PART 2: MISUKOSUKO MTANZANIA ALIEZAMIA UJERUMANI "TULIAMBIWA TUWE WASOMALI"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ส.ค. 2024

ความคิดเห็น • 171

  • @abdulrahmanhassan3825
    @abdulrahmanhassan3825 5 ปีที่แล้ว +9

    Hili ni somo zuri sanaa mwenye akili atajiongeze kabla mtu ajataja nchi alio tokea Lazima ajifunze vitu vichache juu ya nchii hiyo

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 5 ปีที่แล้ว +5

    Hii inaitwa usikate tamaa, nice story, hata mimi ipo cku nitaenda ulayani kutafuta., inshallah.

    • @utaani1
      @utaani1 5 ปีที่แล้ว +1

      Ulaya hamna maisha wewe kaa ulipo tuliza ball

    • @blooperscorrectorelulu1566
      @blooperscorrectorelulu1566 5 ปีที่แล้ว +1

      Whatsapp number nitafute

    • @lizzybahati9833
      @lizzybahati9833 3 ปีที่แล้ว

      Mm nataka kujua Kaz gani hasa kwa wanawake wakifika huko

    • @staydubai1915
      @staydubai1915 3 ปีที่แล้ว

      Saumu ulienda?

  • @storowaysimkway4693
    @storowaysimkway4693 5 ปีที่แล้ว +48

    Kama umem elewa huyu jamaa kama mm gonga like tuwe pamoja..

    • @chanidunga9101
      @chanidunga9101 5 ปีที่แล้ว +1

      Muongo huyu kuma tu mm nanjuwa huyu aliunguwa na gas kuna kipindi flani

    • @ibnuidrisa3996
      @ibnuidrisa3996 9 หลายเดือนก่อน

      ​@@chanidunga9101😂😂😂😂😂

  • @Chekibob
    @Chekibob 5 ปีที่แล้ว +6

    Nakubali ayo tv ila huyo jamaa aliyepita mbele ya kamera, mwambie asipite tena

  • @soleimaniabdul8898
    @soleimaniabdul8898 3 ปีที่แล้ว +2

    namimi pia ni mtanzania hambae nipo marekani salamu sana kwa wa Tanzania wote

  • @nasmafarmsltd9146
    @nasmafarmsltd9146 4 ปีที่แล้ว +8

    siku ukish nje ýà nch ñďò utajua lugha ya nch husika inavyo Baďìĺśha lugha ýaķò

  • @habibhamed1587
    @habibhamed1587 4 หลายเดือนก่อน

    Msenge maziwa usiombe tena kuingia katika maisha usiyoyaweza watu kaanyumbani uwe fundi cherahani pust malaka

  • @tonyelshabbaz
    @tonyelshabbaz 5 ปีที่แล้ว +7

    Aliyeona kuna jamaa kakatiza na camera wakati mahojiano yanaendelea agonge like hapa

  • @likimaro6
    @likimaro6 5 ปีที่แล้ว +10

    Ukizamia Ulaya ndo unasahau hadi Kiswahili vizuri?

    • @soleimaniabdul8898
      @soleimaniabdul8898 3 ปีที่แล้ว

      hapana mimi kama mimi siwezi kusahau luga yangu ya kiswahili mimi ni mtanzania hambae niko marekani

    • @emmanuelgastine9826
      @emmanuelgastine9826 3 ปีที่แล้ว +1

      Acha hizo ,wewe unadhani bila kujua ngeli utapata msaada ukiwa nje ya TZ ? Acha kudanganywa ndo maana watoto wanapelekwa nursery school hata wa kwako anasoma huko

    • @ruuh5149
      @ruuh5149 3 ปีที่แล้ว

      @@soleimaniabdul8898 mambo sele naitaji kuongea na ww unawez kunipa namba yk tukawasilian kwa whatsapp

  • @eddy4998
    @eddy4998 3 ปีที่แล้ว +5

    Maisha yangu nimejitolea kama nitampata mwenzanguu basi nipo tayari kupita hiyo au njiaa yeyote ilimradi niingie German

