Caro kemunto watching from saudia Team saudia mko wapi, mogaka uko na ujinga sana, msichina mwenye mnafanya kazi na yeye, anakupigia simu mogaka Gaki gaki
awa wtu niwajaja mm ni likuwa muja musido mwanaume aliamiya kuwa mama japati Sasa Ata Sapa sikuwa napewa ni likuwa naletewa japati dio Sapa adi siku yakujifukuwa alikuwa ameamiya uko niliishi kuwa nyumba peke yaku niliumwa siku pili musuri mwanaume apatikani wanaume ni mapepo 🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️
Wanaume mkoje lakini? Mokaka anapigiwa simu na mama chakula kama amefika nyumbani salama😁😁😁aki gidi na ghost mbarikiwa napenda sana patanisho. Eti mokaka ni kafisi 😁😁Hata mie naskia hiyo kuongea😄😄😄😄
Hehehe sasa sio simu Kwamboka alipokea ya mama chapo beans,kumbe kulikuwa na wanawake wengine.hakuna kitu mbaya kama kuloose trust kwa partner wako...hapo love kwisha🤨
😂😂😂kuna siku nilikula kwa mamangu jioni kufika kwa hao nakuta waiguru wangu akiwa amepika ugali na nyama nikaenda kusema sikuli nimekula kwa mum ile makasiriko ilikua na waiguru hio usiku ni ile ya ukimaliza unifunike tangu hio siku ndo nilijua waiguru wote hawatakangi ujinga
Kwamboka it's best thing to forgive but wacha kuwa soft Kwa huyo mwanaume. Love your life and yourself kwamboka..kuna magonjwa..usi risk your life Kwa sababu ya MTU bcz ingelikuwa niwewe umepatwa Na mpango wa kando..huyo bwanako hangekusamehe..so kwamboka don't be so soft to that man.
Love is a beautiful thing❤️
Wakisii ndani ya nyumba nipe likes gaki
Caro kemunto watching from saudia Team saudia mko wapi, mogaka uko na ujinga sana, msichina mwenye mnafanya kazi na yeye, anakupigia simu mogaka Gaki gaki
Mi niolewe mume wangu akule nje apo nkumwacha tu ju atakuwa anancheat. Team kujiamini no.6
Leo nimekamu mapema woyeee team Hamam aki mnipeni likes
Wa tatu Leo, likes zikuje mbio nikisikiza wakisii wezangu. Gaki gaki our kisii men is a no go zone to me
Wewe, sio Wakisii wote!
No wonder wakamba are taking over,wamejaa huko,na wanatii
Hahha
Tafuta wasomali ukuwe bibi namba 4
Likes za nini? Umefanya nini?
Gidi wee n ndume ya patanisho.I like it
Mipango ya kanda wanaandaa chakula vizuri na kina utamu aina ya kipekee
Edwin anamiss twa twa twa
Niko ndani ndani
Weee hiyo roho ya bibi n Safi 😊😊😊😊😊nipewe puriiis
Miss this gidi & ghost 😍😍😍
Nimekubali mimi leo ndo wamwisho to comment
sweetheart--Eeeeh
Giddy Giddy Giddy, nimekuita mara ngapi kababa😂😂, patanisho ya siku mbili iko wapi
Team kujiamini mpo
wanaume ni mapepo nawajukiya Sana
Good work my brother gidy, we love this show, owadwa
Mkora huyo Gidi
Ghost 😂😂😂😂😂😂😂kicheko tamu 😂 😂 😂 😂 😂
Huyu Jamaa c anechekaa watu aki
Ako lucky bibi yake ni mpole al the best
Team hammam mko????
Tupo
Ghaii Aki Gidi,,,,ety kafisi😕😱😱
Hahahahahaha kwa site
Namba 2
0705458755
@@brianotienoomwonyo8234 😂😂
Hii,uko poa
To weza chart kwenye what's ap
@@brianotienoomwonyo8234 ati tu chat kwani nilikuambia natfta mtu wa kuchat naye,manze hi sio unganisho😂😂😂😂
Haki I have been looking for this guy’s name... Giddy Giddy Maji Maji...
That man has a good wife.
Beautiful reunion!!
Huyu jamaa anakula chakula na pia anakula mpishi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hahaa anakula kuku na mayai yake
His lucky
Ni mke wa hekima inabidi abadilike kaa yuko na hiyo tabia
Mkisii na chakula🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wa kwanza team hamam 🤣🤣🤣🤣
Patanisho inaelekea kuisha ...
Mkisii lazima akuwe na mipango wa kando. Don't arguewith me.
🤣🤣
Ooliskia wap🤔🤔😂😂😂🤣🤣🤣🤣
I second you.bro..
