Mark usikubaliane na Senior kwenda Mombasa. You might even die on way there. Dave if you’re ready to die you just go alone. Usienda Mark, Dave’s just big headed.
Dave understanding capacity is very low , he forces things out just to make himself popular yet professionalism he’s zero out of 💯 %, Mr ark don’t go please I got a feeling that something bad is ahead of you
Mark mark riaga akikuja kusaidya senior ondokea kabisa ukae bali na mungu wako juu nikama tom amekufunga mawazo ukae kwa studio ndio upoteze kazi mungu akulide mr mark nakufunike kwa damu yake amen
Mark, usiende follow your heart.. SD said hana woga. Msikosane juu ya hiyo. Wewe baki na family yako you also have your job to take care of. SD is concentrating with his work wewe pia concentrate with yours.
Mkipata fred live this wagagas alone this is a big organization mmoja akiokoka babu mwingine anatokelezea with a new case,,,,,tunaamini mungu but this is too much
Dave wataka kuwa masking wa mwisho,.these are spiritual things.,na Mungu ajaribiwi na maovu. So pliz don't try this..hizi ni siku za mwisho lakini wokovu uko karibu.
Na dave mwenyewe yeye hayamupatagi inashikaga wenye wanamusaidia tycoon ulifanya jambo la maana kuondoka huko kwa dave mungu alikuokoa utapata. Kazi mahali pengine.
Mark jitoe acha dave na kiherehere yake aende,kwanza huyo Jeremy bona alikataa kupeana pesa za waganga kama aliamua kuokoka ,dave kuwa mtu wa kuskiz maneno na listen to your fans
I come to realize,,Dave,,ameanza kupenda mambo ya spiritual!! Sababu,,uliona mambo alipitia na aliona,,,na akina chambee,, tycoon,,,hangewajia hayo mambo hapo,, na aombe mungu zaidi amwondolee,,hizo mapepo,,na aendelee,,na kazi yake ya loyal test vile alikuwa alifanya kitamboo!! Sasa,,n kama Dave,,Ako na kichwa ngumu,, asikii ata hataki kuzikiza mafans,,chenye wanakwambia!! Ameona hiyo kaI ya mapepo ndo nzuri,, aendelee nayo..okkkk.. following...
True Mark nawa mikono yako Kwa hayo mambo ya uchawi. You saw what you went through. Kama utaitwa kwa.mambo yako Kwa constitution, it's ok BT about spiritually, No No
Repercussions za mchawi zimeanza sasa kiburi ya Fred itakoma! Aliambiwa after 5 minutes na ndiyo hiyo… alikatazwa kupiga mchawi akakataa sasa unaona 😮, asiyesikia la mkuu atavunjika guu.
Sasa Tom amejua mahali atakuwa anawaendea kuwamaliza plz guys jiekeni kwa maombi na hii case ikiisha plz wachana nayo ju ni too much Fred amefanya vibaya sana kuna vitu zingine si za mwili ni damu ni za kiroho
Hii case ya waganga pliz achaneni nacho juu zinaumiza watu wengi,Mr mark please usiende we need you more to help the society please,Shida ya Dave ni uwa asikii akiambiwa kitu sikatai Mungu anakusaidia sana but hujui ata kuomba
Dave try kutengeneza Imani yako juu kwenye umeingia si vita y kimwili n ya kiroho husitegemee pastors kila kitu hona sasa unaingia live hutaki kusoma comments ungejua mapema chenye kinaendelea
Mark...l am with you on this. Your family comes first and you have a young family who need you. Dave, please stop dealing with the spirits, it's evidence it's affecting you and your team. You are doing well and please don't let Mark go. But please stop 🛑 following wachawi for it will come to haunt you. We are armed with prayers but please have a meeting with yourself if you love you and family 👏.
Please Mr Mark achana na kesi ya waganga kabisaaaa u are still too young familia inakuitaji pia watoto wako kumbuka shida uliyopitia ukiwa mdogo na ni ww ni yatima
Mark jitoe kwa hii mambo ya wanganga kama unapenda job yako dave nikigeugeu anaona wagaga anaruka kwa viti champew pia akafu uendee babu mombasa kwani ni mzaidizi wako or what are you after,,
Dave n kama mbuzi anayepigigwa guitar na hawezi cheza riaga atanisaidia infact Kaa huu wakati huyu mtu ako Kwa office amwagigwe ile maji infact ataisha kabisaa
Dave sasa hizi ni ngani nni mliendea kwa huyu mganga wakati walichukua babu mara ya pili mgeachana na yeye kwanza wa solve mambo yao ya uganga sasa ona umefanya fred kapotezwa na huyo mganga ujue lazima mtaitishwa pesa ili awe sawa kwanza vile ameskia ukisema unaeza uza gari ulipie babu pesa ujue kimekuramba kazi ya waganga nikumaliza mtu hana tofauti na shetani
Hawa wameingia kwenye agano na shetani suala la kumlipa mganga hela na kuahidi watalipa hilo ni agano watalipa mpaka wakome dav anadili na mwili waganga wanadili na roho suala la kulipa madeni ni kama kulipia mauaji na kufanya watu vichaa so ni kama wanawapongeza hawa kwa walichokifanya ukishaokoka.deni zako zote zitafutwa na hakuna atakae kufuata cos umeshaingia kwenye ufalme mwingine
Dave anasukumia watu shida kama amujui, sai anaambia Fred aty toa uyu myu nje, ndio yeye apaki sawa na wengine waumie, second kuchen aseme tumchangie, amuoni dave anawatumia nyinyi, mafans mambo inaenda kuaribika hapa na amuoni,
Mark plz umesaidia uwezavyo so plz mark wachana na iyo case na ujipee shunguli angalia watoi wako na bibi na ujue umeadikwa na serikali so chunga usifutwe na tena iyo job ya sd do inalisha sd so ww mark jitoe na ushungulikie watoi wako ukifutwa leo watakula nn watoto wako wachana na hii mabo mr mark
Ni kweli kabisa hela zao za kafara watazitoa hapahapa sasa kama dav anashiriki kutoa pesa za kafara ni kama tu anaungana nao wenzie walijipanga na wanajua wanachofanya na wanajua lengo ni lipi
Ila dave anaropokaga aliambiwa aachane na hii mishoni tangia mda mrefu hakusikia dave ni kimbelembele sana alafu ni mwoga sana 😢😢😢😢 au nasema uongo wadau
😢😢yani iyo dakika fred ameingia na kuanza kubishana na mganga asharogwa tayali,,sikizanga maneno bana but anyway God is above everything saitan ameshidwa!!
Mark ebu omba mungu sana akuondoe kwa hii kesi ya wanganga usikuje kujutia please uko nawatoto wanakuitaji naomba mungu akufunulie
Mark usikubaliane na Senior kwenda Mombasa. You might even die on way there. Dave if you’re ready to die you just go alone. Usienda Mark, Dave’s just big headed.
Dave understanding capacity is very low , he forces things out just to make himself popular yet professionalism he’s zero out of 💯 %, Mr ark don’t go please I got a feeling that something bad is ahead of you
Mark jitoe mapema bure utafutwa job
Mark achana na iyo kesi ya babuu,wanganga
Very true
Sure
Mark mark riaga akikuja kusaidya senior ondokea kabisa ukae bali na mungu wako juu nikama tom amekufunga mawazo ukae kwa studio ndio upoteze kazi mungu akulide mr mark nakufunike kwa damu yake amen
Senior Dave you wanted to go Mombasa to do what, this poeple are playing with your mind.
Fred you are covered by the blood of Jesus Christ 🙏
Mark tafadhali wachana na studio ya senior Dave, fanya kazi yako, Dave hajawai ata kula nyasi, wewe ulikuja tu juzi ukakula nyasi
Dave acha kuforce mark Kwa wanganga,uliona Yale alipitia,,achana na mark
Unajua davi hajai rogwa so hawezi sikia, Mark usiende
Very true
C anasema ako na ujasiri aende
Dave usipeane garí Wala logbook wataifanyia mazingaombwe mwaeza pata Ajali,Hawa hawana huruma wanategemea Damu, Washindwe in Jesus name 🙏🙏🙏
Dave hufanya venye ameamua
@@RUTH-lz6mpkwani hawa watu hawana pastor wa kuwaombea aki
Mark, usiende follow your heart.. SD said hana woga. Msikosane juu ya hiyo. Wewe baki na family yako you also have your job to take care of. SD is concentrating with his work wewe pia concentrate with yours.
Champee akienda mombasa hatarudi vile ni mwoga na sio strong kwa imani atapotelea kwa bahari b careful champee
Astakafirullah dave ila unapenda kucheza na waganga sana wew unakuwaga kichwa ngum unaona sasa mmempoteza fred
Some times devi try to behave maturity I don't see the reason why you were shouting nonsense instead of praying
He doesn't know how to pray for himself nikuongea tu
@@reggiesmyth2778 na kiburi mingiiii yenye haisaidii
The Lord has given us power & authority against every demonic attract,,,,why entertain such???? Senior Dave????
I know😅😅😅😅@@reggiesmyth2778
Kiburi yake humpeleka ivyo hawexi rekebika
MARK WACHANA NA DAVE..... THIS IS NOT A HONEST MAN
Mkipata fred live this wagagas alone this is a big organization mmoja akiokoka babu mwingine anatokelezea with a new case,,,,,tunaamini mungu but this is too much
Dave wataka kuwa masking wa mwisho,.these are spiritual things.,na Mungu ajaribiwi na maovu. So pliz don't try this..hizi ni siku za mwisho lakini wokovu uko karibu.
Dave anataka content iendelze
Ukweli
Na dave mwenyewe yeye hayamupatagi inashikaga wenye wanamusaidia tycoon ulifanya jambo la maana kuondoka huko kwa dave mungu alikuokoa utapata. Kazi mahali pengine.
Dev hapendi kukaa na kitabu Cha mungu kila siku anafungia tu kwa droo
Thankyou mark kwa kuelewa mambo ya kiroho,,,,panadol apana niuchawi na ikakua ivo,,,,God protect fred
Na ndivyo wanaendanga Mombasa kama upepo
Imagine
Thank you Mark kwa kunawa mikono hii mambo ya waganga
Patieni mganga ile 20k atengeneze Jeremy aongee juu ako na pesa kwa simu
Wacha kulinganisha Mark na Jeremy Dave, hawa ni watu wawili tofauti, Jeremy is still in spiritual world
Tafuta Aggie B awaconnect na mtu atawasaidia kumaliza hizo shida
Huyu sijui ni kichwa ngumu ama ni kuact as Mr know all
Dave hataki content yake iishe😂😂😂😂
@sarahngige1589 very true SD anajifanya anajua sana badala askie vile sisi mafans tunamwambia
@@lincy4261Yy ni doo tu anatafuta na asipochunga ni yy next juu ata comment asomii
Mark jitoe acha dave na kiherehere yake aende,kwanza huyo Jeremy bona alikataa kupeana pesa za waganga kama aliamua kuokoka ,dave kuwa mtu wa kuskiz maneno na listen to your fans
Maraika wazingile fred mahari alipo
Mark ondokea hiyo story achana ii nyangau senior dave ikae na mashida zake mark pliz linda familia yko ungaly 2 young kufuatilia mambw ya uchawi
Dave, wacha kichwa ngumu that is, spiritual war na you are not strong spiritually enough so please wacha kupea mark stress
Ata kuomba ajui kuomba ikifika maombi anaambia champee omba heri Ara champee kiasi
Aingiza your properties into evil deals itakwama kwa njia sababu atakuwa ame i own
Dave asikiangi Jana tulikataa mambo ya Mombasa akainsist
Tumeokoka but hiii yenu yaogofia,mark run forr your life
I come to realize,,Dave,,ameanza kupenda mambo ya spiritual!! Sababu,,uliona mambo alipitia na aliona,,,na akina chambee,, tycoon,,,hangewajia hayo mambo hapo,, na aombe mungu zaidi amwondolee,,hizo mapepo,,na aendelee,,na kazi yake ya loyal test vile alikuwa alifanya kitamboo!! Sasa,,n kama Dave,,Ako na kichwa ngumu,, asikii ata hataki kuzikiza mafans,,chenye wanakwambia!! Ameona hiyo kaI ya mapepo ndo nzuri,, aendelee nayo..okkkk.. following...
Mark consider ua family Dave ambiance God akupee mwingine
Mark,you are knowledgeable enough to know what type of a man dave is.concentrate on your official duties before you are laid off
True Mark nawa mikono yako Kwa hayo mambo ya uchawi. You saw what you went through. Kama utaitwa kwa.mambo yako Kwa constitution, it's ok BT about spiritually, No No
Yes akiskia wakiongea anapata nguvu
Devi Mombasa uendi tena😂😂 sasa umeona mbona Mark arikua anakuambia usiende mukawa munapishana😢
Musiende maahali kama sio kanisani.Mungu atawasaidia tu.
Nashangaa, kwani hawa waganga Wana nguvu gani ya kushinda Mungu, watumishi wa Mungu wa kenya wahaona haya kweli?
Ishindwe katika jina ya yesuu mm siwezi kutoa doo ziende kwa wanganga nitajui ninaenda kufanya nn
The only solution ni maombi instead of all this argument mungekua mnaitisha damu ya yesu
Tom is the main course of all this work ameenda na Jeremy juu awalikula hiyo pesa alipatiwa
Mark keep the spirit you are so strong with the jini
Mark go with your heart, you have young family who depends on you.
May God protect you 🙏 in jesus name the devil is alair ashindwa kabisa.
Senior Dave plz before you start the work pray plz hata mtu akianza hivo ombeni na mnafunua bibilia
Repercussions za mchawi zimeanza sasa kiburi ya Fred itakoma! Aliambiwa after 5 minutes na ndiyo hiyo… alikatazwa kupiga mchawi akakataa sasa unaona 😮, asiyesikia la mkuu atavunjika guu.
😂😂😂😂😂 Mimi nacheka tu juu ametambua dunia inazunguka proper
Ngai Fred sasa amembebwa mungu shuka
Sasa Tom amejua mahali atakuwa anawaendea kuwamaliza plz guys jiekeni kwa maombi na hii case ikiisha plz wachana nayo ju ni too much Fred amefanya vibaya sana kuna vitu zingine si za mwili ni damu ni za kiroho
Mark nakuomba ujiondoe na hui case kabisa Mambo ya waganga Achana nayo aki
Hii case ya waganga pliz achaneni nacho juu zinaumiza watu wengi,Mr mark please usiende we need you more to help the society please,Shida ya Dave ni uwa asikii akiambiwa kitu sikatai Mungu anakusaidia sana but hujui ata kuomba
Dave unakuwa na kiherehere, give Mark time to explain everything.
Uyo mmtandike vizuri sana adi aone blue
May almighty God protect his people in Jesus name amen
Dave wacha kuforce mark..na by the way kwani unajua mahali ako
Mark ondokea, to secure your work. And mind you you're a government employee lakini Dave he is his own boss
Wewe Dave mbona unapenda kupanda kiti kama mtoto.nimekuona Sana
Dave try kutengeneza Imani yako juu kwenye umeingia si vita y kimwili n ya kiroho husitegemee pastors kila kitu hona sasa unaingia live hutaki kusoma comments ungejua mapema chenye kinaendelea
Wanafaa wafunge wakiomba
Wewe devu ausikianģi unatubo tutawacha kukufatilia sasa one Fred amechykuliwa
This is spiritual sd comeon wacha kujikaza
Aki Jeremy aliamua kuwacha uganga Mungu amuokoe aki,but huyu babu anamtesa tu😢😢
Haki senior dave hapo manahitaji maombi mazito sana tena kila siku
Mark...l am with you on this.
Your family comes first and you have a young family who need you.
Dave, please stop dealing with the spirits, it's evidence it's affecting you and your team.
You are doing well and please don't let Mark go. But please stop 🛑 following wachawi for it will come to haunt you.
We are armed with prayers but please have a meeting with yourself if you love you and family 👏.
He is looking for content
Please Mr Mark achana na kesi ya waganga kabisaaaa u are still too young familia inakuitaji pia watoto wako kumbuka shida uliyopitia ukiwa mdogo na ni ww ni yatima
You people you need to have strong faith in God 🙏. You are covered by the blood of Jesus. Nothing to fear
Dave plz achana na hii kesi
Kwani mark and Dave Imani imepotea?
😂😂😂 mark wacha kunichekesha u are very serious today
Pastor arudishe kama haeezi okoa Makers
Awudhubillah
Duniya inamengi nyiye ucawi upo
Mungu amnusuru
Hizi ni Dave.ambieni Apostle na pastor Elijah awasaidie kuwatoa kwa mitengo ya wanganga.muendelee na maisha yenu ya kawaida. Hii nayo hapana.
Fred vile ameenda ataitisha million moja
Walizoea kuchangiwa
Dave sometimes hear some peoples advice bure utapoteza mafunys wako kwa kichwa ngumu,omba
mark don't go pls pls
Dave na mark wacheni kushtuka mungu amewatuma muokoe wachawi wote msigv up
Dave achaneni na mababu mtakua masikini wa mungu
Mark jitoe kwa hii mambo ya wanganga kama unapenda job yako dave nikigeugeu anaona wagaga anaruka kwa viti champew pia akafu uendee babu mombasa kwani ni mzaidizi wako or what are you after,,
Mark and Dave please wachaneni na kesi za waganga wako wengi hamtaweza.
Fredi.. Huyo mgaga achomwee
Senior Dave it's riaga akuzaidie apo kwa waganga plz
Dave n kama mbuzi anayepigigwa guitar na hawezi cheza riaga atanisaidia infact Kaa huu wakati huyu mtu ako Kwa office amwagigwe ile maji infact ataisha kabisaa
Wacha kikae tu na hio kimdomo tunna makelele akuna kitu ingine anajua@@josephinemokaya2618
@@josephinemokaya2618dave hataki content iishe but mwsho kitamramba
Dave sasa hizi ni ngani nni mliendea kwa huyu mganga wakati walichukua babu mara ya pili mgeachana na yeye kwanza wa solve mambo yao ya uganga sasa ona umefanya fred kapotezwa na huyo mganga ujue lazima mtaitishwa pesa ili awe sawa kwanza vile ameskia ukisema unaeza uza gari ulipie babu pesa ujue kimekuramba kazi ya waganga nikumaliza mtu hana tofauti na shetani
Hawa wameingia kwenye agano na shetani suala la kumlipa mganga hela na kuahidi watalipa hilo ni agano watalipa mpaka wakome dav anadili na mwili waganga wanadili na roho suala la kulipa madeni ni kama kulipia mauaji na kufanya watu vichaa so ni kama wanawapongeza hawa kwa walichokifanya ukishaokoka.deni zako zote zitafutwa na hakuna atakae kufuata cos umeshaingia kwenye ufalme mwingine
Dave Dave please hear Mr mark leave him alone,ww enda mombasa peke yako
It seems that hata jeremy ameenda tena, sasa na fred pia...ooh God
Dave anasukumia watu shida kama amujui, sai anaambia Fred aty toa uyu myu nje, ndio yeye apaki sawa na wengine waumie, second kuchen aseme tumchangie, amuoni dave anawatumia nyinyi, mafans mambo inaenda kuaribika hapa na amuoni,
Amesurrender
Dave kama unataka kuokoa makers come we go together achana na mark
Mark plz umesaidia uwezavyo so plz mark wachana na iyo case na ujipee shunguli angalia watoi wako na bibi na ujue umeadikwa na serikali so chunga usifutwe na tena iyo job ya sd do inalisha sd so ww mark jitoe na ushungulikie watoi wako ukifutwa leo watakula nn watoto wako wachana na hii mabo mr mark
Dave tulikwambia vile ulipata Mark uache hii story haukusikia, wagaga wamepata mahali pakutoa pesa wanajua tu wakisema pesa utachangisha uwapee pesa
Ni kweli kabisa hela zao za kafara watazitoa hapahapa sasa kama dav anashiriki kutoa pesa za kafara ni kama tu anaungana nao wenzie walijipanga na wanajua wanachofanya na wanajua lengo ni lipi
Tom mission is accomplished
Ila dave anaropokaga aliambiwa aachane na hii mishoni tangia mda mrefu hakusikia dave ni kimbelembele sana alafu ni mwoga sana 😢😢😢😢 au nasema uongo wadau
Mombasa msijaribu kueda. Pliz.pliz Dave na mark Mombasa is a big NOOOOOO don't try. just fight with prayers only
Jifuzeni kuomba
Na kutakaza damu ya yesu na moto wa roho mtakatifu.
Mark please you are strong in Gods but rudi kwa office
Fredy damu ya yesu ikulinde mahali upo
😢😢yani iyo dakika fred ameingia na kuanza kubishana na mganga asharogwa tayali,,sikizanga maneno bana but anyway God is above everything saitan ameshidwa!!
Mark knows how it goes:alipanda mtini akiwa uchi
Huy.muqige.risasi.akufe.😢😢haraka😢😢.mumenimariza.haraka😢😢fred.mariza.haraka😢😢😢hiyi.wujing
Mumuwuweharaka😢😢😢Fred.muwuweharaka😢😢😢akufe
Dave utaenda Mombasa na huo uoga wako? Na unasema lazima uende