    • @vamitv873
      @vamitv873 3 ปีที่แล้ว

      Twende zetu mkuu

    • @bakarifatherb4180
      @bakarifatherb4180 2 ปีที่แล้ว

      Tunaanzia wapi Kaka, hata mimi ninahamu kinoma

    • @wakuitwangosha
      @wakuitwangosha ปีที่แล้ว

      Mm marekani maana ujeruman lugha lazima uisome ila marekani kiingereza tu

  • @toptictoc1884
    @toptictoc1884 5 ปีที่แล้ว +19

    Imagine Ingekua Polisi wa kibongo? Lol mngekula kipigo mpk mngejamba hahahaha

    • @likimaro6
      @likimaro6 5 ปีที่แล้ว

      Tena ushuzi wa motroooo

    • @eddy4998
      @eddy4998 3 ปีที่แล้ว

      hauwezi kupigwa wakati ww sio raia wa nchi hiyo hata hapa bongo hauwezi kupigwa

    • @ahmedalazkawiasantesana6453
      @ahmedalazkawiasantesana6453 3 ปีที่แล้ว

      Haaahaaa

    • @ibnuidrisa3996
      @ibnuidrisa3996 9 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂

  • @angelageofrey9756
    @angelageofrey9756 3 ปีที่แล้ว +2

    Vizuri kueleza ukweli about nje@italy hapa

  • @habibhamed1587
    @habibhamed1587 4 หลายเดือนก่อน

    Mshamba mmoja Huyu kavamia maisha beach wakati hayawezi ukiwa msafiri au beach boys huwezi kutowa habari za jandoni

  • @calvinmorgan66
    @calvinmorgan66 5 ปีที่แล้ว +1

    Ungeongea kiswahil ndio ungetisha sana kuliko mashauzi

  • @salimdoctor691
    @salimdoctor691 5 ปีที่แล้ว +2

    Babukubwa bro life popote

  • @stanleysamwel5449
    @stanleysamwel5449 5 ปีที่แล้ว +2

    nice story

  • @judithtibandebage3227
    @judithtibandebage3227 5 ปีที่แล้ว +8

    Watanzania waishio Greece wanaroho mbaya mwanzo mwisho japo sio wote lakini 98%wakuda

    • @mwandumazaoidrossa1702
      @mwandumazaoidrossa1702 5 ปีที่แล้ว +2

      siyo greece tu wabongo nje wengi wakuda

    • @benten2369
      @benten2369 5 ปีที่แล้ว +2

      Maisha magumu alaf mbali na home, survival tu.siku za Kwanza mambo magumu lakini ukikomaa unatoboa

    • @annievibes8794
      @annievibes8794 5 ปีที่แล้ว

      @@mwandumazaoidrossa1702 swadakta ndiyo maana mimi siingiliani nao huku nilipo kwanza nawatikia nn na nimewaacha bongo

    • @mwandumazaoidrossa1702
      @mwandumazaoidrossa1702 5 ปีที่แล้ว

      m

    • @omarmatuta7709
      @omarmatuta7709 4 ปีที่แล้ว

      Sio Greece tu nchi kibao ndo zao kn na roho mbaya hasa hawa mabaharia wa zamani ndo mana mie ujamaa nao sitak nikienda nchi yyte lzm nitakapokaa sehemu hio niulze kn wabongo mana km wapo sikai kbs.

  • @mohamedmweche9195
    @mohamedmweche9195 5 ปีที่แล้ว +1

    Jamaa we noma

  • @barakatv4030
    @barakatv4030 5 ปีที่แล้ว +1

    Aise hii story tamu sana.

  • @judithtibandebage3227
    @judithtibandebage3227 5 ปีที่แล้ว +4

    Mwenyewe nilipofika Greece kwamala yakwanza niliga kelele nikasema hii sio ulaya ni ilala hapo umeongea ukweli mkuu namie pia nilifikaga wakati wa winter time duh umenikumbusha mbali it was not easy 2010 hiyo

  • @hamismalimungu9959
    @hamismalimungu9959 5 ปีที่แล้ว +18

    Tamtafuta huyu Jamaa niondoke zangu ulaya tu

  • @emmanuelgastine9826
    @emmanuelgastine9826 3 ปีที่แล้ว +2

    Ndo uone watanzania walivo na roho mbaya ,hawakutaka kuwasaidia jamaa huko ugenini ,haya tukiwa hapa inakuwaje

  • @abdielyusuf71
    @abdielyusuf71 3 ปีที่แล้ว +1

    Kichwa cha habari Greece mimi nipo Germany nilizunguka mitaani nikashikwa nikapewa sehem na now naish vizur

  • @Didah-hf4pw
    @Didah-hf4pw 4 ปีที่แล้ว +2

    No kukata tamaa maisha popote

  • @jeremiahmsemwa8323
    @jeremiahmsemwa8323 5 ปีที่แล้ว +2

    Dah...hatari!!

