Wazazi yaweza kuwa chanzo cha mtoto kutoujua uisilamu wake mpaka anakufa ndio watu wanagundua kuwa ni muisilamu! Au kusilimu na hajishughulishi na kuisoma dini ili aijue na yeye anapata uzao, bado haupatii elimu ya dini. Mtume wetu anasema ktk hadithi zake kuwa kuitafuta dini ya uisilamu ni lazima kwa kila muisilamu mwanamume na muisilamu mwanamke. Tusome na kusomesha watoto wetu dini ya uisilamu ALLAH tupe tufiiq.
Mashallah mungu akuhifazi
Hakika Sheikh umeongea ukweli mtupu, Allah akupe umri mrefu uzidi kuja Mombasa kutuongosha inshaa Allah.
Shukran Sheikh wetu
JazaakAllahu khair sheikh. May Allah be pleased with you. Greetings from Uganda 🇺🇬.
You have spoken nothing but tge truth.
Masha allah
Wazazi yaweza kuwa chanzo cha mtoto kutoujua uisilamu wake mpaka anakufa ndio watu wanagundua kuwa ni muisilamu! Au kusilimu na hajishughulishi na kuisoma dini ili aijue na yeye anapata uzao, bado haupatii elimu ya dini. Mtume wetu anasema ktk hadithi zake kuwa kuitafuta dini ya uisilamu ni lazima kwa kila muisilamu mwanamume na muisilamu mwanamke. Tusome na kusomesha watoto wetu dini ya uisilamu
ALLAH tupe tufiiq.
❤