HOUSE GIRL EP 33 | S4 | LOVE STORY 💞💕

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ก.พ. 2025
  • #bongomovie #mymother #housegirl

ความคิดเห็น • 512

  • @busatiplus
    @busatiplus 7 วันที่ผ่านมา +47

    Usikose kutazama Love bite kupitia TH-cam channel ya Busati Plus

    • @NDOTOTV1
      @NDOTOTV1 7 วันที่ผ่านมา +1

      KAZI ZENU NZURI SANA TWENDE TU NJIA MOJA

    • @ZamzamMusa-ve5tc
      @ZamzamMusa-ve5tc 7 วันที่ผ่านมา

      Next part Iko wapi

    • @TeddyPaul-j3g
      @TeddyPaul-j3g 7 วันที่ผ่านมา

      Hammaliz kaz ya hii house girl tu ndo mnajitahd

    • @siyareoseromba
      @siyareoseromba 6 วันที่ผ่านมา

      Poa poa

  • @shadyasuleiman9017
    @shadyasuleiman9017 7 วันที่ผ่านมา +21

    Zuu punguza jazba wivu utaikosa ndoa

  • @MapeneMoshi-r2k
    @MapeneMoshi-r2k 7 วันที่ผ่านมา +10

    Nimependa sana kipande cha zuu alipokua kwenye kikao na baba yake mkwe na bibi pamoja na mumewe kay zuu unajua sana

  • @NaomieT-i6x
    @NaomieT-i6x 7 วันที่ผ่านมา +25

    Wakwanza leo jaman mnipe like hata mbili tu🎉🎉🎉

  • @MalkaNinik
    @MalkaNinik 7 วันที่ผ่านมา +28

    Jmn mume anauchungu anatiya wazimu waweza kuenda mbio mochwari bila kujuwa wallah pole zuu najuwa unachopitia mama

    • @SuzanaJames-v3y
      @SuzanaJames-v3y 7 วันที่ผ่านมา

      Umeongea kitu point sn yani sn 😣💔

    • @Frola-r9z
      @Frola-r9z 4 วันที่ผ่านมา

      ​@@SuzanaJames-v3y💪💪💪💪

  • @felistafelis567
    @felistafelis567 7 วันที่ผ่านมา +9

    Wa mwisho Leo naombeni like hata kumi ,pia nipitieni😊

  • @LilyMbembat
    @LilyMbembat 7 วันที่ผ่านมา +31

    Leo nimewahi hadi najishangaa, yani mm wa kuwa wa 236!!! Nipeni like hata kumi nami nijione mtu😢😢😢😢😢😢😢

  • @MapeneMoshi-r2k
    @MapeneMoshi-r2k 7 วันที่ผ่านมา +12

    Nimependa sana kipande cha zatiti na mama mkwe wake na dada yake zatiti wakiwa katika uasilia kabisa wa jambo linaloendelea kwao

  • @MRS-g2m
    @MRS-g2m 7 วันที่ผ่านมา +25

    Zuu leo haki umejua kunichekesha maana kumewaka kinorma😂😂😂😂

  • @FatumaIssa-g9t
    @FatumaIssa-g9t 7 วันที่ผ่านมา +13

    Yani hp tunataka ukweli 🎉🎉🎉 km unaungana na mm weka lake hp

  • @Tosana202
    @Tosana202 7 วันที่ผ่านมา +22

    Mwezenu candy tu ananiuwa mbavu😂😂😂😂😂😂😂

  • @ShamiraHamza
    @ShamiraHamza 7 วันที่ผ่านมา +70

    Hellow guys,,,bibi zuu mtumie wasambongo rafiki yake na belina maaan anatamaaa kweliii,,, afu zuuu umezidi na kamdomo kamdomo kamdomo kama ka yanga🥰🥰🥰

    • @HhUhh-io8ix
      @HhUhh-io8ix 7 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂kadomo

    • @meryJoel-h7h
      @meryJoel-h7h 7 วันที่ผ่านมา +1

      Yanga anahuxikaje sasa na wew

    • @zubedamae-ro1jx
      @zubedamae-ro1jx 7 วันที่ผ่านมา +1

      Kawaida ya mtu anae tafuta haki ataonekana anamdomo, 😢

    • @franktodory
      @franktodory 6 วันที่ผ่านมา +2

      😂😂😂😂😂 sasa yanga kaingiaje apo tena

    • @hajarahnafuna
      @hajarahnafuna 6 วันที่ผ่านมา

      😂

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 7 วันที่ผ่านมา +10

    Wanawake kama zuu wapo,yani hawez acha mambo yakapita...ovyo! Chiko natamani buyo dada akuumbue mpango wako ufeli

  • @TatuBaya-jy8jl
    @TatuBaya-jy8jl 7 วันที่ผ่านมา +18

    Ila zuu mdomo ulirithi nni dada si wee ulikua mpole na kuongea kwa n kusalimia kwa kupiga magoti mbna Leo unawaka moto kias icho au ndoa unayo n unatamba nayo ulikua unataka ndoa utuonyeshe makucha yako 😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤

    • @sharifamahamudu182
      @sharifamahamudu182 7 วันที่ผ่านมา +2

      We ungeweza simu ya mumeo ipokelewe na mchepuko na utulie kisa ety ulikuwa mpole mwanzoni😂😂😂 mm mwenyewe ningetoa makucha

    • @NajmaJoneke
      @NajmaJoneke 7 วันที่ผ่านมา +2

      Unajua uchungu wa Mume wew Mume Anauma

    • @FaustaLutugely
      @FaustaLutugely 7 วันที่ผ่านมา +2

      Jaman zuu leo umenifulaisha sana❤❤❤

    • @TatuBaya-jy8jl
      @TatuBaya-jy8jl 7 วันที่ผ่านมา

      Kai anamakosa kwli ila zuu nae ykosea kwkutokujua kuuliza kwa upole si ata alifundwa mpka bib aliemfunda yshangaa ni yey kwli maneno yliinglia na uku ykutokea na uku

    • @JovitherYoasy
      @JovitherYoasy 6 วันที่ผ่านมา +1

      ​@@TatuBaya-jy8jlbibi mwenywe kawa muongo skuhizi😂😂😂

  • @KulwaAndrew
    @KulwaAndrew 7 วันที่ผ่านมา +10

    Wa kwanzaaaaa😢😢😢😢😢😢 mnipe like na mie nione utamu wakeee bas😢😢😢

  • @fatuma6011
    @fatuma6011 6 วันที่ผ่านมา +7

    Zuu nakusupport usikubali mpka uambiwe ukwelii yaani kiwashe zaidi ya hapo 😂😂😂

    • @EsterWilla
      @EsterWilla 6 วันที่ผ่านมา

      Apo akiambiwa ukweli ataanza kuliaa tenaa😆😆😆😆😆😆😆

    • @SuzyAna-vu9li
      @SuzyAna-vu9li 6 วันที่ผ่านมา

      Huyu niupimbi akisha ujua ukwel ndoa inakufa 😢​@@EsterWilla

  • @rizikisam6481
    @rizikisam6481 7 วันที่ผ่านมา +16

    😂😂😂😂 watu wanakula ela za matibabu ya belina

    • @SomoeBatuli
      @SomoeBatuli 7 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂

    • @MariaSalim-u5z
      @MariaSalim-u5z 6 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂

    • @Shakila-pq2gv
      @Shakila-pq2gv 6 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂

    • @RoseJuma-b6n
      @RoseJuma-b6n 3 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂 sana tu

  • @FaridaAbdulaziz-g3t
    @FaridaAbdulaziz-g3t 7 วันที่ผ่านมา +10

    Wewe sania wew sumesema umebadirika kumbe bado ungali naombea eeee pole san

    • @aishaomar2287
      @aishaomar2287 7 วันที่ผ่านมา

      House girl sasa ivi kla mtu kavurugika😂

  • @etsareliza6687
    @etsareliza6687 4 วันที่ผ่านมา

    Zuu umefanya vzr hongera sanaa🎉🎉🎉

  • @joesplatnumz
    @joesplatnumz 7 วันที่ผ่านมา +2

    Candy hio mimba uko nayo huzai tuuu 😂😂😂😂😂 yaani Candy na chiko ving'ang'anizii ajabu

