MWIJAKU MBOSSO KUONDKA WASAFI AMECHOKA KUNYONYWA/DIAMOND AMEZUIA AKAUNTI ZAKE ZOTE/BABALEVO MUONGO.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ก.พ. 2025
  • Kwa maoni au ushauri comment hapo chini bila kusahau ku like na kushare ili kuweza kupata update mbali mbali ndani na nje Ya Tanzania
    Tufollow katika ukurasa wetu wa instagram @BONGO TRENDY TV
    Na kulike facebook page Bongo trendy online

ความคิดเห็น • 30

  • @Abelkilope-r3w
    @Abelkilope-r3w 4 วันที่ผ่านมา +2

    True mwijaku

  • @abdulmsuya8542
    @abdulmsuya8542 วันที่ผ่านมา

    Mnafki kesha anza😮😮😮😮😮

  • @Jean-LucTypes-ms2zm
    @Jean-LucTypes-ms2zm วันที่ผ่านมา

    Sisi piano apa Kong tumependezwa sana na kuondoka kwa mbosso, ila kusema wamemuachia bure ilo 😂😂😂 alipo yani Mwijaku umeongea ukweli

  • @SuleimanMadaha
    @SuleimanMadaha 2 วันที่ผ่านมา

    ilaww baba kwakuwachana wenzako dudu chid😂😂😂😂

  • @OmbeniOgbdi-w5u
    @OmbeniOgbdi-w5u 5 วันที่ผ่านมา +2

    Na uliza tena h baba iko wp

  • @SimoAzilani-l5m
    @SimoAzilani-l5m 3 วันที่ผ่านมา +1

    Mwijako wambia ukweli awooo

  • @rajabdibwa6415
    @rajabdibwa6415 9 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Analipwa na mondi.Jamaa yuko kazini😂

  • @BarakaMalande
    @BarakaMalande วันที่ผ่านมา

    Mwijaku nimekulewa

  • @KaburameHamisi-fm7fo
    @KaburameHamisi-fm7fo วันที่ผ่านมา

    ALMASI DANGOTE PELEKA HUU MAHAKAMANI ANAKUZOEEA SANA

  • @fahadfahmy
    @fahadfahmy 4 วันที่ผ่านมา

    ni lifespan

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason7630 วันที่ผ่านมา

    Kumaanisha KASONGO pia ni mwambino

  • @KaburameHamisi-fm7fo
    @KaburameHamisi-fm7fo วันที่ผ่านมา

    Hivi nyi mnamuamini nyimbo kutoka mondi anakua hakuekeza huyu anaongeyaa tu

  • @DanielOle-ie3zq
    @DanielOle-ie3zq 5 วันที่ผ่านมา +2

    Mwijaku ww ni munaviki

  • @neemakalugila7674
    @neemakalugila7674 5 วันที่ผ่านมา +2

    Afunguliwe kesi, katamka kuwa ni mwambino....😮

  • @AlexGwiha
    @AlexGwiha วันที่ผ่านมา

    Mwambie ukwel mwijaku mondi ni munyonyaji

  • @EmmanuelNyinyigwa-m1o
    @EmmanuelNyinyigwa-m1o วันที่ผ่านมา

    Deni tulilo baki tunamdai rais. Bei ya kuunganishiwa umeme mjini ni kubwa. . Sasa ninakuagiza nenda ukamwambie mama samia mjini aturudishie 27000

  • @filexkivuyo8383
    @filexkivuyo8383 วันที่ผ่านมา

    Kunasa unaongeaga ponti kumbe

  • @jabbydux
    @jabbydux 4 วันที่ผ่านมา

    life sperm ndo nini sasa, Mwijaku 😄🤣😂Ni lifespan 🤣😂

  • @MichaelMwamanda
    @MichaelMwamanda วันที่ผ่านมา

    Yani ukisema ndo umekula mbwa wewe

  • @JumaMartin-e4v
    @JumaMartin-e4v วันที่ผ่านมา

    Mwijako wewe ungeweza?umtengeneze mwanamuziki awe mkubwa kiasi hicho kama mboso na hamonaiz halafu waondoke na kila kitu wewe ungeweza?sasa faida gani daimond atapata?hizo anazo lipwa ndio mavuno ya mapesa aliyo wekeza kwao.mziki ni biashara msaada nenda kwa moo au baharesa.minadhani ni chuki tu daimond kupata hizo faida za alizo wekeza.hembu mwijako jarobu mwanamziki mmoja tu uwekeze kama huja uza ghorofa lako la dhahabu

  • @eliyandagile9339
    @eliyandagile9339 6 วันที่ผ่านมา +3

    Ww ni mwehu yaani apewe kila kitu kwani kunqakichokuna nacho hapa kenge ww

    • @criminalminds7723
      @criminalminds7723 5 วันที่ผ่านมา

      Waelewa kinachoongelewa ama ni mihemko Tu?

    • @humbleshoal
      @humbleshoal 4 วันที่ผ่านมา

      ​@@criminalminds7723
      Afu sijui kaandika nini

    • @PAULNYANDILE
      @PAULNYANDILE วันที่ผ่านมา

      jitu lenyewe baba yako anaitwa eti ndagile sasa unaanzaje kuwa na akili

  • @FredrickMatiku-xf2uk
    @FredrickMatiku-xf2uk 6 วันที่ผ่านมา

    Kwanini chid benz au Dudu baya

    • @criminalminds7723
      @criminalminds7723 5 วันที่ผ่านมา

      Inaeleweka kinachongelewa ama ni mihemko?

  • @Imanswai-r7h
    @Imanswai-r7h ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Yan watu wajinga sana yan mnadhani mboso atakuj kupiga ela kama alivyokue wcb rich mavok si alikiw wasaf ravyan mwenyew saiv kafifia