Ameeeeen kubwaaa Mtumishi wa Mungu ni mebarikiwa sanaaaaaa Mungu akubariki sanaaaaaaa na zaidi ya yote akupe maisha marefu uendeleee kutufundisha njia ipasavyo 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amen nabarikiwa sana kila mara ninapoyasikia Mahubiri haya na nimeona matokeo mazuri Roho mtakatifu ananibadilisha kila kuchao.Mungu akuinue zaidi nakuombea mchungaji Mwenyezi Mungu azidi kukupa hekima ndio huzidi kutulisha kiroho. Amina
@@davidmmbaga3350 pastor naomba uniungu ku telegram na mimi ili niwenapata maubiri siku ile ile maubiri yako uwa inanigusaga Sana nikiwa apa Australia sijuwi kama munatumia number au jina? Kwakuungana ku telegram? Naomba unijulishe ili nikupe number yangu munionge ku telegram asante.
Asante pastor kwa somo nzuri ubarikiwe,pastor naomba uniombee ujaso wa roho pamoja na mtoto wangu ambao atafanya mtihani kwa college ya kua nurse America asante.
Pastor, nimeota niko Nyumbani nkaona nyumba ya na ya Bibi yangu Bibi akanimbia nyumba yake inavuja mvua, na ya Mama imeharibikà nikasema kuwa nitazikarabati, kuwa nitoe nyasi niweke bati vzr. Na, Mama na Bibi wore washafariki. How nilipo, nawaza Ina maana gani? Hd nimekosa amani!
Mwenyezi Mungu akubariki Pastor Mbaga kwa somo hili, roho wa Mungu atuongoze tubadilike atuepushe na viburi
Ameeeeen kubwaaa Mtumishi wa Mungu ni mebarikiwa sanaaaaaa Mungu akubariki sanaaaaaaa na zaidi ya yote akupe maisha marefu uendeleee kutufundisha njia ipasavyo 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Barikiwa Sana mchungaji mbaga. Sauti yako iliyojaa Neema ya Kristo inayo wahubili maelfu kuokorewa.
Asante sana pastor kwa mahubiri .Nabarikiwa kutoka Qatar
Mungu akubariki sana mtumishi unanifanya nilipende neno La Mungu kila cku ubarikiwe
Amina mtumishi wa Mungu napenda mafundisho yako nakusikiliza kutoka Bukoba Kagera.
Amina.. Ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU
ubarikiwe sana mchungaji nafuatilia mahubiri yako youtube hakika nabarikiwa sana na maombi mengi yamejibiwa mungu akubariki
AMEN, Mungu akubariki sana Pastor....huwa unanibariki kila wakati
Amen nabarikiwa sana kila mara ninapoyasikia Mahubiri haya na nimeona matokeo mazuri Roho mtakatifu ananibadilisha kila kuchao.Mungu akuinue zaidi nakuombea mchungaji Mwenyezi Mungu azidi kukupa hekima ndio huzidi kutulisha kiroho. Amina
Amen
Amina man of God. nimekumbuka usemi yako mshike mkono jirani yako.
Pastor Mmbaga wewe ni mwalimu mwema, mafundisho yako nayapokea kwa imani, somo limenibariki sana,, nakufuatilia kwa vizuri nikiwa Kenya, malindi
Amen
Ni kweli tumejipenda na kuwa na kiburi cha uzima. Mungu nirehemu
mwalimu mwema ni Yesu
@@davidmmbaga3350 pastor naomba uniungu ku telegram na mimi ili niwenapata maubiri siku ile ile maubiri yako uwa inanigusaga Sana nikiwa apa Australia sijuwi kama munatumia number au jina? Kwakuungana ku telegram? Naomba unijulishe ili nikupe number yangu munionge ku telegram asante.
amen amen ubarikiwa mafunzo mazuri
Barikiwa sana Mutu wa MUNGU
Barikiwa na Bwana mtumishi
Ole wangu mwanadam.... mara ngapi nimeonywa mara ngapi tumesikia mahubiri..mara ngapi tumehubiriwa...mara ngapi tumeonywa Mungu nipe nehema na rehema
Nimeelewa sanaaaaaa. Mbarikiwe sanaaaa
Nnajifunza mengi kupitia mafundisho yako ,ubarikiwe sana
Ubarikiwe sana mjungaji, Mungu azidi kukupa nguvu, ili uendelee kutubarik Naomi from Kenya God bless you so much.
