hahaha kiba na mondi wana mashabiki wengi sana ujue na ndo mashabiki haohao wanawasapoti wasanii wadogo au chini, so wangemfokea endapo angeegemea upande mmoja wapo! barnaba upo vzr kaka
Kwa wale wapenzi wetu wanaopenda ku angalia the Story Book hii ndio account mpya ya the story book basi fanya ku subscribe video tunapost kila ijumaa asanteni
Kwa kutulidhisha ungechagua tu ALIKIBA BROTHER😂😂😂 Mbona kwa billnass vs janjaro wote ni wanao ila umechagua janjaro just kwa kuturidhisha tu? au ndo tuseme pale kwa Kiba Vs Mondi ni PAGUMU SANA KAMA ULIVYO TANGULIA KUSEMA?😆😆🤔🤔
Ila barnaba nimekuelewa vizuri sana unaakili za kujiongezea. Nakukubal sana ingawa mm ni team mond.
Nmekuwa wa kwanza nipeni like zangu kabla sijawafokea😂😂nimependa apo kwa kiba na mond umetia mgomo kuchagua atari
Hata Mim amenifurahisha
Mi pia kanikosha
😂😂😂😂😂ameshinda kujibu
@@opk3943 😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
Umefanya vizuri sana kutochagua kati ya kiba na mond wangepata pakusemea
#barnaba boy kagoma mzee baba unahekima kwakweli duh mbaka umeeleweka upo vizuri sanaaa
Nimepanda sana barnaba alivyo goma kwa Simba na kiba
Kimsingi yeye sio rafiki wa alikiba wa diamond, changamoto ilikuwa ni huko insta kwa mashabiki wa msanii aliyem cancel, wangem CANCEL pia
Unaweza jikuta kwenye wakati mgumu bora kawa kimya 😂😂
Hahahaaa
Katumiaaaa akili saanaa mi ni team mond angechagua kiba nilikuwa na muunfollow na yeye
🤣🤣🤣🤣🤣
@@chawalive hata mimi angepita na mondi afanaleki ningemu unfollow huko Instagram harakatu bila kuwaza bora kaweka ndita , #kiba4life
Uko sawa ata mm ningegoma ao jamaa wachonganish sana
🤣🤣🤣Mond vs Kiba hii ni hatar sana
Mzee kaona mashabiki wa Diomond na Alikiba wanaweza kumuhaki akichangu mtu😂😂
🤣🤣🤣ukweli ataoga matusi wananzengo wanasubiri
Akili mingi Sana Barnabas Lukas
Barnaba akili nyingi broo,,,, ni jokes but inasababu nyuma yake if you choose one,,,, huu uhasimu tumwachie Mungu tu
This guy is real man
🤣🤣🤣Apo pa moto nakukubali Sana bboy maana ungeshambuliwa Leo wewe so kwa Wana dsm hawaaa
Eeeeeenh!!! Sijibu wote wanangu mtanisamehe nimesema sijibu.Hahahahahh
Bora hajajibu nimependa mm aliacha kam lulivyo safiiii sana nimependa mno
Nimecheka Kam mjnga
😁😁😁😁
Ukitaka kujuwa barnaba kamchaguwa nani kimoyo moyo, hebu angalia vizuri kwenye macho yake ni pic ipi anaivizia sana
Anampenda kiba 😄😄
@@nasibupascal1889 kweli
Hhhhhh
Kiba
Hii channel ni ya kichonganish wallah😌😌
Umefanya vizuri sanaaa
Nampenda kwa kila k2
Hapo kwa mond na Kiba pamoto mzee! 😂
Bora ungesema no comments 🤣
Barnaba ungejbu tu hilo la kiba na mondi tungekuweka kwenye mabano bora ulivyolikwepa,🤣🤣🤣
hapo kaogopa mafanikio chagua mmoja acha mwengine upate tabu
hik kipindi kizur lkn kwa mtu asie elew anawez kufikiria vibay mchezo wa uchonganishi huo
Barnaba daah
Wee mnafiki tu..yaan wee msanii wa clouds ushindwe kuchagua kat ya kiba na mondi..mbn kwngne umechagua ..
Jamaaa anamaakili sana
Ukosee kidogo collabo pia itakosekana 😂😂😂
Anampenda mondiii ila akutakaaa tuu
Maamzi mazuri
Kwa jux umetisha
Apo zimen screen #Barnaba 😂😂😂😂
Mbn me najua barnaba ni mtu wa morogoro
ni wa moro ila asili yake chuga uyo
Akili mingi Sana barnabas
Kiba atulie twende na mond
Unaakili sana broo
Sijibu imeisha hiyo
Pic zenyewe zinamtisha 😂😂😂😂
Hataki uchonganishi😂😂😂😂😂
hahaha kiba na mondi wana mashabiki wengi sana ujue na ndo mashabiki haohao wanawasapoti wasanii wadogo au chini, so wangemfokea endapo angeegemea upande mmoja wapo! barnaba upo vzr kaka
Yaniiii nmecheka sana na kweli picha zao zinatetemesha kwakweliii bora kukaa kimya tu
Wenye akili tushajua umempa nani kulingana na sifa tu umewasifu tofauti..umeogopa tu kumtaja.mbwa😎😎😎😎
Noma sana
Ok
Ditto na amin wote brother hahahaha
Billnass
Nimeipenda😘😘😘😘😘
Kali
4:07 Diamond vs Kiba
"Hapa pazito"
Pazito haswaa 😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣hii sijibu yan sijibu😂😂zmeni screen🤣🤣💯💯
EMA the boy yuko wapi?
