KUNAMBI unajua Sana Kuigiza kwanza Wewe unakipaji ila uyo Vicky hajui anazidi ukali sana alafu iyo ilikuwa nafasi ya Loveness uyo Vicky amekuaribia movie kwanza hayupo romantic kwakuigiza Fasihi yake Muda Mwingi ni ya ukali ukali na ukatili Mwingi Tofauti na Tina na Loveness awo ni wapole wanaigiza vizuri wanakoleza utamu wa movie ila uyo Vicky sikushauli anakuwa mukali sana alafu anakaza fuvu hataki kuelewa mda Mwingi yeye anakuwa kwenye sehemu za kuumia na kuumizwa na kuchukia chukia
Katika hii dunia hakuna ambaye amekamilika,sote huwa tunafanya makosa,na tunastahili kusamehe wengine ndio wakati hata wewe utakapofanya makosa utasamehewa na hata MUNGU/Bible inasema tusamehe na kama hautasamehe nawe pia hutasamehewa, so Victoria jifunze kusamehe uwache roho ya shetani na huku unaambia mwingine ako na roho ya shetani kumaanisha wote mko sawa
Kunambi huyu vick pia hakufai kama ni mtu wakuendekeza chuki c kila siku itakua ukifanya kosa ugomvi hauishi kwake mi hata amenicnya na roho yake mbaya isiyojua kusamehe
Wanasema Ogopa sana kumrudisha adui yako kwenye himaya yako Yani Tina kurudiana na brown ni kitu hatari sana ,let's go and see what will happen at the end
Wa kwanza team strong team donta family Genz mko wapi. Jmn umejifunza nn kupita Tina jmn😂😢😢😢😢nawapenda nyote🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦♥️♥️♥️♥️
From Burund 🇧🇮🇧🇮 Team Kelvin One Love ❤️❤️❤️❤️
Leo hamuna lakuniambia kama mm sio wa kwanza wa kwanza nani basi nipeni like zangu hata 10000 zinatoshaaa😂😂😂
Like zote hizo we huogopi? 😄😄
Like zinawasaidia na nini?
Zinakusaidia nini
Brown usikubali kumrudia Tina alafu na wewe Tina kubali matokeo kuwa Brown sio wako tena Allah 😂😂😂
Kunambi KaZi POA kaka tunakuobea kwa mungu akuogezeee juhudi za kazi❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Kazi ya kupendeza big up
Donta family nò one
Wakwazaaaa leooo like zenu apaaaaa
Jaman Vick umependezaaa❤❤❤❤❤❤ Masha'Allah 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Konambi umepunguza nywere Kaka a❤❤ngu
Nice kipande hiki mme kicheza vzr sanaaaaa ❤❤❤ hongereni jitahidini story isiwe ndefu sanaa
Niwape mauwa kwanza na donta tv ndio niendelee 🎉🎉🎉
Good job 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mim Leo wa1❤ like zenu wapendw
Kwenye movie kwaki farasa tunasema muko muna poutres san🙏
🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮👍👍
KUNAMBI unajua Sana Kuigiza kwanza Wewe unakipaji ila uyo Vicky hajui anazidi ukali sana alafu iyo ilikuwa nafasi ya Loveness uyo Vicky amekuaribia movie kwanza hayupo romantic kwakuigiza Fasihi yake Muda Mwingi ni ya ukali ukali na ukatili Mwingi Tofauti na Tina na Loveness awo ni wapole wanaigiza vizuri wanakoleza utamu wa movie ila uyo Vicky sikushauli anakuwa mukali sana alafu anakaza fuvu hataki kuelewa mda Mwingi yeye anakuwa kwenye sehemu za kuumia na kuumizwa na kuchukia chukia
Ndy script inamtaka hvyo muache bna apate ridhki acpoigza atakula wapi.