Amen
Amina ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU.
Kaba sijamaliza kusikiliza,nimekuelewa sana pastor Mmbaga, nimechukua point tena. Mungu akubariki
Mungu aku Bariki Pastor , Nime barikiwa kabisa
Na mimi pia nimebarikiwa sana
Be blessed pastor,watching from usa but from kenya,kiti
Mungu nisaidie,nimebarikiwa pastor
Amen
Ubarikiwe sana Pastor kwa somo nzuri.
Ameen nabarikiwa sana na masomo mazuri
Hiyo kitabu I napatikana Kenya nataka moja
Mungu atusaidie sana
Ujumbe mzuri sana. Ubarikiwe pastor
😂😂😂 et #malaika wakikatiza mbinguni wanamuelewa Belshaza ni nani. Mchungaji unastyle flani hv ya kuhubiri inafurahisha sana.
Amina
Somo lina ujumbe mzito sana. Amina
Asante pastor kwa somo nzuri ubarikiwe,pastor naomba uniombee ujaso wa roho pamoja na mtoto wangu ambao atafanya mtihani kwa college ya kua nurse America asante.
Mungu akupe haja ya moyo wako
Nimebariwa sana GOD BLESS YOU PASTOR
Am really blessed Amen 🇰🇪
Amina Pastor, barikiwe kwa somo zuri
Asante kwa masomo nabarikiwa sana na mahubiri nahisi kama nalishwa chakula kitamu,asante
Daah! Ni hatar sana lkn Mungu ni tumain kuna vitu ninajifunz sana ubarikiwe sana
Mungu ameendelea kuongea nami. Ubarikiwe Pastor wangu
Asante kwa ujumbe mwema mungu niumbie roho ya unyenyekevu nisamehe kwa kiburi changu
Amina pastor kwa ujumbe mzuri Barikiwa
Nabarikiwa sana
Asante sans kwa mafundisho mazuri ubarikiwe sana mchungaji 🙏
Asante mchungaji kweli nilikuwa nikiipuuza sana
Amen 🙏🏿, ubarikiwe
Nabarikiwa sana na somo lako Mchungaji🙏🙏
Ubarikiwe sana pastor I am here who dreams and it happened all time. I love when it’s nice dreams, but if it’s bad dream I don’t like kabisa
Stay bless
AMINA
Ubarikiwe pastor
Nabarikiwa sana na soma lako mchungaji D mbaga nikiwa huku Brazil ubarikiwe sana
Mungu akubariki
@@davidmmbaga3350 Aminaaa
Barikiwa PR
Barikiwa pastor naomba kujiunga na kikundi cha Telegram
Mimi pia
Hata mimi
Tuma link ya telegram natakakufatilia mafunzo
Nabarikiwa sana,naomba uniunge kwenye kundi la Telegram au uweke link ili kurahisisha
Amina mchungaji
Kuna mtu aliniambia kwamba Kazi yake ndiyo Mungu wake wa kwanza kwasababu inampa maisha mazuri tena aliongea kwa kiburi sana. I was shocked kwakweli.
Mpe mpole !! Kabla hajapata kazi Mungu alikuwepo!! Kazi itaenda Mungu atabaki
Pastor naomba mtufundishe kuhusu hii watu wanaita trinity of God
Asante kwa mafunzo
Pastor, nimeota niko Nyumbani nkaona nyumba ya na ya Bibi yangu Bibi akanimbia nyumba yake inavuja mvua, na ya Mama imeharibikà nikasema kuwa nitazikarabati, kuwa nitoe nyasi niweke bati vzr. Na, Mama na Bibi wore washafariki. How nilipo, nawaza Ina maana gani? Hd nimekosa amani!
Hili somo limenilenga juu jana usiku saa 3:30 niliota ndoto na ikanisubua sana lakini niliomba
Mimi pia niliwah kusumbuliw na ndoto
Mungu akusaidie ujue la kufanya
Ameni
Naomba uniunge telegram mtumishi +255 713 928 117
MTUMISHI INAWEZEKANA KUPUUZA AU KUTOPUUZA MAONYO KWA AKILI ZAKO...??? NAWEZAJE.???
0764883348
Niunge kwenye group telegram
Naomba uniunge telegram pastor 0746194783 .
Amen
Amen