  • @azukurmusa2085
    @azukurmusa2085 5 ปีที่แล้ว +3

    Wazigua ndio wanaishi kismayo🤣

  • @rainthatsgood8869
    @rainthatsgood8869 5 ปีที่แล้ว +4

    Namba NNE WAP jamani mwenye nayo naomba

    • @annievibes8794
      @annievibes8794 5 ปีที่แล้ว

      search misukosuko utapata zote mpaka 5

  • @habibhamed1587
    @habibhamed1587 4 หลายเดือนก่อน

    His Malaka Huyu jamaa

  • @theophilyyona9940
    @theophilyyona9940 5 ปีที่แล้ว +6

    duuuuu hata kama!! bora hivo kuliko kukaa kwa uncle hapa

  • @mudyazizi4771
    @mudyazizi4771 5 ปีที่แล้ว

    Kazi moja tu yan

  • @taitusbangu8909
    @taitusbangu8909 3 ปีที่แล้ว

    Kiswahili cha minato kinomaaa

  • @starboychyner3458
    @starboychyner3458 5 ปีที่แล้ว +1

    JAMAN PART 3 IPO ?... MBONA KWANGU MWISHO PART 2 TU..

    • @annievibes8794
      @annievibes8794 5 ปีที่แล้ว

      ipo search vizuri ipo mpaka 5

  • @oyay2821
    @oyay2821 5 ปีที่แล้ว +2

    Alafu mwasema Magufuli anapeleka nchi vizuri. Kama ni kweli watanzania wange kimbia nchi yao

  • @slayingtee6044
    @slayingtee6044 5 ปีที่แล้ว +11

    Ukiongea kiswahili hauta kufa

    • @jamalissa3285
      @jamalissa3285 5 ปีที่แล้ว

      anatia asila

    • @subiramussa1428
      @subiramussa1428 5 ปีที่แล้ว

      Ha hahaha

    • @arsenalic23
      @arsenalic23 5 ปีที่แล้ว +2

      Kama huelewi ni vizuri kujifunza. Hizi comments za kulalamikia watu kuongea lugha za kigeni sio poa. Tatua tatizo kwa kuuliza pale ambapo huelewi ama jifunze tu hiyo lugha husika

    • @mahamedabdi1881
      @mahamedabdi1881 5 ปีที่แล้ว

      Umeona ee anabana pua jm

    • @colmanlesulie250
      @colmanlesulie250 5 ปีที่แล้ว

      Go back to school

  • @wilboradahamary939
    @wilboradahamary939 3 ปีที่แล้ว +1

    P

  • @beatricechristian9257
    @beatricechristian9257 5 ปีที่แล้ว +1

    Naona kma Kiswahili kinakusumbua sana🤣🤣🤣

  • @rockyvlogs2214
    @rockyvlogs2214 5 ปีที่แล้ว +1

    Huyu jamaa nimemuelewa

  • @tahrinkessy7119
    @tahrinkessy7119 5 ปีที่แล้ว +1

    Wekeni yote jmn 😭😭

  • @congoswahilitv6465
    @congoswahilitv6465 5 ปีที่แล้ว +2

    mna tafuta views kulilini mweke yote

  • @salummuhija4435
    @salummuhija4435 5 ปีที่แล้ว +1

    Weka mic vizuri basi hatukusikii vizuri.

