yule msukule alie muonesha mti mkavu...huruma sana aiseee ile video inazunguka akilini mda wote
SORY MR FACT,,,,,,,NAONA UMEKUJA ARUSHA SS WADAU WAKO TUNAHITAJI KUKUONA WALAU TUKUSALMIE TUNAKUPATAJE,,,,YOTE KWA YOTE TUPO PAMOJA SANA NA TUNAENJOY KAZI ZAKO,,,,,GOD BLESS YOU
Yaani huyo kijana kunauwezo Mungu alomjaalia mana kama haupo vizury huwez kuona wachawi kirahis
Safi davi wee noma sema unatuletea moja moja ndo ubaya wake
Kiukwe warangi uchawi wakuachanisha watu Ni noma sana mungu anawaona
Msimulizi mzuri kweli👍
Sijawah kuona uyu dada akakosa kutoa comment kwenye Kila story mpya anayopost davistar
Kwahiyo alitaka kuwatenganishaawazazi jamani bibi mwanga huyo hataki huyo mkazamwana
Kinanda kinaumiza masikio
Tumalizie story ya DOI
😃😃😃😃😃anaogopa kusema chupi,, hivi hiki kitu kina heshimika sanaaaeee,,
Sanaaaaaa
Davistar umezunguka sana maeneo....kazi nzuri lakini
Mi naitaji msaada kak...Coz simulizi zako nafatalia coz yamemkuta mtu wangu wa karibu yan wandoto...Had sasa sipo nae ndg🙏
Simulizi au kipindi chako nakipenda yaan kila ukileta mm na fatiliy kinanipa nguvu huku niliko
Davistar sikuhizi unazingua mwana storry unaweka fupi alafu unajivuta sana kuweka patty inayo fuata tunachoka kufuatilia kihivyo angalia na mdaa piaa kuna mambo mengi ya kufanya na kuhangalia pia but all in all one love from Bundessland (Germany )
Nichukuwe nije germany
Dooo uyo bibi kiboko na noma yani simulizi iko vizuri imetuliya tuma seemu ya pili
Kaka unatujenga kiroho respect sana
Kijana ako na fasaha ya kuongea na story zake ni nzuri sanaa,keep it up bro DAVISTAR MATA
Davistar bro vipindi vyako vzr na vinaelemisha sana...ushauri wangu ungerusha kwenye tv ili watu wengine wajifunze.
WA kwanzaaaaa🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🤔
Natamani ningekuwa nashika bum light stick au camerawomen wa Davista Niwe nasikia stori zote bila kusubiri part 2 nakuwa najua stori kuliko wote 🤣🤣🤣isn’t it funny?🤪
😅😅😅😅😅muone uyu umbea2🙌🙌🙌😁😁😁
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
I hate when ,I wait for part 2 ...etc.. You are right
🎉🎉🎉🎉
Pole Sana bro
Davista vp......wee unatwambia
ni mtoto wakati ni mtumzima huyu anatia mimba ...!!!!
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Moja
Ahsante Davistar before nilikuwa siamin kuhusu ushirikina hila kila nikisikia hizi simuliz najikuta nawachukia sana wachawi na waganga wa kienyeji
Kuna Waganga wa kienyeji wazuri kweli?
Davistar tuketee Yule msukule wa mti mkavu vp kapona
Wachawi wanarudisha Sana maendeleo ya mtu/watu KWA ujumla wake hawafai HATA bure
🇰🇪
Ndani
Wachawi sio watu kabisa hakiyamungu
Si watu kabisa.