However si wakisii tu but ni wanaume wote😂😂
@@phileskwamboka112 wtf😂😂😂
awa wtu niwajaja mm ni likuwa muja musido mwanaume aliamiya kuwa mama japati Sasa Ata Sapa sikuwa napewa ni likuwa naletewa japati dio Sapa adi siku yakujifukuwa alikuwa ameamiya uko niliishi kuwa nyumba peke yaku niliumwa siku pili musuri mwanaume apatikani wanaume ni mapepo 🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️
Hakuna fisi hapa
There’s nothing wrong being FRIENDS na OPPOSITE GENDER, bora u know ur LIMITS!!!!!
Tuwacheni ufalla
🤣🤣🤣waschana wa side noma
Ghai!Gidi unachomea mwenzako 🤣🤣🤣🤣
Hizo machakura ndio huleta noma kwa ndoa
Wanaitwa mamantilie
Gidiy mugaga ni kafisi😂😂😂😂😂
Aki Gidi 😂😂😂😂😂😂
Wanaume mkoje lakini? Mokaka anapigiwa simu na mama chakula kama amefika nyumbani salama😁😁😁aki gidi na ghost mbarikiwa napenda sana patanisho.
Eti mokaka ni kafisi 😁😁Hata mie naskia hiyo kuongea😄😄😄😄
eeh mteja wako ni mtu wa maana, lazima umjulie hali
@@kenyanniggar357 😁😁😁Hiyo ni ubumbavu utapigiwaje simu na mwanamke mwingine nami Niko hapo?
@@stargal906 eeeh baye mkoko, ni customa tu heheh
@@stargal906 take good care of your customa ndo kesho akuchangie bana
@@kenyanniggar357 sijakataa lakini mama chakula anawezaje kupigia simu akuulize kama umefika nyumbani salama?
Surely aty mrembo Wa kupika kwa site anapigia bae kujua vile amefika home yawah. Gidi hapo umecheswa
Kwamboka ako na evidence red handed.
😂😂😂😂hapo ni kujitetea joh.
Mwanaume haezi kubali makoza!u shud know pple.
Ngai uuuuuiiii, Mogaka wewe ni upcoming kafisi kadogo
Gidi wewe ni
Mchochezi
Hakuna mume wa mke mmoja tusidanganyane ,kama nikurudi rudi mshee roho safi, ukitaka mumewako pekeako jizalile mwenyewe
Mogaka be honest to your marriage
Hehehe sasa sio simu Kwamboka alipokea ya mama chapo beans,kumbe kulikuwa na wanawake wengine.hakuna kitu mbaya kama kuloose trust kwa partner wako...hapo love kwisha🤨
Gidi wacha unataka kusema wewe haunako kamanyanga hii town 😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌akose huyu
Obeeeee gaki chiabagoire piiiii
Huh...ata umenitupisha mbao hapo..
Translation plz🤣
@@HighTechAutoSales hii ni kazi ya waluhya c wakisii gaki
@@Ruthbosibori-uu7eq well if u say so.
😂😂😂kuna siku nilikula kwa mamangu jioni kufika kwa hao nakuta waiguru wangu akiwa amepika ugali na nyama nikaenda kusema sikuli nimekula kwa mum ile makasiriko ilikua na waiguru hio usiku ni ile ya ukimaliza unifunike tangu hio siku ndo nilijua waiguru wote hawatakangi ujinga
Mogaka ni kafisi 🐒🐒🐒🐒🤣🤣🤣🤣🤣
Ati mama wa Githeri akisema kama Umefika 🤣🤣🤣🤣🤣🤣.......
What’s wrong?
ken mzungu Nothing
Nameshake nakusikiza tu NA mogaka wako😜😜fisi mkisii
Kwamboka it's best thing to forgive but wacha kuwa soft Kwa huyo mwanaume. Love your life and yourself kwamboka..kuna magonjwa..usi risk your life Kwa sababu ya MTU bcz ingelikuwa niwewe umepatwa Na mpango wa kando..huyo bwanako hangekusamehe..so kwamboka don't be so soft to that man.
Gidy😆😆😆😆 aky wewe shines tu hapo na kafisi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kuchelewa nayo NO twedi fai leo
Majirani mwaudhi mpaka muanike eti time hamamu ushamba tyu😏😏😏
Hahahaha let me laugh.So this lady thinks a man can just be told to change and then he changes just like that .Wanaume aki
I thought wakisii hawatumangi fare 🤷🏽♂️
Wakisi wako ivo
Hapo sisemi kitu,but gost badilisha loughing style bwana aiiii
Country bus narok 😂😂😂😂😂gidi
Mogaga unasoud Kama muanyaji you see ilikuwa ama ilifanyika kafisi wewe
Aki Giddy unakua kufikia 🤣🤣🤣🤣acha sisi tucheke tu tukiwa na ghost,,,love you guys but wapi patanisho ya two days
Aki ghost wewe hucheka hivi in real life ama