  • @wemakalam3233
    @wemakalam3233 5 ปีที่แล้ว +1

    Huu chezo ni hatari

  • @ashahkishai2002
    @ashahkishai2002 5 ปีที่แล้ว +1

    Mi enyewe natamani kwenda Ulaya

    • @jazzbanza6804
      @jazzbanza6804 5 ปีที่แล้ว

      namimi nitumie nambayako tuasiliane

    • @pendojackison8822
      @pendojackison8822 4 ปีที่แล้ว

      Unataka kwenda ulaya sawa Ila Nina rafiki yangu MTU wa Burundi anakwambia yeye Africa haijamshinda eti wanaoshindwa maisha ndo wanakimbilia tofauti na Africa yao hivi ni kwelii duh navojua maisha popote

  • @devotajoel3730
    @devotajoel3730 ปีที่แล้ว

    Ugeongea ki Swahili sitor ingefundisha wengi

  • @sportsbiotz
    @sportsbiotz 2 ปีที่แล้ว

    Angalia baharia wazawa wakiokoa watu baada ya meli ya kigeni kuzama
    Gusa link hii apa chini kuangalia.
    👇🏾. 👇🏾. 👇🏾.
    th-cam.com/video/m8X5qFrmA9g/w-d-xo.html

  • @rogersmassawe8323
    @rogersmassawe8323 5 ปีที่แล้ว +2

    Jamaa namjua

  • @asiazuberi9722
    @asiazuberi9722 5 ปีที่แล้ว +1

    Story nzuri

  • @lucyanyango8710
    @lucyanyango8710 3 ปีที่แล้ว

    Mambo simbaya

  • @damianimerou2752
    @damianimerou2752 3 ปีที่แล้ว +1

    Hawaii wasenge wengine wanakuja fanya nini huku ulaya HIVi ni vita so you don't say siri ya vitani pussy ya

  • @arthurfesto9026
    @arthurfesto9026 5 ปีที่แล้ว +1

    Sio rahis kiivo bro mahojiano ya kujua utaifa hayapo rahisi ivo mzee tumekua sikuizi sio watanzania wa kuamini hadith za zamani

    • @basitbasit2281
      @basitbasit2281 5 ปีที่แล้ว

      Huyu jamaa anawapanga kiaina,sababu hizo experience wengine tumezipitia

  • @vfacilitator8398
    @vfacilitator8398 3 ปีที่แล้ว +1

    Huyu ni Mkenya, Mjaluo.

    • @saadjuma222
      @saadjuma222 3 ปีที่แล้ว

      Wakenya mushaanza

  • @mandyfitnesstv6738
    @mandyfitnesstv6738 5 ปีที่แล้ว +5

    Wanigeria wapo kila kona aisee halafu wana hawana roho mbaya kiivyo.

    • @saidibambo4339
      @saidibambo4339 5 ปีที่แล้ว +6

      we unayesema hvyo huko wap umeshawai kuish na wanigeria ww ss hao cc tunawaita wapopo ni watu wakorofi na wana roho mbay kitu kidgo tu anakifanya kuwa kikubwa asilimia kubwa wana roho mbay ni wachache san wakarimu #bambojr from india

    • @Aidenkuye
      @Aidenkuye 5 ปีที่แล้ว

      Duh huwajui wapopo ndugu, hao jamaa sio!

    • @25bacteria
      @25bacteria 5 ปีที่แล้ว +3

      Kweli wanijeria hawana ROHO MBAYA HUWA KWELI WANSAIDIA NA WANAULLE UAFRICA KIUKWELIU NIMeishi nao CANADA na SOUTH AFRICA, ILA TU ila tatizo lao madawa, wnaweza kukubambikia madawa, wanatabia kama za wabongo kiaina, hustling mentality, kwa wanawake usijaribu wanaigeria wanawake wengi south africa na na Canada wameishia jela kifungo cha maisha kwasababu ya wanaigeria, wanawafungashia madawa bila kujua kisha wanakatwa wanaisha, kwanza wanajaribu juwapa au kujifanya wanaupendo nao kisha wale wanawake wakisha waamini wanaweza kumwambia nipelekee begi langu mji huu, au jamaa yangu akija mpe mzigo huu, au demu wake anasafini demu bila hata kujua , anapandikiza MADAWA KATIKA BEG LA DEMU KISHA AKISHAFIKA HUko anamwambia , fungua beg lko mpe jamaa hiki na kile, WANAWAKE WAKALIENI MBALI WANAIGERIA, Msije mkasema wamjaambiwa.... you can never trust them , i once nilikwa naishi na mzee =wa miaka hamsini na tano mtu mzima, tulipanga wote nyumba, alikuwa ananishauri kama baba, kuja kugundua siku askari wamekuja wanasema kuna madawa yanauzwa pale , ilikuwa mshike mshike ila kwasababu kipindi hicho nilikuwa mwanafunzi na naweza sana kujieleza na nahati nzuri walivyo ingia hao askari wakizungu walinikutwa nasoma saanane ya usiku....wamemkamata jamaa nje anauza madawa.. nihatari