Vicky amezidi roho ngumu JMM haaaah 😢
anakuoa hivyo kulingana na uhusika alopewa unahitaji aw hivyo me nafikir ni hivyo tuu
Viky ni mojawapo ya waigizaji bora katika campany ya donta,,anajua sana kuigiza
Vikitolia uko vizur wanao kuchukua washindwe au waigize wao
❤❤❤james n Kelvin mko poa
Vick,Kev,love, na broo konambi nawapenda kinoumaa saana tu
Wakwanza
Naomben likes uiiii
Watu mpo online na hatushtuanii 😎😎,, thijapendaaa 😅
Nimekuwa wa3 jmn naomba like🎉🎉🎉🎉
Hivi kwile brown itatokea hata siku moja apate mzigo🤣🤣🤣mbona kama vile safari ngumu sana🙆🙆🙆
😂😂😂😂mbona mbali hukoo
Kazi nzuri sana Donta tv❤
Wamwisho leo jaman naomba like zenu ❤❤❤❤
Number Moja ,nipe like zangu
Katika hii dunia hakuna ambaye amekamilika,sote huwa tunafanya makosa,na tunastahili kusamehe wengine ndio wakati hata wewe utakapofanya makosa utasamehewa na hata MUNGU/Bible inasema tusamehe na kama hautasamehe nawe pia hutasamehewa, so Victoria jifunze kusamehe uwache roho ya shetani na huku unaambia mwingine ako na roho ya shetani kumaanisha wote mko sawa
Kila mtu wa kwanza yeye like like mnaboa kweli 😂😂😂😂
Atakama nimechelewa napiga like nanyi pia mupige like kwangu
Leo nataka Gen z wanipee like 3k
Jamani ndugu zangu wa Tz nimechelewa natoka mbali Burundi 🇧🇮
KAZI NZURI DONTA TV NAWAKUBALI SANA WANAO IKUBALI LIKE APA
Kelvin we niatar pamoja na wenzako mnatengeneza jamiinzuri kupitia fasihi yenu nice god bless you
Wa kwanza leo❤❤❤wapi like zangu❤❤❤
Good job ❤❤❤
Wakenya mupo🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Brown na jemsi nawakubali sana ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Kenya Watching
Yani kazi nzuri kabisa 🎉🎉❤❤🇧🇮🇧🇮
We Vicky unakera sana we kwani kitu hakiishi ni ukali ukali tu
Courage ❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Nimekuwa wa kwanza 🎉🎉
Kunambi well done ❤
Imeshika kweri nawapa hiii🤜🤛🤜🤛👊
❤❤❤❤❤❤❤❤
Ww Tina acha kujipendekeza uko kisa umemuona brwon ndo boss😂😂😂😂😂😂😂😂
Next
Leo nimekuwa wa 4
Nice Job
Kazi nzuri
Kaz nzur sana yaan nawakubali adi nawakubali tenaa 🎉❤
Uyu tina akubali yaishe tu brown sio wako tena
❤❤❤❤❤❤𝚠𝚘𝚘𝚘𝚘𝚠 𝚗𝚒𝚌𝚎 𝚖𝚘𝚟𝚒𝚎🎉🎉🎉
Kazi nzuri wana donta nawapenda sana watching from kenya 🎉🎉🎉🎉❤
We braun umekosea kumuajiri uyu shetan 😢
Mrekebishe kauli munajichanganya sana 🙏🙏🙏
Boss konambi nakupenda saana kaka ❤❤❤❤❤
Si ushaombwa msamaa viki umezidi msameh bwana
😂😂
Nice one ❤
Congratulations wana DONTA.Much love from 🇧🇮
waoooo leo nimewai
Mimi nataka Vicki abadilike awe kama wezake
Movies zenu nazipenda xana anaigiza vizuri kweli hadi furaha moyoni
4:15 4:16 4:17 4:19
❤❤❤
Mm nahic kabisaa mke anaemtafuta kunambi ni loveness 😅😅anaehic kama mm like plz
Kazi zenu team Kelvin iko sawa...nawafananisha na GenZ wa kenya❤❤
Good job
Muko vizuri pongezi kwenu
COngratulations 🎉🎉🎉Donta
Kazi nzuri sana ❤❤❤😮😮
Jemsi nimushauri muzuri sana namukubari❤❤🥰🥰🥰
kazi zuri Sana James ako siriasi 😂😂😂braoni💓💔
Vicky apunguze ukali wake bhana amsamehe brown kwasababu kila binaadamu hukosea nayeye ana mapungufu yake asee
Yani mtoto mwenyewe hakuumia Ila kukaza kwake kuna haribu bwana movie binadamu gani hana msamaha
Mambo ni 🔥🔥🎉❤️❤️
Kaz nzuri familia
Kunambi huyu vick pia hakufai kama ni mtu wakuendekeza chuki c kila siku itakua ukifanya kosa ugomvi hauishi kwake mi hata amenicnya na roho yake mbaya isiyojua kusamehe
Na wa sapoti sana ♥️
Kazi nzuri sana
Hongera Wana Donta nawapenda sana❤
Happ sawa,,,,changanya ukweli na uwongo bibi akuje nyumbani😅😅😅😅
Mumefanya kazi nzuri sana ❤❤
Braun ilo shat ama kwel ❤❤❤
Vicki msamehe kunambi mengine yaendelee hakuna aliyekamilika chini ya jua
Kubababababababake bonge moja la kazi nzuri
Mzigo motoooo 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Kazi nzuli Sana tupo na nyinyi Burundi
Wanasema Ogopa sana kumrudisha adui yako kwenye himaya yako Yani Tina kurudiana na brown ni kitu hatari sana ,let's go and see what will happen at the end
Naomb lik 🇧🇮 zenu apaaaa❤😅😅😊
😅😅😅😅Tinaaaa ubeya tu kufanya kaz aah😅😅😅❤❤🎉🎉
kazi nzuli kupata muke bola inakua ningumu
Ndio kufik ❤❤❤❤❤
0:37
tina oyeée😮😮
victoria acha kupenda kumuhukm mtu kias hicho bwuana daaaah hilo linasamaheka mana halijatokea
Keep it up munaelimisha sana,,love from 254
Nawapenda sana donta tv❤❤from Saudia
Umbeatu kuoga aaaaaah
Nawakubali mno
❤❤❤❤ yaani mmh