#EXCLUSIVE
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 26 ก.ย. 2024
- #EXCLUSIVE: WASTARA AMWAGA MACHOZI - AFICHUA KUZUSHIWA KIFO - ''MIEZI 5 SIJALALA -NIKITOKWA MAPOVU''
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Tuzidi kumuombea dada yetu mungu azidi kumtia nguvu,, faraja tuu kwake inatosha ❤❤
🤲🏽🤲🏽🤲🏽🤲🏽
Amiin thumma Amiin
@@AminaAminjay-dv8tr 🙏🙏🙏🙏
Pole dada Allah akupe shifaa akuondoleye maumivu uwe sawa myegemeye Allah kunasiku atakuondoleya mtihani
Pole sana Mungu anakupigania. Futa machozi
😭😭😭😭
Pole sana ety Allah akufanyie wepes inshallah hila karibu Sana mwanza nitakupa faraja ya dua inshallah Allah ndiye mjuzii zaid
Mungu mwema utakuwa sawa pia utalud kwenye kazi ila nashangaaa Sanaa wasaniii wana fanya stalehe kubwa at kukumbuka mchango wako toka upo na sajuki mpka now upo mwenyewe unaangaika wanashindwa kuchanga daaaa Pole sanaaa dada angu mungu mwema ila wasaniii naomba tuangalie Hili jamni😢
Pole dada mwenyezi mungu yupo pamoja na ww ni mitihani tu ya dunia
Dada yangu usipende kulia sana Allah anamakusudio yake mshukulu kwa kila jambo
Yan uyu😢analia kiukwel😢 had anatufanya tusiamin kama anapitia hayo magumu angekuwa kama hawa sijui ingekuaje
Daah pole sana,Kwa mitihani unapitia😢
Pole sana,Mungu akuponye dada
Pole pacha wangu Allah atakupa shufaa
Huyo anaroho ya mateso ampokee bwana yesu Kila kitu kinaisha
Pole sana Wastara. Msaada unahitajika
Pole sana mungu akutie nguvu na akupanyie wepesi
Dah pole sana kipenzi MUNGU yunawe my dear 😘
Hugs to you dear❤❤❤❤❤❤. Huyu dada asaidiwe kisaikolojia pia, akiachwa anaweza kuja kujidhuru au watu wakamkuta tu amefikwa na jambo baya.
Pole sana kipenz, ila kwa kua upo dar uponyaji wako upo huko kwa mwamposa! Usipuuze!!! Wengi wamepona!!! Utakuja kushukuru hakika!!
Pole sana kipenz allah atakuponya inshaallah
Huyu dada sijui alikoseaga wapi maana kila mara yeye ni mtu wa kulia kila kukicha. Majanga hayamchezei mbali. Daah huruma sana
Depression na anxiety vinamsumbua huyu ,anatakiwa maombi sàna ña upendo mwingii
Mungu amsaidie kwakweli
Mitihani sio kukosa ni jambo la Muda
Mungu akuponye kwa jina la Yesu Kristo..muombe Mungu anaweza yote
Tatizo.hapo ni uzitotu my. Kulakutwa malamoja mbogaza majani na palachichi na matango ya kutosha sanasana kulamchana tu. Uwone miujiza ya Allah utapungua na utakuasawakiAfya. Kulanasamaki na kuku usilenyama. Utapona dasayangu piamtangulize Allah kwasana. ,,,,Allah ashifik
umenifundisha. wacha nami nianze hivi2 ulivosema..ntakula hivyo mlo moja tuu kwa siku..maji je?
Dah pole sana Wastaraa Mungu akutie nguvu Amin
Kuna ck Mume wng aliniambia mke wang tuwe na upendo kama wa Sajuki na wastara kwa maumivu haya Subhanna Allah azid kunipa upendo kwa mume wangu bali maumivu kama haya yasinipate
Kazana saaana kumuomba Mungu nahisi kuna kitu hakipendi maisha yako toka marehemu mmeo afe na ugonjwa wake ulikuwa wa ajabu
Pole kipenzi Allah akupe shifaa upone kwa haraka 🎉🎉❤❤
Pole sana dada yote unamwachia mwenyezi mungu ndie muweza wa yote utapona kwa nguvu zake mola
Pole sana wastara ila kwa hilo tatizo la mifupa kutokua na nguvu jmn punguza japo uzito dadayangu una mwil mkubwa jitahid upunguze uzito wako
Pole sana Allah atakupa shifaa ajilaa yarabi
Mungu hapo anahitajika zaidi aingilie kati pole
Huyu dada nampenda mno MUNGU akulinde katika JINA la YESU AMEN
Pole sana dada mungu yupo nawe
Huyu dada anatia Imani sana na kwenye Dua pia aende hasad pia imempitia akafanyiwe Dua pia Allah atamponya kwa nguvu zake
Bwana Yesu kristo akuponye. Kuna mtu anakutesa katika maisha yako. Uchawi unausika kabisa
Huyu toka apate ajali na mpoteze marehemu SAJUKI. Amepata sonona( Deepresion) hajapata mtu wa kumtoa hiyo hali kabisaa! Mungu amsaidie. Hana furaha kabisa ktk moyo wake.