  • @FaridaAbdulaziz-g3t
    @FaridaAbdulaziz-g3t 7 วันที่ผ่านมา +3

    Wew chiko unauzuri gani wew toa kwanza izo ndevu zinabo haki😅😅

  • @افااقع
    @افااقع 7 วันที่ผ่านมา +8

    😂😂😂😂😂wee kai na zuu msituangushie bibi wetu tuna mpenda sana kwenye hii movie

  • @UmaziMdzomba
    @UmaziMdzomba 6 วันที่ผ่านมา

    Congratulations for good work 👏

  • @AMILIHASSANI
    @AMILIHASSANI 7 วันที่ผ่านมา +3

    Nimekuwa wa 3 leo baomba like na mimi

  • @FlorahMrema
    @FlorahMrema 7 วันที่ผ่านมา +4

    Wakwanza kuangalia naombeni like zangu

  • @ZekaniS
    @ZekaniS 5 วันที่ผ่านมา

    Zuuu tuliza komwe😂😂😂umekuwa kiburi sasaiv ndoa uiwezi nazan😂😂

  • @ChesangMercyy
    @ChesangMercyy 7 วันที่ผ่านมา +2

    Wow mpo vizuri sana,,nawapenda

  • @MasauShida
    @MasauShida 4 วันที่ผ่านมา +1

    Kazi nzuri sana team Busati tv🇹🇿

  • @Haleema-dg5bo
    @Haleema-dg5bo 7 วันที่ผ่านมา +2

    Zuu zuu zuuu nmekuita mara gapi. Puguza ukali dadaangu bibi anatafuta njia yakumuweka sawa kai umbuke hayo yote hadi kukutana na belina chanzo n wew mwenyewe ivi unadhani unaweza ukamzuia kai kutoka njee ya ndoa kama kwa nyumba hakuna amani kila siku puguza kamdomo kamdomo siyo kazur ata kidogo 🙏

  • @AminaHassanAmina-x1x
    @AminaHassanAmina-x1x 4 วันที่ผ่านมา +2

    Jaman mapenz ya nauma

  • @Susanw90
    @Susanw90 7 วันที่ผ่านมา +1

    Malizeni hii kitu mba booo

  • @DivineIngabire-lj3sr
    @DivineIngabire-lj3sr 7 วันที่ผ่านมา +3

    Bibi umenicekesha eti kila mutu nawake kai amwambie baba ukweli nawee umwambie zuu ayaa nasubili matokeyo zuu pole mulicangia bwana na ndugu yako wadamu😢😢

  • @niitetuma5258
    @niitetuma5258 7 วันที่ผ่านมา +1

    Leo patamu sana hongera sna

  • @Mwaminiomar
    @Mwaminiomar 7 วันที่ผ่านมา +3

    Chiko si unajiona jamani 😂😂😂😂ati unapenda zatiti😢😢😢wakati ulikuwa na candy ilikuwaje ,ama hukukuwa zatiti ndio mwanamke wa maïsha yako

  • @WiniMsemwa
    @WiniMsemwa 7 วันที่ผ่านมา +2

    Wakwanza leo jmn like zangu

  • @AnnaSillo-mn8mq
    @AnnaSillo-mn8mq 7 วันที่ผ่านมา +3

    Jidanganye chikoo zatiti hawez kuwa wa kwako tenaaa

  • @ayubuanani6743
    @ayubuanani6743 7 วันที่ผ่านมา +4

    Wakwanza Leo Nipeni likes ❤❤❤

  • @JustaMartinsEduardo
    @JustaMartinsEduardo 7 วันที่ผ่านมา +3

    Sema ukweli Chiko 😂😂😂sema tu wewe jogoo apande mtungi😂😂,unajua Zatiti anajua kila kitu kuhusu wewe 😂😂Da masozi mimba ikowapi? Kilamba tena 😂😂😂

