Dhana ya FONETIKI, FONOLOJIA, FONI, FONIMU , ALOMOFU, - Kiswahili Educator , BIN GITONGA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 14 ต.ค. 2024
- Dhana ya FONETIKI, FONOLOJIA, FONI, FONIMU, ALOMOFU, Kiswahili phonetics, phonetics in kiswahili, Kiswahili Phonology,
fonetiki na fonolojia ya kiswahili, Fonetiki maswali na majibu, fonolojia explained by teacher Gitonga, kiswahili online teacher, teaching kiswahili online.
KCSE kiswahili maswali na majibu, kcse kiswahili exam, learn kiswahili while at home, jifunze kiswahili wakati wa covid19, learn kiswahili during lockdown, kiswahili explained by bin gitonga, kiswahili online teacher, teaching kiswahili online 2022
fonetiki matamshi,
Learn Swahili, swahili language , swahili grammar
#KiswahiliEducator ,
#BINGITONGA
#kiswahilikitukuzwe
Kazi nzuri mwalimu. Asante kwa kuyarahisisha masomo ya kozi hii
Nice
Kazi nzuri sana mwalimu 🎉
Kozi hii ya "Applied phonetics and phonology," nashukuru woow,
Unarahisisha mawasilisho yangu...
Habari, Mwalim Alhamdulillah ahsante sana Mwalim, naomba kujua tofauti kati ya ufanano na uhusiano
ASANTE SANA
Asante
Kazi njema sana teacher
Asante sana Dada yangu
Kazi maridadi mwalimu🔥🔥👏👏👏
Asante kaka mayaka
Naomba ufanye wasilisho la maumbo ya silabi
Hi, nataka kujua maana ya alofoni na fonimu pia tofauti zake
The lesson was interesting how can I get the next topics in fonetiki na fonolojia
Safi
Great
ASANTE
Naomba kujua dhana ya sifa pambanuzi za vipashio vya kifonolojia
Uhusiano baina ya foni na fonimu
kazi murua
ASANTE KAKA
Elezea pia kuhusu michakato ya kifonolojia na kifonetiki
SAFI KAKA
Mwalimu kuna shida nikisema kuwa fonetiki ni uchanganuzi wa lugha unaohusu sauti Kwa jumla
Naomba kujua uhusiano baina ya foni na fonimu
Unayo somo la usilimisho pamwe
Safi
naomba kujua umuhimu wa fonetiki
Wapi ya semantiki na sintaksia
Mwalimu tafadhali naomba kujua dhana ya fasihi dhati na pendwa kwa kiwango cha wanafunzi wa chuo kikuu
Michoro ya madagaa
Gani iyo Dada?
Mifano ya fonetiki
Fonetiki matamshi fonetiki sikizi fonetiki akustika
Naomba kujua tofauti kati foni na fonimu
Foni ni katika Fonetiki , Fonimu ni katika Fonolojia,
1. FONI ni sauti yoyote inayozalishwa na kinywa cha binadamu. Lakini FONIMU ni sauti ya lugha mahususi pekee yake
2. FONIMU lazima ilete maana inapoandamana na fonimu nyingine katika lugha lakini FONI si lazima ilete maana
Cha msingi hapa ni kujua tofauti kati ya FONETIKI na FONOLOJIA kwa kufanya hivo itakuwia rahisi sana kutambua Foni na Fonimu
Sadakta nimesaidika
ASante