Bwana Yesu aunyoshe mkono wake akuguse upone akufanyie upate uzima
Pole sana kweli inapitia wakati mgumu sana jua Mungu anakipenda atakushindia amini ti
Mungu akuponye dada
Pole sana dada
Allah a mfanyie wepesi
Wastara pole sana kweli yanauma sana ukizingatia hawana bb pole sana
Wastara kuwa nasubira Allah anakupa mtihani inshallah yataisha
Pole mwenyezi mungu anakuona atakusaidia
Pole mrjee mola wako yeye ndo muweza wa kila kitu
Pole sana mungu atakuponya
Pole sana mshukuru mungu kwa yote
Ila huyu dada analialia sana kwakweli khaa
Pole mpendwa
Mungu ampeshifa
Pole sana dda,Allah yupamoja nawe
Najaribu nikuelewe vile unaumia Dada lkn nashindwa kabisa kutokana na ukweli kwamba kiatu chako mguu wangu hauwez hata kuenea ila nikupe pole Mungu Akutetee na kukupigania ni vigumu sana kuyaelewa mschungu yaliyo kwenye Moyo wa mtu Kwasababu wewe ndo Baba na ni Mama kwahiyo Mungu anayo namna ya kukupigania 😢😢
Pole Wastara.
Huyu dada anahitaji maombi nenda kwa Kuhani Musa kanisa Kimara Temboni
Haijalishi uko dini gani utapata uponyaji amini tu please nakuomba na Mungu atatenda mpendwa wa Mungu 🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Why analia kila wakati??! Hii dunia ina mitihani kede, Mungu yupo si kiziwi, atakuinua usikate tamaa.
Pole dada
Pole sana❤
Binadamu wabaya sana dada pole sana ukonamungu pekeyako
Pole sana
Kilichonikuta na huruma zangu palipo baki namuachia Mungu🙏
Ukiwa Star unatakiwa ukubali na wanadamu wanadamu wana midomo michafu sana aiseee 😢😢😢😢 ila ujafa ujaumbika aiseee
Pole sana😢
Pole sana dada😢
Pole
Wastara nakushauri usiangalie dini amini Mungu ni mmoja . Nenda kwa mtumishi wa Mungu kuhani Musa. Kimara temboni nakwambia utapona kabisa.
We naeee😅
Allah a anakupenda ndo.mana anakupa mitihaniunafutiwa dhambinzako ili urudi kwake umeshafutiwa dhambi
Usilie kifo kipo tu kila mtu atakufa muhimu ni kujiandaa tutaenda kujibu nini kwa mungu hapo ulipo kichwa wazi jisitiri fanya ibada jitayarishe tu
Acha kulia dada yangu kikubwa Sali mungu atakusaidia tu Wala usiwaze
Kua stong wastara tunafungua you tube tunawaona walemavu zaidi yako lkn nakuomba usali sana umshukuru Allah
Sadkata yy akitaka kumshukuru mungu nakujiona yy haumwi amtazame wa nyuma yake yule Carina hawa anaumwa jamani
Mkiona analia mujue anatatizo
Pole dada wastara jamani watoto wasione ukiwa na huzuni watakuwa wanyonge utapona usihofu kuwa na subira soma qurani moyo ni ponyo
Rudi kwa Allah dadaangu hii Dunia mapito tu kwa Allah Kuna aman na Subira inahitajika pia pole sn
Okoka sasa kuna roho zinazo kufatilia maisha yako wame yacholea ramani wewe upite umo uombewe wakufarakanishe na hizo roho ,watumishi wakubwa wenye injiri isiyo goshiwa wapo kina Mwakasege watafute
Dada wa watu amepitia sana huyu. Mungu amtie nguvu na kumfanyia wepesi. Mifupa na misuli inaumaga sana. Dawa nyingi nazo zinaharibu tumbo jamani. So sad
Imelda huyo haraka mtafutieni psychologist atamsaudia Sanaa
😢ila kwakweli misuli inauma
Usilie nyamaza na sisi tunalia unapolia😢😢usilie jipe moyo utashinda
Shetani anajua utakuwa nani kesho ndiyo maana ya vita yako
Hizo nyingi anazozitaja ni aina ya disorders za saikolojia mkipata mtaalam wa saikologia atamsaidia
Dada umeshatupiwa zongo jitahidi utibiwe umesha rogwa tayari huna uzima umeshaumizwa na walimwengu
Nen
Naomba ni mshauri dada maombi yanahusika pia hiyo kuanguka nakutoa povu
Nahuyu nae wakulia mitandaaoni utafikiri hiyo mitihan kaumbiwa pekee nasiku anapopata uzima tu basi nikumkufuru mungu kukaa kichwa wazi hebu tubia urudi kwa Allah
unaona uko sahihi kabisa kucoment hivyo???
