Mi nakumbuka nikiwa class 3/4, nilishikwa nikiiba miwa kwa shamba ya mtu nilipoenda kuchota maji mtoni. Mwenye shamba alituvamia from nowhere na panga mkononi , I knew I was dead. We were reported to my mother. Ile kiboko nikikula za mapera, wacha tu. Tukanyimwa chakula.
Hapo kwa US na story za Marder ni ukweli. There is a preacher mwenye alishikwa akapelekwa ndani juu aliconfess to a crime Ali commit long ago. Hawana mchezo hao!
Rapcha, your friends are friending....lol😂😂😂❤
Rapcha is the best thing that happened to Iko nini faithfuls💯
3:25 Ian: so you're use to "Jerk"(Jack) eeh?
Mwaaf: eeh
😂😂😂
Mwaaf umetupa mbao apo
Rapcha 😂😂😂 madness
Mi nakumbuka nikiwa class 3/4, nilishikwa nikiiba miwa kwa shamba ya mtu nilipoenda kuchota maji mtoni. Mwenye shamba alituvamia from nowhere na panga mkononi , I knew I was dead.
We were reported to my mother. Ile kiboko nikikula za mapera, wacha tu. Tukanyimwa chakula.
you guy rapcha na mwaf..we go way back you guy...funny guys hahaha
ati he fit the crime lol
Aliweka chocolate kwa kinena noma sana😂😂😂
At this rate rapcha aandike ka-novel Jo 😂😂😂😂 wah
Hapo kwa crime ya usa kiwa na no limitations ni ukweli..saa hii mnaona vile Keefe D ako kwa investigation ya death ya 2pac tena
The scientist ukuwa legend..n mtrue bydha
shoplifting🤣🤣
sweet crime😂
Mutura ilipigwa drive by 😂
Hapo kwa US na story za Marder ni ukweli. There is a preacher mwenye alishikwa akapelekwa ndani juu aliconfess to a crime Ali commit long ago. Hawana mchezo hao!
😂😂😂. Let me google that
MUNGAI 😅🤣😂🤣🤣
Rapcha you guy my guy😂😂😂😂😂 ati mguu ilidu wat
Rapcha hutanimaliza you guy. Hahahahha
😂 Noma sana.
Rapcha my man, juu venye uwa unaleta hizi stories ni hilarious 😅.
unfura haraka kama, tom & jerry
Rapcha iko nini
Maybe alikua anaibia dem yake 😂
Haikosi dem wake alimdare akiiba mtura atashushiwa bendera 🤣🤣
😂😂
🤣🤣🤣🤣
Mwaf nisiwahi amka nipate hamyuko..😅
Mazee💯. Big pod this one😂
What is ndeng'a
Gun
Thief 😂😂😂😂