Wimbo wa Sifa || Dodoma Adventist Chorus
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 9 ก.พ. 2025
- Ufunuo wa Yohana 15:2-4
[2]Tena nikaona kitu kama mfano wa bahari ya kioo iliyochangamana na moto, na wale wenye kushinda, watokao kwa yule mnyama, na sanamu yake, na kwa hesabu ya jina lake, walikuwa wamesimama kando-kando ya hiyo bahari ya kioo, wenye vinubi vya Mungu.
[3]Nao wauimba wimbo wa Musa, mtumwa wa Mungu, na wimbo wa Mwana-Kondoo, wakisema, Ni makuu, na ya ajabu, matendo yako, Ee Bwana Mungu Mwenyezi; Ni za haki, na za kweli, njia zako, Ee Mfalme wa mataifa.
[4]Ni nani asiyekucha, Ee Bwana, na kulitukuza jina lako? Kwa kuwa wewe peke yako u Mtakatifu; kwa maana mataifa yote watakuja na kusujudu mbele zako; kwa kuwa matendo yako ya haki yamekwisha kufunuliwa.
Bwana akubariki unapotazama na kusikiliza wimbo huu.
Artist: Dodoma Adventist Chorus
Song Title: Wimbo wa Sifa
Instrumentation: @mjmusicclassics
Audio Mixing and mastering: BJ Brand
Email: dodomaadventistchorus21@gmail.com
CONTACTS
+255 712 227 383
+255 784 291 945
You can also find us on:
Audiomack: audiomack.com/...
Instagram
/ dodomaadventistchorus
Nyimbo nzuri sana
Amen.🙏😇
Ubarikiwe sister Joyce Obunde kwa solo nzuriiii🙏🙏😊
Amen🙏😇
Naomba flash disc napataje
Oooo Hallelujah, praise the Lord. We Glorify your name Lord. I can imagine singing before the throne... and see the smile of Jesus 😊😊😊 I don't wanna miss there🙏🙏
Ameeeen.😇😇🙏🙏
Ni nani asiyekucha nakulitukuza jina lako wewe pekee u mtakatifu... so touching 😭mmbarikiwe mno D.A.C🤗
Amina. Ubarikiwe pia Christina 👋
UANDISHI BORA KABISA ___WA KUELEZEA UKUU WA MUNGU.....
aliyeandika MUNGU aendelee kumpatia hiyo Talent.
Aminaa.
Am blessed for real, Mungu ambariki mtunzi, aliyepanga sauti na walioimba wote
Amina. Bwana atukuzwe sana🙏😇
Sifa kwa MUNGU MTAKATIFU, hakika ni wimbo wa Sifa. MUNGU Abariki huduma yenu zaidi.
Amina. Mungu akubariki pia🤝
MBALIKIWE ❤
Amina. Ubarikiwe pia 🙏😇💙
Ni makuu na ya ajabu matendo yake Bwana Mungu, na niza haki na kweli njia zake mfalme wetu🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Amen🙏🏽
Aminaaaaa🙏🙏😇🤝
Nawapenda Sana hii choir mnajua kuimba and natamani Sana kujiunga na Mimi. Coz mnaimba kikristo
Amina😇
Hakika ni wimbo wa SIFA kwa MUNGU. Na SIFA hizi zikanyeshe baraka juu ya huduma yenu na maisha yenu👏👏☺️😇😇
Amina. Bwana akubariki pia Mbarikiwa🙏😇
@@dodomaadventistchorus Amina😇🙏☺️
Mungu awabariki sanaaa,,, mnaimba vizuri sanaa muziki umetuliaa
Amina. Bwana atukuzwe sana 🙏😇
Amina sana Mbarikiwe na Bwana kwa wimbo mzuri wa sifa kwa Mungu 🥰🔥
Aminaa🙏😇
Nyie watu , mnafanya kazi njema sana... Mnabariki sana .... Hongereni mnoo na songeni mbele....
Amen Brother Benson. Bwana atukuzwe sana 🙏🙏🤝
Mwl ben barikiwa sana,
Natamanii niwepoo paler siku hyoo ya furahaa
Amen. Usipange kukosa palee😇
Ni Makuu ni Makuu Ni Makuu... wakuu mbarikiwe sana kwa wimbo mkuu🤗
Amen.🙏
Ubarikiwe pia mkuu🙏🙏
Kazi imetukuka🔥❤️🔥
Akili zimetumika kuupika
Amen. Bwana asifiwe Sana🙏😇
Wow Miongoni mwakwaya zenye kiwango ambazo niadim nayo hyiii imetisha
Kwakweli nyimbo zenu haswa huu na yuhai zina kiwango nazipenda saana
Naomba tuwasiliane
Amina. Mungu atukuzwe sana.
