SASA NDUGU WA MUAJI WANATOA VITISHO WAKATI NDUGU YAO KAUA SASA WANANCHI WENYE ASILA WAKICHOMA NYUMBA ZAO MOTO NA WAKIFANYA KITU KIBAYA UTAWASIKIA MAMA SAMIA TUSAIDIE WAKATI NDUGU YENU MUUAJI HUYO MTOTO MUELEWA KAMA KAMTAJA MUALIFU AJAKOSEA KABISA KWA HUFAAMU WAKE POLENI WAFIWA 😭🤲😭🤲
Lazima tujiongeze toka polisi kata hadi level ya polisi mtaa ambao watashirikiana na polisi jamii kuendesha intelijensia na criminology kabambe usiku na mchana ili kusafisha mitaa kwa kupiga vita bangi, walima bangi, wasambaza bangi, wauza bangi, wavuta bangi, watembea na visu kinyume cha sheria, wahuni wakaao vikundi vichochoroni usiku na mchana iwe ni operesheni endelevu sio zima moto hadi mitaani hasa Arusha, kuwe na nidhamu ili vijana hasa magenziii wanyooke waadabike warekebike watake wasitake lasivyo mitaani tunaatamia manyamera, magaidi, mahuni, mashetani madhalimu, maharamia, wauaji, makatili ni hatari sana tuamke tafadhali
HV NYIE MNAWAUA WENZENU HUWA MNAFIKIRIA NINI?JAMANI HUYO AKAMATWE POLISI MSISEME MNAFANYA UCHUNGUZI WAKATI LINAELEWEKA. NA HY FAMILIA ILIMTUMA HUYO JAMBAZI. TUNAOMBA POLISI NA HAO WANATISHIA WAKAMATWE NA WAO NI WAUAJI KWANN WAMSAIDIE?
Maskini amekufa kwa ajili ya kutetea uzao wake😢😢😢
Kifo kina siri nzito kina tafutaga sababu tuu
Poor reporter,Anza kwa kutoa taarifa kwa kueleza mkoa-wilaya na mtaa
SASA NDUGU WA MUAJI WANATOA VITISHO WAKATI NDUGU YAO KAUA SASA WANANCHI WENYE ASILA WAKICHOMA NYUMBA ZAO MOTO NA WAKIFANYA KITU KIBAYA UTAWASIKIA MAMA SAMIA TUSAIDIE WAKATI NDUGU YENU MUUAJI HUYO MTOTO MUELEWA KAMA KAMTAJA MUALIFU AJAKOSEA KABISA KWA HUFAAMU WAKE POLENI WAFIWA 😭🤲😭🤲
Lazima tujiongeze toka polisi kata hadi level ya polisi mtaa ambao watashirikiana na polisi jamii kuendesha intelijensia na criminology kabambe usiku na mchana ili kusafisha mitaa kwa kupiga vita bangi, walima bangi, wasambaza bangi, wauza bangi, wavuta bangi, watembea na visu kinyume cha sheria, wahuni wakaao vikundi vichochoroni usiku na mchana iwe ni operesheni endelevu sio zima moto hadi mitaani hasa Arusha, kuwe na nidhamu ili vijana hasa magenziii wanyooke waadabike warekebike watake wasitake lasivyo mitaani tunaatamia manyamera, magaidi, mahuni, mashetani madhalimu, maharamia, wauaji, makatili ni hatari sana tuamke tafadhali
Dah nimekuelewa sna the way ulivyofafanua
Safi Sana samari iko powa wachukue mawazo yko nchi nitanyooka
Daa nimesikitika sna
Poleni sana
Jamaniiii, pole sana. Mwenyezi Mungu akupe subra kipindi hiki. 😭💔
Daah
HV NYIE MNAWAUA WENZENU HUWA MNAFIKIRIA NINI?JAMANI HUYO AKAMATWE POLISI MSISEME MNAFANYA UCHUNGUZI WAKATI LINAELEWEKA. NA HY FAMILIA ILIMTUMA HUYO JAMBAZI. TUNAOMBA POLISI NA HAO WANATISHIA WAKAMATWE NA WAO NI WAUAJI KWANN WAMSAIDIE?
Dah mungu akutie nguvu..
Alipaswa auawe hapo hapo
Anae uwa awawe tu km kule tandale
Kweli kamaTandale kunguni
mmemkamata muuaji alafu mnampeleka polisi baada ya kumuua hapohapo
Ndo tulipo fikia watanzania
ila arusha
Sasa chenji na kisu wapi nawapi
Kama mapolisi wanaua ovyo na wananchi hawapewi therapy yeyote je unafikiri hawa wananchi anashindwa Kulipiza kisasi wapatapo mwanya?
Ndyo maanaMauwaji hayaishi
Bora angepotezea change
Nye mikundu hapo polisi wanahusika nini pelekeni chuki zenu huko eti polisi nye ndo mnachonganisha polisi na raia zake
Mauaji yataisha tazania?