Weee hujui mbongo maana yake ni nn? Neno bongo lilianza kutumia mwanzon mwa miaka ya 90 karibu na salamu mambo iloanza kutumika mwishon mwa miaka ya 80
They’re are fake, hawataki kutumia akiri nyingi wala investment, Nimejaribu kujichanganya nao kwa miaka kama 2 kwenye Bongo Movies 😢, ideas zao ni za “oya tupige chapu tupeleke azam kesho “ budget ya movie 50, wasanii wanaombwa wale wagumu wanapewa 5k peeday editors tulinunuliwa vyakula ndo mshahara 😑😑😑
Weee hujui mbongo maana yake ni nn? Neno bongo lilianza kutumia mwanzon mwa miaka ya 90 karibu na salamu mambo iloanza kutumika mwishon mwa miaka ya 80
Kumbe😂
They’re are fake, hawataki kutumia akiri nyingi wala investment, Nimejaribu kujichanganya nao kwa miaka kama 2 kwenye Bongo Movies 😢, ideas zao ni za “oya tupige chapu tupeleke azam kesho “ budget ya movie 50, wasanii wanaombwa wale wagumu wanapewa 5k peeday editors tulinunuliwa vyakula ndo mshahara 😑😑😑
Vitu professional wanavikataa dhairi kabisa mbele ya ushaidi 😂
Dah tz yangu 😅
😂
Noma