Tatizo hili limekuja katikati ya mechi kubwa. Si rahisi kwa kinda kumuingiza kwenye big match, kwa sababu shinikizo ni kubwa. Kinda wanatakiwa kufanyiwa slow integration. Naamini baada ya mechi ya Man City, yaani mechi ya Bolton tunawaona akina Nwaneri
Timu Iko vizuri pamoja na kwamba wachezaji wapya hawajatumika sawasawa.
Ni kweli hii inabmaana wachezaji wote watakapokuwa wako tayari timu itaimarika zaidi.
Shukrani bro
Pamoja sana
Ndugu yetu unakaa Sana, bira kutupa tarifa yoyot. Tunagutegemea Sana tajiri, we ndio unatupa habari za arsenal za uhakika.
Sawa bro tutajitahidi kurudi kwenye mstari. Ni dharura tu.
Safi sana kaka , nimependa uchambuzi !! Hopefully utakuwa una upload mara kwa Mara tuzid kuwa pamoja ! 👍
Pamoja sana kaka 👍🏾👍🏾👍🏾
Uko sawa kabisa
Pamoja kaka
Usikae Sana bos
Sawa bro tutajitahidi kurudi kwenye mstari. Ni dharura tu.
Tutakua sawa
👍🏾👍🏾👍🏾
Kweli Unakaa sana
👍🏾👍🏾
Fikiria hilo pia
👍🏾👍🏾👍🏾
Broo yani hadi tunaugua tuna kumiss sana kaka
Sawa bro tutajitahidi kurudi kwenye mstari. Ni dharura tu.
Kwann coch arteta hawap nafas wale makinda wet kucheza kulik akin matinel ambao hawap kweny form
Tatizo hili limekuja katikati ya mechi kubwa. Si rahisi kwa kinda kumuingiza kwenye big match, kwa sababu shinikizo ni kubwa. Kinda wanatakiwa kufanyiwa slow integration. Naamini baada ya mechi ya Man City, yaani mechi ya Bolton tunawaona akina Nwaneri
Salama jama na marafiki kwaninl Co cha wa arsenal hataki kununuwa stricks kwa nini arsenal club inahitaji wasirika watatu 3 ama wawili basi
Ni fedha. Kwa mfano Arsenal wangemnunua Victor Gyokores kwa poundi milioni 60 tu basi msimu huu wangekatwa pointi.
@@GanazMediapoint za fainacial ama?