Napenda sana zaburi za huyu kijana. Mungu amekujalia sauti nzuri nawe unaitumia vyema. Siku moja naomba Mungu atukutanishe tuimbe pamoja. Mungu azidi kukubariki ndugu🙏🥰❤️
Hongera sana. Sauti yako kwa kweli ni nzuri. Mtu hachoki kukusikiliza. Nashukuru Mungu kupata fursa ya kusikia sauti yako. Nawe endelea kumwimbia Bwana hakika atakujalia neema zaidi katika kipaji chako alichokupa.
Huo ndiyo ukuu wa Mungu, hugawa vipaji kadri ya mapenzi yake! Sifa na utukufu ni kwake yeye atumiminiaye vipaji na kârama tupate kudhihirisha ukuu wake!
Wow, I have been longing to hear the new psalm tunes from this guy, he does it so well. I heard another tune from another person TH-cam. Titled ndipo niliposema, tazama" would love to hear more from him. Am a psalmist too
Safi sana kakakaaa umetishaa
Kazi nzuri sana kaka. Ubarikiwe.
Napenda sana zaburi za huyu kijana. Mungu amekujalia sauti nzuri nawe unaitumia vyema. Siku moja naomba Mungu atukutanishe tuimbe pamoja. Mungu azidi kukubariki ndugu🙏🥰❤️
Asantee sana marymondingmimina karibu sana the Black Tenors tuimbe pamojaaa
Hongera sana. Sauti yako kwa kweli ni nzuri. Mtu hachoki kukusikiliza. Nashukuru Mungu kupata fursa ya kusikia sauti yako. Nawe endelea kumwimbia Bwana hakika atakujalia neema zaidi katika kipaji chako alichokupa.
Saf sanaa kaka umeimba vizuri sanaaaa👏👏👏🤝🤝
Jamani , kijana anaimba vizuri Mungu akikuze kipaji chako
Huo ndiyo ukuu wa Mungu, hugawa vipaji kadri ya mapenzi yake! Sifa na utukufu ni kwake yeye atumiminiaye vipaji na kârama tupate kudhihirisha ukuu wake!
Hongera sana
Great vocals
It's awesome voice. Very proud of you!!!!!!
Barikiwa sana mtumishi
He sang very wel!. Mungu atukuzwe
Be blessed siku tulipiga kolabo na mm hakika itakuwa njema sana
Great great! Utukufu kwa Mungu
Wow! incredible.
Amina ubarikiwe sana
Amina baby mwamtemi Mungu akibariki pia kwa kuwa pamoja nasi The Tenor's
Hongera sana kaka
Wow, I have been longing to hear the new psalm tunes from this guy, he does it so well. I heard another tune from another person TH-cam. Titled ndipo niliposema, tazama" would love to hear more from him. Am a psalmist too
Am😂
Amina
L
L ❤
You are blessed with such a unique voice.blessings
Amina Rosina Kithinga God bless you to
😂😂Tanzania oye
❤
Kanisa katoliki lidumu daimaa maana wakatoliki tunajivunia sn