  • @JustinAdam-o4r
    @JustinAdam-o4r 7 วันที่ผ่านมา +3

    Candy ananiua mbavu hukuu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @NgendakumanaAnnemarie
    @NgendakumanaAnnemarie 6 วันที่ผ่านมา +3

    Zuli acha mapepe utahalibu ndowayak kwamikono yako mwenye mumeo alichokifany nibahati mbay arafu umepat bahati kajiludia hataki kirichotekey kijirud ir wew band unatak kumurudisha kule jitazame usivulug amani yafamiliy yako utajut mana wapo wanaume wanasalit wakezao hataukijuwa ndo anaxidisha ushez ira wew umebahati mum mweny ofuyamung shukur kwairo

  • @Amina-u8l
    @Amina-u8l 7 วันที่ผ่านมา +1

    Ila chiko huyo dada atakuumbua ata heri umkubalie ombi lake tuuu😂muwe nyote na kazi iendeleee

  • @JosephineMomanyi-jp8tv
    @JosephineMomanyi-jp8tv 7 วันที่ผ่านมา +4

    Kipendu ka unajua dadako ni kichaa mbona utaki kuelewa mimba c ya kai

  • @NeemaJoeli-sj3ps
    @NeemaJoeli-sj3ps 7 วันที่ผ่านมา +2

    Zuuu patam hapo unajua tena mama

  • @Mwanamisi-q2v
    @Mwanamisi-q2v 7 วันที่ผ่านมา +1

    Nimewahi hata Mm leo 🎉🎉🎉naomba na Mm like nikanunue khubuz

  • @Hailshhasibu-xx2kd
    @Hailshhasibu-xx2kd 7 วันที่ผ่านมา +3

    Aslamualeikum ❤❤❤❤ nipewe mm leo zote

  • @ASTRIDAMWAMBENE
    @ASTRIDAMWAMBENE 5 วันที่ผ่านมา

    Umejibu vizuri ndugu chiko huyo bint big up.

  • @SakinaMuba
    @SakinaMuba 7 วันที่ผ่านมา +1

    Mnaosema zuu anaongea sana mnataka afanye nini mnajua mapenzi nyie au ndoa kaybey umezidi

  • @CelinaBeda
    @CelinaBeda 7 วันที่ผ่านมา +4

    Zuu anaaribu bwanaa alitakiwa aendelee kuwa mnyenyekevu

    • @MalkaNinik
      @MalkaNinik 7 วันที่ผ่านมา

      Pia mimi niko kama zuu nikipandisha sirudi nyuma mpaka nikirudi kifuwa chaniuma

    • @angelmauja1846
      @angelmauja1846 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Yakikukuta ndo utaelewa maana ya zuu kupandisha kichaa,

    • @MalkaNinik
      @MalkaNinik 11 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      @@angelmauja1846 tena sana kila yaliyomkuta ndiye yuwajuwa

  • @IssaAbdalla-g9c
    @IssaAbdalla-g9c วันที่ผ่านมา

    Sania mzur sana nampendaga❤

  • @husnabilali3099
    @husnabilali3099 5 วันที่ผ่านมา +1

    Good job🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @barackaGaspal
    @barackaGaspal 6 วันที่ผ่านมา

    Zuu nikwambie2 mwanaume hafokewangi hata siku moja ata kama anamakosa inatakiwa ufatilie talatibu mwisho wasiku utawafuma lakini si kuwafokea hutengenezi bali unabomowa kuwa mpole utapata ukweli mambo mengine co yakunga,ngania mambo ambao wa2 wazima hawataki kukwambia nani anauga mkono kwa maneno yangu naomba like apo