Unaweza kuwasiliana nasi kwa kutumia email adress ipo kwenye Description ya video hapo chini
Amina! Beautiful song, sauti nzuri zilizoblend vyema. Blessings ❤️
To God be the Glory 😇🙏
Video audio imekaaa vzr sana mungu azidi kuwainua
Amina.🙏
Napenda sana hii Melody 🎶 😢😢😢😢❤❤❤
Amen😇💙💙
Mungu awabariki na aendelee kuwatumia kwa utukufu wa jina lake
Amina🙏😇
I love your music it inspires me ....am so humbled ❤
Ameen💙😇
We're so delighted to hear that 🙏🙏
Wow Wow GOD BLESS YOU.. ila Huyu Mtunzi wa Nyimbo Zenuu, MUNGU AMBARIKI SANA🙏🙏🙏
Amina🙏😇. may the Lord bless you too 👋
Be blessed much hakika wimbo huu umenibariki sana na kunisogeza katika msalaba wa Calvary ,It's the best praise song I have ever heard
Amen. God bless you too😇🙏
Kazi safi. Mungu awabariki sana.
Amen🙏. Bwana akubariki sana
Nawapenda sanaaa!!! Mbarikiwe mnooo
Amen🙏😇. Ubarikiwe Sana pia👋👋
Sophiiii mimi shabiki yako😍😍😍
😇🤝🤝
I like this so much 😊
Amen. May the Lord bless you more😇👋
Be blessed abundantly Dodoma go and do it more than this
Amen. May the Lord be our guide😇🙏
Be blessed more🙏🙏😇
Oooh! #Cake ya January hii hapa.
Mmefanya mmefanya wakuu..🙌🏾🙌🏾
Amina. Bwana azidi kupewa sifa
Kwa Kweli Nami Pia Nina Shauku Ya Kufika Huko Nikamwimbie Bwana
Amen😇
Amen..nami Nia yangu niwepo pale niimbe wimbo wa Sifa 🙌
Amina😇😇
Mungu awabariki. Muziki mtamu sana
Aminaa🙏😇
Nice melody ,nice song be blessed 🙏🙏❤❤
Amen😇🙏
May the Lord bless you too 👋
Kazi nzuri
Amina. Bwana atukuzwe sana.🙏😇
Barikiwen sana ❤
Amen. Ubarikiwe pia💙😇🙏
Thank you so much. Blessings 🙌🏾
Amen😇👋
Kali sana mu barikiwe
Amina. Ubarikiwe pia🙏😇
Navutwa zaidi.
Amen. Bwana atukuzwe kwa hilo 😇🙏💙
Mbarikiwe
Amina..
Ubarikiwe pia
Wimborne wangu pendwa
Amen. Mungu akubariki 🙏😇
When i heard the first line the response in my head was DAC for the best song ever heard but guess what?? they drew me back to that sweet song of moses, the sweetest ever heard. Amen and blessings for always tuning our hearts with songs of hope.
Amen. God bless you more🙏😇
Mungu atukuzwe.....Nice message, nice melody, nice visuals
Amen🙏. To God be the Glory indeed 😇
Mavoice , what a beautiful sounds
Amen🙏😇
Ameen ameen
Amen🙏
Sifa zote zikuridie wewe uliyejuuuu
Aminaaaa🙏🙏
Siku nikija dodoma nitakuja kanisa yenu natoka kenya
Amen . Karibu Tanzania 😇
You're more than a blessing saints ❤️.. Mungu awakweze
Amen🙏😇
I'm blessed by this piece from Kenya.
God bless you.
Amen🙏. God bless you too😇🙏
World class song.. 🙌🏿
Amen. God bless you 🙏
Mungu awabariki sana na mzidi kusonga mbele🙏
Amina.🙏😇
Oooh hallelujah
Amen..
Amen 🙏😊
Amen🙏
Amen
🙏😇
Fireeeee
Happy Sabbath beloved 💖. It is such a super 👌 item
Amen😇🤝
Be blessed much I love u
Amen🙏 God bless you 👋
such a beautiful arrangement 3:52 🙌🏽🙌🏽
Amen🙏😇
best singing
Amen. To God be the Glory 🙏💙😇
Such a blessing song be blessed guys ❤❤❤
Amen🙏🙏😇
Be blessed
Amen😇. You too Dainess👋
❤❤❤❤❤❤❤❤
💙💙
❤️❤️
❤️🙏
🔥
🙏🙏😇
3:52 blessed
Amen🙏🙏😇. Gob bless you even more 👋
👏👏👏👏
Amen. Glory to God 🙏🙏
Mtunzi ni nani akii tumjue
Am from Kenya and I really love this choir I'm also a student studying music at Kenyatta University and I'd love to meet this choir It inspires me both musically and spiritually
Amen. May the Lord bless you 😇🙏
Amen amen
Amen🙏
Aminaaaaa
❤️
❤❤❤
❤️❤️😇
Amen
Amen😇