Pamoja sana bro
No6👍
Wakwanza 1🤣🤣😍
Hahaaa ile ya mochwari do iliniweza niliota usku kucha na io usubui nikaedelea kusikiza zgn tu😃😃😃
@@tamaraseff.9707 kama Mimi kweli 😂😃😃😂😃😃
@@Grace-mwasite hahaaa kaz tunayo ss
@@tamaraseff.9707 yani we acha tu
Sijachelewa jamani naomba like
Kila nikisikiliza lazima niote lakin sikomi😅
Kama mm siku nimeangalia nyoka ya mti mkavu sijalala siku iyo
😂😂😂
Sasa huwa waota nn haswa
@@ummusulaish5586 Pengine aota na yy ashakua msukule 😂😂😂
Una matatizo
Heri wewe ulichukuliwa ukiwa naakili zako yule iyasa jna lakuokolewa jina lakuximu aliitwa MAXWELL alikuwa amechukuliwa akiwa miaka mbili hadi kumi naine huko kuzimu..watu wanapenda kutesa wezao tena unakuta tuu ni family tuu wamtesa mtoto bure tuu nakuongea lughu yakuzimuni
Malizia stor ya yule muhun mvuta bangi
Nita subiria upost episode zote ndo naangalia sasa😃😄😂😄
Kabisaaa
Haha
Hata mie hivyo hivyo.
Yaa....leo umetuletea chuga
😂😂😂😂😂😂😂
Yaani kwa kweli jamani hawa baadhi ya wabibi wanakuwaga wachawi sana, yaani wao wanakuwaga ndio chanzo cha matatizo kwenye familia.
Kabisaaa
Ju wanaume sio wachawi?
Kondoa sehemu gani
Jamani eehh tujifunze ulimwengu wa kiroho ulivyo...izi story ni ushahidi tosha kuzimu IPO wachawi wapo wanamaliza vijana wadogo kbs...kama yule msukule alie muonesha mti mkavu...huruma sana aiseee ile video inazunguka akilini mda wote
Pamoja Mr fact
Kwahiyo kaka davista hapa naeza anza kusikiliza?🤪
Kwanin wachaw weng wanawake
Hapo sasa
Dah....wachaw sio watu wazur
Kabisaa
Pamoja sana
watatu leooo
HV nyie wa kwanza kila Siku hamfanyi kazi
Wanakwambia adui yako ni mtu wa karibu yako
Wakwanza namp like zakunishinda ila nimechukua nafass 3
Tuko pamoja sana bro
Nimejitaid kidogo
Wakwanza
jangombeboys1999
kijana anaongea kwa ufasaha na umakini mwenye kuhojiwa.
Dooh hatar imeishia patam pole kaka
Pmj davistr
sasa mbona Hana raster
Uchawi uchawi jamani kina bibi tutawaogopa sasa
Mabibi balaaa. Wabaya mno
Davista leta part 2 bana
🤣🤣🤣🤣 niaze sasa
Thanks Davistar but siku izi story zinaisha bila mimi kujua ama me ndio sielewe sasa kama ya jana imeisha ama bado ungekua unatujulisha kwamba mwisho
Kabisaaa
Twede kaz kaka
Big up bro,nazikubali kazi zako
Wachawi siyo watu wazuli
Jameni huku kenya hatuelewi Bibi n wife ama grandma????
ni mama wa baba ako au mamaako mzazi unaweza ita nyanyaako
Grandm
Bibi ni grandmother
Tuko naye tunazungumza naye
Inabamba
SORY MR FACT,,,,,,,NAONA UMEKUJA ARUSHA SS WADAU WAKO TUNAHITAJI KUKUONA WALAU TUKUSALMIE TUNAKUPATAJE,,,,YOTE KWA YOTE TUPO PAMOJA SANA NA TUNAENJOY KAZI ZAKO,,,,,GOD BLESS YOU
Ahsante sana kwa upendo wenu nami nawapenda pia
@@DavistarMataMediaDM 🤝
Wa tatu
Sixteen to day ngoj niendelee kusikiliz
Duni yani kuna mambo
Sanaa
bibi ni grandmother? hapa 254 bibi ni wife.
😂😂😂😂😂
J.BOYS.F.C 1999
🇧🇮
Poa
Kaka nimekuelewa sana,naomba tu share jambo +255782025911
Tuko hewani tunawafata