Mbona mnachanganya story mara ulizaliwa shinyanga mara ulizaliwa dar duuuhhhhh hiii ni Tz 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 njooo marekani or nipo hapa marekani duuuuhhh story ya kutengeneza 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@@gidesbalunguza7152 ya kwasababu MTU anafunguka ili watu wajifunze inaitaji kumuacha MTU afunguke akitaja bagamoyo napajua mala pale nilikula ugali mala anazoom sauti ina potea alafu ana studio nzuri ya live ambayo akilekebisha TH-cam yake ingekua kati ya moja zinazo fanya poa east Africa Kwa kuwasanua watu akiacha mapepe interview zitakua poa
Black mamba umetish respect bro ume ni inspire san
Shukrsn sana
Hongereni sn ma broo nyote kwa kutupa update km hizii na mungu awabariki sana munatufunza mmb mengi sana kiukweli
Dar hyuu mwamba namwona sana TikTok nilijua mtu wa njombe hom boy banaa big up sana vipaji
Pamoja sana
Kazi ya meli Passport na discharge book huwa zinahifadhiwa na Captain kwenye safe malumu huo ndio utaratibu
Mbona mnachanganya story mara ulizaliwa shinyanga mara ulizaliwa dar duuuhhhhh hiii ni Tz 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 njooo marekani or nipo hapa marekani duuuuhhh story ya kutengeneza 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Brother tu naomba utusaidie hiyo link ya cruise ship
Story ya kutengeneza sana
Nakubar sana kaka one ❤
Bro tunaomba tusaidie link ya hizo fursa za meli, cruisership
Mimi nime pita Gulf nime piga kazi dubai na saud arabia na Iran nil taka anipe conection za uko u.s.a katika meli
Iyo si kama hotel Cv yake yani kama baharia flani hv
oya mzee, mambo vp? hapo gulf kazi za meli vp?
Je umeshafanya maombi ya marekani au bado ?
Aiseee interview ni tamu sana wakuuu😅🔥🔥🔥, changamoto ni mitambo tuuh Leo kidgo..ilaa fresh kinoma.. mwanangu black Singapore 😂😂, Daah ety sutii😂
Daaah nakubar sana
Oi broo nampataje uyo mwana anipe conection ya ubaharia
Jamaa namfahamu sana, siku nyingi simuoni kumbe yuko huku dar?
Black mamba blood brother
Bro sorry naomba m2 meenye jina kamili la veda aniandikie apa kwenye coment m nimeshidwa kulipata
Jiataidi Sana kua unamuacha MTU aongee usiweke ujuaji Sana ila muache aongee ndomana live zako watu awazifatilii mapepe Ni mengi
Duh Sawa lakn hi sio simulizi ni interview mzee
Kwelii aache ujuaje mtu alitaja mahali na yye ansema napajua then anaanza kuulza unpjua sehem fulan,?? Wanaacha mada husika tena😂😂wanamlza bando letu😅
Sawa😂😂
Tatzo kitu anachoelezea kuhusu marekani nina Experian be nacho pia
@@gidesbalunguza7152 ya kwasababu MTU anafunguka ili watu wajifunze inaitaji kumuacha MTU afunguke akitaja bagamoyo napajua mala pale nilikula ugali mala anazoom sauti ina potea alafu ana studio nzuri ya live ambayo akilekebisha TH-cam yake ingekua kati ya moja zinazo fanya poa east Africa Kwa kuwasanua watu akiacha mapepe interview zitakua poa
Maswali mengi saana mpaka unakata stimu ya interview
Link tuombe
Kaka kazi zuli sema sauti inakata kata
Sauti inavyo katakata inapunguza utam wa story