MCH.DANIEL MGOGO - UTAHISI UMEKOSA KUMBE UMEKOSWA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ก.ย. 2024
- #Uhaimedia
CONTACT UHAI MEDIA +255 752 348 789
MAFUNDISHO YA NENO LA MUNGU
• MCH:DANIEL MGOGO-ANZA ...
HABARI
• RPC TABORA:HUTAUONA MW...
FIKIRI TOFAUTI
• MWL:DEUS KANUNU-BIASHARA
MAKALA FIKRA TUNDUIZI
• DENIS MPAGAZE-UKISUBIR...
SHUHUDA
• EXCLUSIVE NA MKE WA MA...
FAHAMU ZAIDI YA JANA
• FAHAMU ZAIDI YA JANA: ...
SIMULIZI ZA VITABU
• MWANAMKE ALIYEPATA MAT...
BIBLIA YANGU
• BIBLIA YANGU-HAPO MWANZO
NYIMBO ZA INJILI
• PAULCLEMENT -MUNGU AWE...
Tupe baba! Mwenye masikio!! Nasikie!
Asante dady mungu akuongezee vipawa kabisa miye ni Prince toka Congo natamani kukuona kabisa
Mungu anitie nguvu niwe na unyenye kevu kwamungu na wenzangu
Thanks dady
Da pastor ana history atar
Mzee wa kujilipua sema baba
Kabisaaaaa nisingefika hapa leo...juhudi za wengine zimeniwezesha...👏👏👏👏👏👏👏🙏🙏🙏
Amen 🙏
Amina
Uwii mambo ya hekima yapatikana hapa dadangu ako wapi asikie haya
Seriously napenda sana mawe unayoturushia mtumishi wa Mungu Mgogo . Yatufanya tubadilike kitabia.
Nikweli binadam tunategemeana.
God keep such powerful men you have annointed to deliver your word to us. protect them keep them in Jesus's name.
Amen
Hongera sana baba muchungaji
Nabarikiwa sana Nahaya mafundisho yako.
Mimi mwenyewe namuelewa sana
@@johnmatole1911 n
Amina
Ahaaaaaaaaa!! Nikweli mchungaji
Amen amen mungu anipatite moyo waku ji nyenyekeza kweli 🙏🙏🙏🙏
Barikiwa pastor wangu
Mungu akutunze mtumishi,wanadamu hawana shukrani
Amina kweli tumejawa na lawama wana TZ Mungu atusamehe tuwe na unyenyekevu
Amen pastor Bwana akutie nguvu
Mtumishi Mungu akubariki sana,nimejifunza kitu
Amen
Kila siku kila saa MUNGU anamakusudi ya kunisikilizisha mahubiri yako.Pastor MUNGU akutunze mno mtumishi
Mungu akulindeee
Amina Mchungaji hakika MUNGU akulinde na kila shar mtumishi wote
AMEN
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏💟💟💟💟💟💟💟💟💟
hiyo ya polisi imenigusa sana,,,,, mungu nisamehe
Kweli,nimefika hapa kupitia wengine tena wengi. Sina hata cha kuwalipa Mimi. Mwenyezi Mungu endelea kunikumbusha wajibu wangu maana wakati mwingine najisahau
Ubarikiwe unayekumbuka hayo yote
Mungu wangu awatie nguvu wauguzi kwa yote wapitiayo
Amen abusa
Phone ya mujungachi Mimi kutoka kenya
Leo Mchungaji Umenilima kweli sasa itabidi nirekebishe.
Barikiwa
Emen,,,
Uku weli poster,,,
Haya mawe leo naona ni yangu....
hiyo ya polisi imenigusa sana,,,,,,, nisamehe mungu
Ukweli kabisa
Umekoswa sio umekosa hapo pastor
Ameeen
Hahaah apo apo mtumishi wamungu, umenitia nguvu kwahi semina,barikiwa sana
Exactly
hakika mtumishi sema tupone
Kamati kweli huwa tunafanyakazi nzito,nakumbuka marekani mwaka mmoja mpaka tulichanga dola 300 kila mtu kufanikisha Harusi
.. .
Amen