Masha Allah Sheikh superb, you briefing so well regarding this topic, BarakAllah feek Sheikh as well Watamaman ,crews members, CEO,viewers.
Asant sana huu was was mtihan wallah tunateseka
Nikweli shekhe mm ninajini nyoka
Kumbe mpaka majini huamrishwa na allah kwa kuokoa mtu daah
Assalam alaykum Sheikh mi ndugu yangu kapalalaizi mkono na mguu na tukimsomea qur an Anaisi moyo unawaka kwenye mwili wake
Asalam aleykum naomba kujua nini maana ya mass
Sazingone nikilala na mwenzangu huniambia kuwa usiku nageuka kuwa mdudu
Naomba kujua jee kipindi hichi chaja sikugani na gani?
Asalaam alaykum wa rahmatullah wa barakatuh sheikh. Kweli kabisa unaco kuongea
Mtangazaji mbona unaogopa camera mjomba unazidiwa hata na mgeni wako kila mara anaangalia camera pamoja na kuzungumza
Allah akulipe kheri shikh kwa kuwaelewesha watu na kuyafahamu mambo