Kua uyaone 😢
Kwa hiyo wewe hupitii mitihani kwa kuwa unafunika kichwa?😂😂😂 watu mna viburi vya uzima. Wewe hapo ndio Mtakatifu mkuu sio?😂😂
Nawe siupo Duniani heli yeye haya pa kusema papo wewe lilikikukuta
@preciouspethajui mtu hujafa hujaumbika? 😢😢😢er6126
Wastara unasumbuliwa na sonono msongo wa mawazo harafu wakati unavaa mguu wa bandia uzito ulionao ni mkubwa fanya upungue ndugu
Pia upunguze mawazo kila mtu ana mawazo dada
Wastara..hiyo..ni.mtihani..rudi..omba.dua
Aache kulia afanye kazi, kwanza sikuizi hata movie haigizi, pia akipata hela anaolewa yaani vituko tu . Hana ushirikiano na wasanii wenzake pia aliwahi kuchangiwa pesa nyingi alifanyia nn ? Asukufuru MUNGU awe na moyo wa shukurani anapenda kulalamika sana. Wanaume pia anabadilisha sana
Dada wastara nenda kwa kiboko wa wachawi utasahsu kila kitu.
Yule naye Yuko chini ya umiliki wa Giza nguo tu zinaonyesha
Shanga hawapo na kwao hawap
Nenda kwenye maombi
Kbsaaaaa kbsaaa atarud kushuhudia tafta watu walocmama Cc utakua sawa
Mnamtukana kwa sababu muarabu
Pumguza uzito umekua kama Tembo ndio maana mguu unaleta tabu mwili ukiwa mkubwa miguu yako haiwezi kuhimili uzito wako na acha kulalamika kwenye mitandao usitafute huruma za watu na kutafuta Kiki za kipumbavu fanya mazoezi ya kupunguza mwili
Hivi ww unaongea nini pumbavu
@@ChausikuIsmahili-gn6wk😢😢😢
coment yako haina huruma mmmh!!
Mimi namsema huyo maspro
Kuwa na subra heri itafuata
Anna Musa hajakukuta ndomana unaongea hivyo maumivu unayapa ugonjwa
HIV ili apone inatakiwa sh ngapi
Huyu naye? Zilipendwa!
Kwako ww ndio zilipendwa sio kwa wote punguza hasadi uishi kwa aman dunia 😮
Dah hajajua maana ya neno hujafa hujaumbika😢😢😢
@@ruqaiamohammed345
Huyu Dada naye kujiliza puuuuh
Usiombe yakukute ndugu yangu
Anashida
Hayajakukuta ww tulia TU ujafa ujaumbika
Dada Stara ukiweza kupunguza uzito itakusaidia
Mhuu cjui ata izo nguvu za ku comment huu ujinga umetoa wap kuna cku yatakufika ndo utajua kuwa hajapenda kujilizaaa
Wastara nampenda lkn nae kha ova ye ndo mwenye matatizo pekee dunia nzima hajamuona hawa kha nae tushamchoka
Usiombe ya kukute ndugu
Anasemaje huyu??ah wacha kabisa mpaka mpaka nimelia mpaka nimelia tena walosema hujafa hujaumbika hili neno lina maana kubwa sana@@janethmwihumbo1289
😢😢😢.
Pole sana,Mungu akuponye dada
Usiseme yote ndugu kipindi Cha kufrahi kwenye haya ni kichache kuliko kipindi Cha matatizo na mapito
Matibabu ya kiroho pekee ndio msaada kwa sasa, tatizo lake lipo kwenye Ulimwengu wa roho
Pole sana dada
Pole sana ❤