    • @rainthatsgood8869
      @rainthatsgood8869 5 ปีที่แล้ว +1

      @@25bacteria duh pole sana

    • @Fadhira7897
      @Fadhira7897 5 ปีที่แล้ว +2

      @@saidibambo4339 wanaigeria hawana hawana roho mbaya hata kidogo pia wanapenda kusadia isipokuwa wanapenda ugomvi wna makundi ya group Jamani nimeishi now India huu mwaka wa 5 tangu 2014 mpka leo pia kuna makabila tofauti kama aslimia wengi ya wanao penda kupigana ni wa benin, na wa Agbo pia kuna wa igbo hawa wanapenda biashra ya madawa pia wengi wao wanapesa na hupendi kusadia watu japo kuwa watu wenye roho mbaya kila sehemu wapo hata tz pia kwao wapo arafu wanaenda watu wa inchi ya watu wengine kuliko hata wenyewe miaka ya nyuma nilivyokuja huku asee wanigeria unaweza ukaenda kwa mpopo ukala ukashiba hawana roho mbaya Jamani ukweli usimwe isipokuwa wanenda kupigana wenyewe kwa wenyewe tena sio wa watu wa ichi nyingine no wenyewe kwa wenyewe kwasababu wana magroup aslimia nyingi wa Tanzania walikuwa india waschana wapopo wamewasadia kimaisha wengine wamejenga na why tunawaita wapopo kwasababu hawalali usiku ila kwa kweli roho mbaya hawana na wapo kote duniani kwasababu wanapenda kusafir

  • @walterp.makundi5640
    @walterp.makundi5640 5 ปีที่แล้ว +4

    Video poorly produced i can hardly hear what the guy is talking!

    • @walterp.makundi5640
      @walterp.makundi5640 5 ปีที่แล้ว

      @Julius Baha it's not my profession but I don't lay eggs but I know a rotten egg 🥚

  • @familylove5417
    @familylove5417 5 ปีที่แล้ว

    Kaka ulikuwa na Visa card hiyo Visa card ya uturuki au umetuambia umekamatwa na police so hawajajuwa tu mlipo toka nasie tumepitia usitudanganye bwana

    • @rogersaloyce2843
      @rogersaloyce2843 5 ปีที่แล้ว

      Umesikiliza vzurii?

    • @utaani1
      @utaani1 5 ปีที่แล้ว

      Naomba kuchat na wewe tafadhali kama itawezekana

    • @userAysha
      @userAysha 4 ปีที่แล้ว

      Huyu jamaa muongo sana sijapata kuona maisha ya ulaya yamemshinda kaona aje kujifanya yeye baharia anawakandia wazanzibar wakati hao ndo watu waliomsaidia sana sana lakini hana shukran mshenzi mkubwa

    • @robertlinuma6051
      @robertlinuma6051 8 หลายเดือนก่อน

      Visa iliishia uturuki .yy Yuko ugirik sasa.na document ziliishia uturuki ..hata kama angekuwa na document za uturuki zisingesaidia maana alishavuka border tyr

  • @mkuurditv4227
    @mkuurditv4227 5 ปีที่แล้ว +3

    dahhh!

  • @duckygameing3900
    @duckygameing3900 5 ปีที่แล้ว +1

    How do I contact you my nigga

  • @ibrahimibraa4948
    @ibrahimibraa4948 5 ปีที่แล้ว +6

    WW muongo ulikuwa omba omba tu huna ishu

    • @winslowzirops3598
      @winslowzirops3598 5 ปีที่แล้ว +1

      Wew Umejuaje kama nimuongo Wabongo bhana

    • @ayshasaloom965
      @ayshasaloom965 5 ปีที่แล้ว +2

      aijalish awe omba omba au kichaa kikubwa alichokitak kimefanikiw ndio mna unamuangalia na kuskiliz anasemaj nyokoli we

