Aminaaa kwa wimbo, Nataka unieleweshe vizuri ,kuusu kunena kwalugha ,mimi kwenye kanisa nililo kuwa nasali ,tuliaminishwa ikiwa mtu ananena kwalugha ,kila mtu atakae kuwa pale atamsikia , Mfano: mmbembe akiwa pale atamsikia ,mnyarwanda atamsikia, mzungu atamsikia, mtanzania atamsikia, yaani kila mtu atamsikia kwa lugha yake kufuatana na Kabila yake, MATENDO 2:6-11, nilipo toka kwenye hilo kanisa, Nikaja kukunduwa mtu akinena kwalungha watakao msikia ni wale ambao wanae roho mtakatifu, Naomba MTUMISHI nieleweshe kuusu sura ya MATENDO 2:6-11 Asante.
“Hata kama nitasema kwa lugha za wanadamu na za malaika, kama sina upendo, nimekuwa kengele inayolialia au toazi livumalo.” 1 Wakorintho 13:1 NEN
Mtu atakapo kuwa ana nena kwa lugha za mbinguni na kama ni unabii na kuna aliyekuwa na karama ya kutafsiri lugha hapo, Roho wa Bwana atakuja juu yake, naye anaanza kutafsiri kwa lugha ya kibinadamu, kadiri jinsi Bwana anavyo muwezesha
“Roho huyohuyo humpa mmoja imani, na humpa mwingine kipaji cha kuponya; humpa mmoja kipaji cha kufanya miujiza, mwingine kipaji cha kusema ujumbe wa Mungu, mwingine kipaji cha kubainisha vipaji vitokavyo kwa Roho na visivyo vya Roho; humpa mmoja kipaji cha kusema lugha ngeni, na mwingine kipaji cha kuzifafanua.” 1 Wakorintho 12:9-10 SCLDC10
Hakika sijuwi kwanini umesema maneno ya upumbavu kama hayo. Sio vibaya kuwa mshamba lakini ni vibaya kuwa mjinga. “Siku iliyofuata Mose aliingia kwenye Hema la Ushuhuda akaona ile fimbo ya Aroni ambayo iliwakilisha jamaa ya Lawi haikuwa tu imechipuka, bali pia ilikuwa imetoa machipukizi, kuchanua maua na kuzaa malozi.” Hesabu 17:8 NEN Mbona Aroni amebeba mauwa.
Ukiona Mtu anafanya kitu ambacho aelewi ni bora kuhuliza kwanza kabla ya kupayuka maneno ya aibu. Hapo umehukumu bila maandiko. Kibaya ni kama umetaka kuhaibisha mtumishi wa Mungu hadharani kila Mtu aone. BWANA akurehemu. Hiyo ni alama ya baraka na Roho. Na ni jambo lilitoka kwa Mungu sio kwa wanadamu.
Amen sana
More blessings to you Servants of the Most High GOD 🙏 ❤
Amen 🙏
blessed 🙏🙏🙏
Amen Great song. The Beat is even better. God bless May he continue enabling you to make beats like these and songs. Amen
Ameeeen kubwa mtu wa Mungu ubarikiwe sana ujumbe umefika hakika Mungu ni roho
Amen I'm blessed by this song be blessed man of God
Aminaaaaaa babangu utakapokuja tutacheza sana sijui tu hatuna haja ya magitaa jamaniiiiiiiiii
Ameen ameen
Mariam musa Amen mungu nmwema sana
Amen, glory to the Lord Almighty
🔥🙏
Hallelujah Amen
Niko nachezaaaa
Amen Amen 🙏
Kaka nakuomba unisahidie kuhitengenezeya beat ya ivi
Send your email
AMEN 🙏 🙏
Amen 🙏🏾
Aminaaaaaaaa
Naomba audio ya hii nyimbo nimebarikiwe
Aminaaa kwa wimbo, Nataka unieleweshe vizuri ,kuusu kunena kwalugha ,mimi kwenye kanisa nililo kuwa nasali ,tuliaminishwa ikiwa mtu ananena kwalugha ,kila mtu atakae kuwa pale atamsikia , Mfano: mmbembe akiwa pale atamsikia ,mnyarwanda atamsikia, mzungu atamsikia, mtanzania atamsikia, yaani kila mtu atamsikia kwa lugha yake kufuatana na Kabila yake, MATENDO 2:6-11, nilipo toka kwenye hilo kanisa, Nikaja kukunduwa mtu akinena kwalungha watakao msikia ni wale ambao wanae roho mtakatifu, Naomba MTUMISHI nieleweshe kuusu sura ya MATENDO 2:6-11 Asante.
“Hata kama nitasema kwa lugha za wanadamu na za malaika, kama sina upendo, nimekuwa kengele inayolialia au toazi livumalo.”
1 Wakorintho 13:1 NEN
Kuna lugha za aina mbili; za wanadamu na za mbinguni
Mtu atakapo kuwa ana nena kwa lugha za mbinguni na kama ni unabii na kuna aliyekuwa na karama ya kutafsiri lugha hapo, Roho wa Bwana atakuja juu yake, naye anaanza kutafsiri kwa lugha ya kibinadamu, kadiri jinsi Bwana anavyo muwezesha
“Roho huyohuyo humpa mmoja imani, na humpa mwingine kipaji cha kuponya; humpa mmoja kipaji cha kufanya miujiza, mwingine kipaji cha kusema ujumbe wa Mungu, mwingine kipaji cha kubainisha vipaji vitokavyo kwa Roho na visivyo vya Roho; humpa mmoja kipaji cha kusema lugha ngeni, na mwingine kipaji cha kuzifafanua.”
1 Wakorintho 12:9-10 SCLDC10
Hallelujah Hallelujah Hallelujah
Ameeeeen
Mwanaume amebeba maua. Inasikitisha hiyo ndio inaitwa America
Hakika sijuwi kwanini umesema maneno ya upumbavu kama hayo. Sio vibaya kuwa mshamba lakini ni vibaya kuwa mjinga.
“Siku iliyofuata Mose aliingia kwenye Hema la Ushuhuda akaona ile fimbo ya Aroni ambayo iliwakilisha jamaa ya Lawi haikuwa tu imechipuka, bali pia ilikuwa imetoa machipukizi, kuchanua maua na kuzaa malozi.”
Hesabu 17:8 NEN
Mbona Aroni amebeba mauwa.
Ukiona Mtu anafanya kitu ambacho aelewi ni bora kuhuliza kwanza kabla ya kupayuka maneno ya aibu. Hapo umehukumu bila maandiko. Kibaya ni kama umetaka kuhaibisha mtumishi wa Mungu hadharani kila Mtu aone. BWANA akurehemu. Hiyo ni alama ya baraka na Roho. Na ni jambo lilitoka kwa Mungu sio kwa wanadamu.
@@UkweliMinistriesMimi naona roho mtakatifu kwako mtume Mali ya bwana, Barikiwa sana🙏
Amen
Amen Amen
Amen!
Amen.
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen 🙏
Amen
Amen