Good
Hahah kagoma😃
Uchebe achia hapo😂😂😂😂
Huu mgomo Kwa Mond na Kiba uko Sahihi Barnaba
Hahaha tumekusamehe
Mbona unajieleza sana
Kiba
Ckujua barnaba n was kaskazi
Me nipo kwa Mond 😂😂😂😂
Iki kipindi kizur lakin kina chonganisha baadhi ya wa2
Hahaha Fala unachecheka tu
Jamaa Anaakili sana kafanya kitu kizuri kuto kujibu swali ilo
Kwel bora kagom mobasa
Marioo
Safi balnaba upo makini bola usijibu
Hahaha barnaba umetisha
Mkn Sana barnaba
Bola ulivyo goma chamoto ungekipata
kanifulaisha jamani
Nandy
Dulvani
Mond atulie kwanza
Maneno mengu chagua acha uoga
Kw mond na ally ndio patam zaid achague
Iyo ya kiba na diamond 🤣🤣🤣
Yaan barnaba amenifanya namm nichecheke tu km yy
🤣🤣🤣🤣kaka mkubwa barnaba nimecheka sana walai cjibu saf sana mkubwa
Hongera saana barnaba umefanya vizuri kwa Diamond na Ali hukutaka kumchagua mtu
Hahaha mi sijibu, hvyo vchwa viwili vyaheshimika diamond na alikiba ni 🔥🔥
Nakukubar sana
Huwa na puuzia hichi kipindi kumbe kitamu du😂naomba msinifokee
Yan na mimi ndo first time nakiangalia
Nakipenda jamani
Ustutetemesheeee
@@partnersah8802 ⁹⁹⁹⁹
Alikiba hana mbwembwe lakini level yake haishuki...angekua nazo Mond angekosa usingizi
Kwa lipi
Mbn mnataka tuwafokee.........mumpe nafac mtu (Simba baba Laoooo)
Nikweli
Umeongea....point
Kaulizwa barnaba we nan unajibu
Nimecheka sana alivogoma kuchagua Simba Na King
Leo ndiyo nimekuona barnaba
Una akili nyingi sana sana upo vzl
Kwenye D vs A ulikuw makin sana
Diamond vs alikiba sijibu✋🙈🙈🙈🏃🏃
Kati ya kiba na mond mi naenda kwa kìbawise mondi atulie
Mm mondi
Mondi
Kiba
Umewakomesha kak nakupendaga htr 😂😂
Mwasit imesha hiyo
Jaman japo nimechelewa kdgo Barnaba katisha, Naombeni likes zenuu 🙏
Hii kitu itajenga chuki na watu, sio nzuri kabisa. Niuchonganishi
Kweli kabisa
Barnaba nimekupenda bure kwakugoma dai na ally wasikuchonganishe babaaa
Kwa mond na kiba 😁😁pomoto harmonz unakazi kaka😂😂
Sio kidogo
Harmonize hawezi kuuzima mziki wa mondi na kiba hataweza
Umeonaeeenh!!hhhh wacha nikupe like👍
Kwa mond na kiba daaaah sijawah ona skip ila barnaba kakaza
No comments
Kwa wale wapenzi wetu wanaopenda ku angalia the Story Book hii ndio account mpya ya the story book basi fanya ku subscribe video tunapost kila ijumaa asanteni
WEKENE SOUND TRANK KWA CHINI ...KIPINDI KINAPOAAA----BUT HATUA NZURII
Hahahah mbona kwa mond na kiba umekataa kujibu
😅😅😅😅😅sijibu msinitetemesheee ase,, kama laizer anatoa jiwe mgodini ase
Barnaba ungekomaaaaaa🤣🤣🔥
Barnaba ungechangua kati ya mond na kiba ungeacha breaking news ‘’BARNABA KAMPIGA CHINI KIBA MBELE YA MONDI’’ hahah
Hii inaonesha ni jinsi Barnaba n mtu wa watu coz maswal meng kwake yalikuwa na uzto hakuwa na wepec wa kuchagua haraka.Saluut kwako we love you bro
❤️
Sema katumia akili xn swal la simba na kiba libaweza kukugawa na mashabiki
Kwa kutulidhisha ungechagua tu ALIKIBA BROTHER😂😂😂 Mbona kwa billnass vs janjaro wote ni wanao ila umechagua janjaro just kwa kuturidhisha tu? au ndo tuseme pale kwa Kiba Vs Mondi ni PAGUMU SANA KAMA ULIVYO TANGULIA KUSEMA?😆😆🤔🤔
Sana kaka barnab upo vzuri kabsa apo kwa Alikiba na Diamond🙌🙌💯💯👊⚡⚡⚡
🤣🤣🤣🤣🤣🤣hapo kwa mondi na kiba
Umejibu kwa akili ,love you Barnaba 😍
ÂeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeéWhy