Refa man of the match, ile twaha kuanguka raund ya kwanza na kusukumiwa kumi zaidi, rwfa angemaliza
Uyu bondia tuna mpenda sana. Ako na eshima sana anakuanga na eshima sana ❤️🇰🇪 ❤️
Mungu abarik kazi yako brodher hujabebwa ngumi zmeonekana tunakukubar miaka 💯
Laa ilaha illa Allah muhammad rasul Allah.
Kiduku big up bro keep it up.
Allah atulinde sote mm na wewe na kila anaekupenda na atuongoze.
Congratulations Is Italian Boxeur.
I LOVE BOXE ❤
I LOVE AFRICA ❤
I LOVE AFRICAN CULTURE ❤
I LOVE AFRICAN PEOPLE ❤
Nilichokiona dulla ni mvumilivu,laiti angekuwa bondia mwingine angepigwa KO,,big up Kiduku💪💪
Hongera sana mabondia wote. Ila kile ningeweza kusema ni kua ,ni vyema kukubali uamuzi wa majaji, kwani huu ni mchezo wala si vita.Cha pili, kama mchezaji hakuridhika na pambano basi kuna nafasi ya kuomba pambano liregeleo tena. Tusionyeshe hasira tuwe wapole tu.Otherwise hongera sana watanzania. Salamu kutoka Kenya.
Twaa inatakiwa usimamizi mzuri uyu ni Tyson wa Tanzania
Big uuuuuup twaha kidogo umemshikisha adabu mawe maweeeeni!!!
Mmmh kwa Wimbo Wa Dulla Bingwa Alikua ameshapatikana kwenye Intro Tu🤣🤣🤣🤣
Hongera Twaha umecheza mchezo mzuri sana show show kaza buti tupo p1
Hapa Hakuna Mabondia,, Wote Akili Wanatumia kidogo Nguvu Nyingi Ndio Maana Wakitoka Nje ya Nchi Wanapigwa, Mwakinyo Still On Top
Mmechelewa sana kupandisha highlights za hili pambano TH-cam
Boy kiduku kifaru , respect kiduku nakukubali mwano .show show......
Twaha ana nguvu ,ila anatakiwa mwalimu wake amfundishe kuhifadhi pumzi na kupiga target. Anarusha ngumi na mwili mzima mzima. Akipata bondia makini anayeweza ku defend vizuri anaweza akapigika vibaya.
Safi,tatizo kiduku ni walimu wake in reality kiduku walimu wake si walimu wa ngumi bali wa kubeba vitu vizito
Ukimtegemea mungu yetu Yana wezekana
Kumbe shida ilianzia kwenye nyimbo ya dura kaingia na taarabu
Huyu jaman ndo dula mbabe ninaemskia au dula makabila???
Msiwe mnachelewesha video bhn, sio vizuri
Morogoro ni mji wa vipaji
Hongera twaha ukae kunogo
Ahsante twaha kwa kutuwakilisha vyema wana morogoro
Nimefurah sana hata mm Dada amina wa morogoro mwenzangu Moro sehemu gani my sister
Twaha hongera kwa kazi nzur
Twaha uko sawa sana Ila jaribu zoezi ya kamba kuruka juu uko na nguvu Sana Ila miguu inahitaji power ✍️ anyway your champion 🏆
Moja sheria ya bondia.bor ni anajua ku kwepa ngumi htrahi hlo kwa kiduku kapass then antupa ngum nying san sem akipa da nguv za miguu na kumove kwenye position sahihi atakua ka win sana
Tanzania boxing mko vizuri Sana , 🥊🥊🥊🔥🔥🔥🔥🔥
sijaona sababu ya Dulla kulalamika na maamuzi,akubali matokeo Twaa yuko vizuri kumliko
Dula hamuwezi Twaha, ajipange tena mwakani!!!
Dulla mnyonge 😂 Aliingia Amesukaa kilichochomktaaa
Hadiii nyweleee zilifumkaa amaà kwerii ujanjaaa siii kuwaiiii ujanjaaa
Ni kupataaaa😂😂😂😂😂👏
Dullah ana kiburi ndo maana kadundwa
Kiduku oyeeeeeeeeeeeeeeeee🙏🙏🙏
Huyo referee sio professional kabisa kwani ni lazima fighters wa touch gloves 😅 , and the craziest thing she said ety sintoruhusu pambano mpaka mtouch gloves
Yani wacha nkucheke tu😅😅 hii si Wrestling usiwe mbumbu katika masumbwi kazi ya referee mwanzo nkupeana General instructions
1, Obey my commands at all times
2, Protect yourself at all times
3, Any questions?
Kisha utaskia referee akisema touch them up (yani touch gloves) na kila bond anarudi kwa corner yake na referee anaendelea kuwa sawia na majudge na time keeper.
Naikubali sana
Tanzania is doing good in Boxing nowdays
refary yuko vizuri sana
Dlla jasiri maashaallah
Bado nacheki hii pambano dulla aliyakanyaga na Jena pia akayakanyaga Kwa katopa daah kiduku smtu poa
Mm nilifurahishwa na mtangazaji😂😂😂😂
Hi
Yaani nyimbo tuu inaonesha nani mshindi
Twaa pia Ako sawa sana kwakweli
Hivi tuseme ukweli upiganaji huu kweli ndio mnataka kupigana na bondia mwakinyo tusitaniane jamani wacheni ushabik uchwara hawa bado sana wanapigana kama kuku majogoo
Pamoja twaha kazi tumeiona
Mmmh noma sana
Maoni yangu
Twaha bondia mzuri,nguvu anazo isipokuwa punches bado shallow lazima aongeze bidii to get maximum power from the ground to legs hips shoulders and fist must deliver it,kifupi improve stamina and techniques,atulie asipige kwa jazba:end result ya knockout zilizompata ni weak stance.
dulla mbabe:Good punches but medium power,lazima aongeze nguvu, defence is weak when blocking punches anatakiwa ajifunze ku redirect force not to fight against it.
Overall results:Crown wangeikata nusu(draw match)👍
Noma
Hakuna wa kupigana na Mwakinyo hapa
Kila nikirudia kuangalia hii clip nachukia sana ujinga wa Ushirikina wa huyu kiguru mlemavu na huyu dullah shoga, limeacha kufanya mazoezi kwa bidii limeishia Ushirikina kwenye michezo
Safi
Hivi upiganaji huu ndio mnaweza kupanbana na mwakinyo ndio kweli ngumi hazina mwenyewe ila kwa upiganaji huu dah mwakinyo hebu muacheni kwanza yy yupo kimataifa zaidi.
Safi sana
Twaha kiduku
Mwenye kushindwa ngumi zake nzito ako poa sana Bora awe faster atakua deontay wilder junior kwa knock out
Dulla akiwacha kiburi basi atafanikisha ndoto zake
Twaha tuna believ in u
Kazi kazi
majaji wako sahihi,hupenda kuregelea kutizama hii fight kwasababu ni nzuri hii fight
wimbo alio ingilia dulla mbabe🤣🤣🤣🤣 ndio man alishindwa
Twaha ww ndiyo tanzania one. karibu sana mtwara ata huku tunataka raha
huyu Twaha anakaa kama Tyson 💯✍️
Ama kweli dula amechezea vitas.big up twaha
Hongera twaha kiduku
Ila kiduku anajitaidi sana azidishe tekiniki na mazoezi
Mungu ndo Kila kitu
Dulla mbabe alijpanga
Mwakinyo
Twaha nihatari Sana
Dullah mnyonge
Show show 🤓🇹🇿👋
Hili pambano lilikuwa noma sana
Mwakinyo anaweza kumuua kiduku
Kabisa kiduku gut zake huyoko makini nazo mwakiinyo noma atalegeza tumbo lake ataomba poo kiduku
Hata me ningekuwa mwakinyo siwez nikakubali kutia saini, maana kwa ngumi kama hizi unaweza jikuta unashushwa CV yako hiv hiv.
Kamati za ufundi vitasa, waganga wapo au hawapo🤣🤣🤣
Dulla mbabe alishinda Kwa ko Kwa Sheria za ngumi
Unazungumzia sheria ipi iyo Dullah angeshinda endapo Twah angeshindwa kuweka guard
Angeua km anaweza ukiona twaha ameendelea na amempiga dulla maana yake anamuweza..
Dula alikua hajielewi refa alimsaidia kwamba rudi kwenye kamba yako yeye hajaelewa
ANAJUA SANA
Kila nokijaribu kutafuta kosa la refa Pendo njau hapa silioni!! Bali naona tu kosa la Dullah baada ya kumuangusha Kiduku alibakia hapohapo wakati alipaswa kwenda kwenye neutral corner ili kumpa nafasi refa aanze kumhesabia Kiduku.
Huwez kuona ila Kwa hapa nw nimeona pendo njau alileta mapenzi twaha alipo anguka na kuisabiwa nakurud Tena chini asiinuke moja Kwa moja ni mchezo umeisha na pia amepigwa ngumi nyingi bila ya kujibu mchezo ulikuwa umeisha dulla Yuko sahihi kaonewa
Kaonewa, wawe wanajifunza kucheki marefa WA ulaya namna wanavyo hesabu, mchezo umekuwa umeisha kwa kuwa hakujibu mashambulizi pindi alipo anguka Twaha,kaonewa Dulla
Watu wanamsifu kiduku,,,,lakini asijaribu pambano na Mwakinyo ataumbuka.
Kiduku uyu jamaa anapumzi mzur sana
Tatizo lilianzia hapa!
Great fight , real warriors TANZANIA BOXING RESPECT ' 🥊🔥🔥🔥🔥
Waendelee tu kupambana huku huku chini kwanza
Correct score.
kweli Twaha n boxer no 1 Tz
sasa mwakinyo ndıo acheze na twaha!
mbona anakuga rpund ya pili
Sawa
Vitasa
Kiduku🔥
mwakinyo asthubut mzık wa Twaha
atajamba checherr
yy asubir wazungu wanakula mayaı cıo mıhogo moro n kıla kıtu ngum moro -Tz.
Haya bhana
Hivi kale kamsemo niling'atwa na mbuzi bado kipo?
ase ungeuwa kiduku ameishauyo
Dulla kaonewa ni kama vile refa alikuwa anapeta yawezekana ime muathiri dulla kisaikolojia hatimae kapoteza
Twaha ni mtu mmoja yuko makini sana, kingine anapigana na mpinzani wake feya play maana alikuwa na uwezo wa kumuumiza Dulla mbabe. His bravo