    • @ibrahimibraa4948
      @ibrahimibraa4948 5 ปีที่แล้ว +1

      Huyo alikuwa omba omba anatudanganya tu

    • @nurdinimndeme2912
      @nurdinimndeme2912 5 ปีที่แล้ว +1

      bado ujui Maisha hata leo 'kweli unashangaza bro

    • @ibrahimibraa4948
      @ibrahimibraa4948 5 ปีที่แล้ว

      @@nurdinimndeme2912 unashangaza ww kumsikiliza huyo muongo

  • @annievibes8794
    @annievibes8794 5 ปีที่แล้ว

    jamani hamjajaribu hivi vitu msiseme kaka wa watu tuulizeni tuliopitia misukosuko ya kuingia ulaya

    • @annievibes8794
      @annievibes8794 5 ปีที่แล้ว

      @@utaani1 kuhusu nini km kuhusu ulaya bora usipoteze muda wako maana maisha ya huku siyo km ya miaka 20 nyuma

    • @annievibes8794
      @annievibes8794 5 ปีที่แล้ว

      @@utaani1 Norway

    • @annievibes8794
      @annievibes8794 5 ปีที่แล้ว

      @@utaani1 na kwa nini unichague mimi kuja kutembea Norway si uje km tourists wengine..mie siingiliani kabisa na wabongo utani sorry

    • @utaani1
      @utaani1 5 ปีที่แล้ว

      @@annievibes8794 Mimi pia sina rafiki wa kibongo tangu nilipoondoka africa 2000. Mimi rafiki yangu kazi nikimaliza kazi narudi nyumbani kulala nikiamka narudi tena kazini

    • @fahadjinni5845
      @fahadjinni5845 4 ปีที่แล้ว

      Hello power eomen

  • @millitarybattalion7515
    @millitarybattalion7515 5 ปีที่แล้ว

    Nyingine mnaweka SAA ngapi?

    • @ibrahimibraa4948
      @ibrahimibraa4948 5 ปีที่แล้ว

      Kesho

    • @wagagagigikokohumulutililu8974
      @wagagagigikokohumulutililu8974 5 ปีที่แล้ว

      Hebu fumba macho, kisha fungua. Kama una marinda utaiona ya pili kama hauna hautaiona kamweee.

    • @millitarybattalion7515
      @millitarybattalion7515 5 ปีที่แล้ว +1

      @@wagagagigikokohumulutililu8974 hii ni ya pili mm nilikuwa naulizia ya tatu............ Sijaumbwa kutukana MTU.... Ubarikiwe sana

    • @wagagagigikokohumulutililu8974
      @wagagagigikokohumulutililu8974 5 ปีที่แล้ว

      @@Aidenkuye Mkundu isi na marinda wewe

    • @wagagagigikokohumulutililu8974
      @wagagagigikokohumulutililu8974 5 ปีที่แล้ว

      Hahaha, mkundu unakuwashaaa. Nani anataka kusafiri, nimeridhika na ugali kwa sangara, no Mwanza ujionee. Jifanye unajikunaaaaa

  • @husnajohn7466
    @husnajohn7466 5 ปีที่แล้ว +3

    Baaaada ya kuzamia sasa kipi umechuma cha maendeleo au ndio story tu hapa kwamba nawe baharia mchanga, hamcgelewagi kurudi na mbwa kutoka ulaya halafu mliowaacha Africa washawapita mbali

    • @joejoshua7791
      @joejoshua7791 2 ปีที่แล้ว

      Unaonekana una chuki na watu wanaoishi Europe

  • @salmaelhinai833
    @salmaelhinai833 5 ปีที่แล้ว +2

    Huyu jamaa mshamba sijapata kuona lol

  • @babalois7240
    @babalois7240 5 ปีที่แล้ว

    Duu

  • @bluebeamkennel9266
    @bluebeamkennel9266 3 ปีที่แล้ว

    Very poor strategy

  • @abuubakarimtange4601
    @abuubakarimtange4601 2 ปีที่แล้ว

    Chako tu wewe

  • @hamoudmohamed4916
    @hamoudmohamed4916 5 ปีที่แล้ว

    Huyu sio mtanzania hakuna MTU WA kitz anaeongea hivi

  • @kenny5672
    @kenny5672 3 ปีที่แล้ว

    Acha usenge wa kunata kichoko

  • @mussamussamussa8444
    @mussamussamussa8444 5 ปีที่แล้ว

    Huyu mshenzi tu naona muhaya huyu ss ongea kiswahili mshamba we ulaya hawajagi wasenge km ww