SIKILIZA TALENT YA GASPER REMA WABABONDO ANAYE TIKISA USA - UNAMPA ASILIMIA NGAPI KWA UNAIJERIA WAKE
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 29 ก.ย. 2024
- Ndani ya ALEXANDER TV ONLINE tumefanikiwa kukutana na Gasper mkali working boy ambaye anatisha USA kwa unaja wake kwa mitili ya Rema, sikiliza exclusive ya kibabe.
Click hapa kusikiliza kazi ya Gasper
👉 • Gasper - Working Boy (...
ALEXANDER TV ONLINE
FOR PROFESSIONAL UPDATES
SUBSCRIBE NOW - / @alexandertvonline
Kusikiliza kazi yake, click link ndani ya description au click link hapo chini 👇👇👇
th-cam.com/video/VPGZbiddNks/w-d-xo.htmlsi=5OjIbqtIAtpyveoo
Atuioni
@@mtyona
Ndo hiyo hapo chini 👇
th-cam.com/video/VPGZbiddNks/w-d-xo.htmlsi=5OjIbqtIAtpyveoo
Anajuwa sana mpeni mauwa yake 🌹💐🎉
Jamaa anajuwa sana 🎉
Nampenda sana gasper 👏
Dogo ana kipaji ila wanachokosea vjn USA nikufikiri akiwa Usa hawezi kusimamiwa tena, hiyo ni talent nzuri hikisimamiwa na mtu hanayejuwa kazi
Kabisa
Uhakika
Unajua kuongea
Jama anajuwa sana namkubali
anaweza kweli
Dog anajua sana uyo
Huyu bwana mdogo anakipaji kikubwa sana
Style take ya kuimba Ni km Wamerekani. Sipendi ihi Hali Una ulizwa swali la kiswahili unajibu Kingereza na kuongea kirengeza sn kuliko kiswahili.
Uyo dogo ndo wapili u.s bila kumsahau emoda wa kwanza 😂🔥🙌
Uyu anamzidi yeyote maana Emoda sio mwimbaji ni Comedy dogo ni mwimbaji.
Mdogoangu pambana aisee
Bro huo wimbo ukijumlishwa rap Yako ,misili ya ulivyo rap kwenye"ngyaanye" inaweza kua kali zahidi
Huyo wa kofia ya Red si alikuwaga mwenye kwaya ndo ameamua kuamisha makao
Chenchi Seen It 🎉🎉Pamban Tu Ndo Njiya Yako Yakutobow.....
International Bwoy Seen it 🙌🩵
Napenda kumshauri mdogo wangu Gasper unapokua kwenye interview usipendelee San kujikuna kichwani kila mara inaonyesha uzaifu flani wa kutokujiamin hiv
Usij siku moja ukapig aina ya bongo flavou
Fatilia @Rema , ruger
The guy is the best, this is another level 🔥🔥🔥. Akim Ayamba from Bukavu \DRC
Endelea kufatilia @Rema ,@Ruger
Dogo anaweza kikweli, kwakuwa kipaji nikipaji na wabembe tunaweza ,naningependa azidi azidi kusonga.
Gasperboy kasha kuwa brand ina bidi awe naji ficha sasa..
Wanaimba vjn awa ila Aja weka mizizi sn
🐐🐐
Pambana mdogo wangu uko vizuri🔥👊
Kazi kubwa Sanaa😊
Bado sana apo
🎉❤🎉❤🎉
Uyo dogo naitaji namba zake nimsimamiye
I totally agree❤❤❤❤
Wow that's great news ❤️❤️💪💪💪
Big up
🎉🎉🎉🎉
Unyama sana 🎉🎉
👌💥🇨🇩
70%