Simba Uongozi upo kimya mnooo shida nini Moodewji amka umeajiri wafanyakazi hewaaa😂😂😂 hakuna wanacho fanya wapo kupokea posho tu hawatimizi majukum yao kwa wachezaji kusumbuliwa sumbuliwa na Yanga kama hawaoni kmyyy huyo siyo Uongozi uple umrzidi kuwa mambumbumbuu
Simba wanaoisemea ni mashabiki tu Viongozi mandazi Mangungu na Try Again na Sulemani matola wapewe Thankyou hawafai hao ni magugu ya chini chini watoke wataharibu wachezaji wapyaaa Simba nguvu moja❤❤❤
Gb uko sawa keep it up
MBONA KUNA KELELE NYINGI HAPO?? HIZO KELELE NI NANI HAO.
Kariakoo hapo Mzee, watu wanapambana.
Sawa baba wanaringia chama lakini Yana mwisho firauni alidai ni mungu na akaondoka itakufa wao
GB mbona provisionya mahojiano hakuna udhibiti wa kelele za nje
Sijui wanaelewa 🎉🎉🤣 ubaya ubwela
Unauza karanga na kahawa mchome shahidi usijikwezwe broo
Simba ni lidude likubwa sana
Simba Uongozi upo kimya mnooo shida nini Moodewji amka umeajiri wafanyakazi hewaaa😂😂😂 hakuna wanacho fanya wapo kupokea posho tu hawatimizi majukum yao kwa wachezaji kusumbuliwa sumbuliwa na Yanga kama hawaoni kmyyy huyo siyo Uongozi uple umrzidi kuwa mambumbumbuu
Simba wanaoisemea ni mashabiki tu Viongozi mandazi Mangungu na Try Again na Sulemani matola wapewe Thankyou hawafai hao ni magugu ya chini chini watoke wataharibu wachezaji wapyaaa Simba nguvu moja❤❤❤
Snk boy
Mgahawa na hotel umo umo
JB hao plpganda yao umedunda mwamba nabdo mwaka huu niubya ubwela
Snk boy