Hehehe safisana, kila upande ujenge hoja ndio dini bwana, sisi tunasikiliza huku na huku tunapata Elimu... hatutaki matusi wala lughachafu... naswarfu balaqha zitembee kamakazi, bila ujuzi mzuri kwenyelugha mmmmh.. tutakufurishana kilasiku
أعمى يقود بصيرا لا أبا لكم**قد ضل من كانت العميان تهديه AMEPOTEA YULE AMBAE KIPOFU NDIO ANAEMUONGOZA, huyu jamaa ukimskilza pumba tu, wasiokuwa na elimu wanamuona kama jamaa hawezekani kwa elimu, kumbe ni bonge la JAAHIL, mtu kujirikidi na kueka TH-cam Sio kipimo cha mtu kuwa na elimu, hizi zama za fitna kama mtume alivosema, itafika wakat jins ujinga utavyoenea mpka yule anaeongea mambo ya Batwil|Uongo ataonekana anaongea haqq , na yule anaongea haqq ataonekana anazungumza batwil, ndio zama tulizokuwa nazo hizi
Unge soma AQIDA ya ahlusunnah, ungejua maana ya salafi. Fuatilia fatawa za wachuoni wa zama zetu utajua maana ya salafi. Kama sheikh fawzan Sheikh ibn baaz. Sheikh Al Baani N. K
Ungeacha Uganga huenda ALLAH angekufunulia Ilmu kubwa tu.
Inalillahi wainailahi rajuun utalipwa Kadri ya upotovu wako a kuwspotosha bahaziya watu lnshallah Allah a kusamee ubadilike
Je wewe nawe utaponea wapi
Ma Sha Allah.
Allah akujaje kheri
Hehehe safisana, kila upande ujenge hoja ndio dini bwana, sisi tunasikiliza huku na huku tunapata Elimu... hatutaki matusi wala lughachafu... naswarfu balaqha zitembee kamakazi, bila ujuzi mzuri kwenyelugha mmmmh.. tutakufurishana kilasiku
Allah akulipe kheri
Hahahahah ujinga kazi kweli kweli.
Hongera Sana shekhe
Usiseme humtaji jina utampaisha mpaishe sheikh abuu fauzan fadhil abdi allah amuifadhi chukuen faida youtube na ktk chanel nyngi nying inshaAllah
Eti abu fauzan naye shekh😂
Fadhil abdi kawa shekh😂😂😂
MAA SHAA AL-LAAH BAARAKAL-LAAHU FIYKA
MASHALAH SHEKH YUSSUF UMEWAJIBU KI ILMU KABISA
أعمى يقود بصيرا لا أبا لكم**قد ضل من كانت العميان تهديه
AMEPOTEA YULE AMBAE KIPOFU NDIO ANAEMUONGOZA,
huyu jamaa ukimskilza pumba tu, wasiokuwa na elimu wanamuona kama jamaa hawezekani kwa elimu,
kumbe ni bonge la JAAHIL,
mtu kujirikidi na kueka TH-cam Sio kipimo cha mtu kuwa na elimu,
hizi zama za fitna kama mtume alivosema, itafika wakat jins ujinga utavyoenea mpka yule anaeongea mambo ya Batwil|Uongo ataonekana anaongea haqq , na yule anaongea haqq ataonekana anazungumza batwil,
ndio zama tulizokuwa nazo hizi
Masalafi nifrimason
Umesema kweli
Ni uchache wako wa elimu tu sheikh yusuf
LKN NATAKA KUKUMBUSHA KIDOGO KWA HAWA JAMAA USIWAPE NGUVU KWA KUWAITA MASALAFI WANAJINA LAO WANAJULIKANA KWALO NALO [ MADAAKHILAH ]
mimi sinawasiwasi salaf mawahabi mayahudi itikadi moya
Umesema kweli
Unge soma AQIDA ya ahlusunnah, ungejua maana ya salafi.
Fuatilia fatawa za wachuoni wa zama zetu utajua maana ya salafi.
Kama sheikh fawzan
Sheikh ibn baaz.
Sheikh Al Baani
N. K
Kwakua wao ndo wameteremshiwa wahai wapili au acha upuuuzi we
Asalaf wanapendwa saaana na FBI, CIA, na wapelelezi wa nchi zote Duniani, ukisema wewe Asalaf huwezi shikwa na hutumika kuwachoma waislam wenzao
atakae wafuata masalafi amepotea duniani na akhera, wanaojinasibisha na maswahaba ni matablighi na ahlu sunna waljamaa
Salafi ni fitna kutoka najd