hatua ya pili ukaamua kuomba ugoro sasa!!!!!! kweli Mungu ni mwema kwetu sote hunyeshea mvua wema na waovu!! sehemu ya kutubu! kumkumbuka Mungu na kumlilia kwa hali zote na kujutia dhambi zako! ndo kwanza unapata na nguvu ya kuomba Ugole mwanawane!! hakika Mungu ni mwema kwetu sote
hahaha hujawah kuona mtu anakata roho badala ya kutubia nakutoa shahada maneno ya mwisho yakumridhisha mungu unaomba kilevi hahahaha hiyo kubwa kuliko.Tumuombe Allah atupe mwisho mwema.kk sio ugole ni ugolo.
Mungu ni mwema nyakati zoote za Maisha yetu
Umemuomba Mungu kakuokoa, badala ya kutubu unaomba ugolo!!!
Duu poleni kila kazi inaugumu wake
Poleni sana watu wa Chief Mirambo
tushukur MUNGU n mwema👏,,at ugolo😆
hatua ya pili ukaamua kuomba ugoro sasa!!!!!! kweli Mungu ni mwema kwetu sote hunyeshea mvua wema na waovu!! sehemu ya kutubu! kumkumbuka Mungu na kumlilia kwa hali zote na kujutia dhambi zako! ndo kwanza unapata na nguvu ya kuomba Ugole mwanawane!! hakika Mungu ni mwema kwetu sote
hahaha hujawah kuona mtu anakata roho badala ya kutubia nakutoa shahada maneno ya mwisho yakumridhisha mungu unaomba kilevi hahahaha hiyo kubwa kuliko.Tumuombe Allah atupe mwisho mwema.kk sio ugole ni ugolo.
Miss Muuna Sharifu ha ha ha haaaa chaaa nawe naeeeee
pole sana
Polen sana
ugolooo
pole sana bro
SOFY OMARY mambo sofi
Hawa ndo wakongo mani ama?
Ha ha ha ha