  • @JescaMarykarisa
    @JescaMarykarisa 5 วันที่ผ่านมา

    Safi sana kwa kazi yenu

  • @HalimaAsadi-e1e
    @HalimaAsadi-e1e 2 วันที่ผ่านมา

    Kirambaaa eti wame gooo hahahahah

  • @Soone123
    @Soone123 7 วันที่ผ่านมา +2

    😂😂😂😂😂candy dishi limetibuka kulala AAAAH nimakelel tu

  • @MariaEzekiel-m4x
    @MariaEzekiel-m4x 4 วันที่ผ่านมา

    nakupenda baba kai mstaarabu

  • @ameenaalameena4968
    @ameenaalameena4968 7 วันที่ผ่านมา +20

    Chiko unauhandsome gani wew eti mwanamke yoyote akikuona lazima avutiwe na wewe mbona wa kawaida sanaa😂😂😂

    • @Jasminkisonga
      @Jasminkisonga 7 วันที่ผ่านมา +4

      ndevu tu hazina ushilikiano

    • @ameenaalameena4968
      @ameenaalameena4968 7 วันที่ผ่านมา

      @@Jasminkisonga 🥱😂😂😂umenichekesha

    • @Bakr_salim
      @Bakr_salim 7 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂😂utaniua kweli😂😂😂

    • @RaelYeko
      @RaelYeko 7 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂

    • @SaraJames-b2q
      @SaraJames-b2q 7 วันที่ผ่านมา

      Muachekutuchekesha bhna et muhamdsome

  • @WistoniSiliveri
    @WistoniSiliveri 7 วันที่ผ่านมา +2

    Familia ya khai imekuwa kila siku yavikao kwanin zuu huna adabu kwenye ndoa kuwa na heshima uko na baba mkwe😮

  • @ShamimShamy
    @ShamimShamy 7 วันที่ผ่านมา

    Zuuu Ni mechoshwa Na kelele zako Kwa mwanamme mwanamme huwa hafokewi Nin Sasa tunajifunza hapo juzi tu ulikuw onaomba msamhaa kumbe ulikwa Ni Wa kinafiki family ya tasha ❤❤❤🎉🎉

  • @LovelyCows-dq2uv
    @LovelyCows-dq2uv 7 วันที่ผ่านมา +1

    Zu kazi nzuri sana🎉🎉🎉🎉🎉

  • @ChilandeSylvia
    @ChilandeSylvia 7 วันที่ผ่านมา +2

    Zuuu wee ni fala sana

  • @FrankKyando-z1i
    @FrankKyando-z1i 7 วันที่ผ่านมา +2

    Haiboi haichoshi house girl ❤❤❤❤❤❤

  • @MwanaidiSaidy-x6z
    @MwanaidiSaidy-x6z 4 วันที่ผ่านมา +1

    Jmn masozy mimba iko wap jmn😮😮😮🤔🤔

  • @LilianShikuku-te3jy
    @LilianShikuku-te3jy 7 วันที่ผ่านมา +2

    Ila Chiko ww c handsome sana kubali tu mahusiano ya kweli maana kwa Zatiti nafasi yako haipo tenaaaa😂❤❤❤

    • @yyyyujdhdh6722
      @yyyyujdhdh6722 2 วันที่ผ่านมา

      Aswaaaaah hamna kbxa atulie kwenye mahusiano mapya zatiti hivi ni Mrs Tasha❤.

  • @ZamzamMusa-ve5tc
    @ZamzamMusa-ve5tc 7 วันที่ผ่านมา +3

    Zuu chukuwa mtoto analia sana jamani 😢😢

  • @zuleykhasaid967
    @zuleykhasaid967 7 วันที่ผ่านมา +3

    Zuu naee umezidiii sasa heeee

    • @MaliyetaJames
      @MaliyetaJames 6 วันที่ผ่านมา

      Anaboa kwa kweli🙌🙌

    • @rosemarandu
      @rosemarandu 6 วันที่ผ่านมา

      Kelele tu Kila saa

  • @GhUy-u7s
    @GhUy-u7s 7 วันที่ผ่านมา +2

    Jaman achen kumtesa zuu wetu😂😂😂

  • @KulwaAndrew
    @KulwaAndrew 7 วันที่ผ่านมา +31

    Muwe mnabembeleza bna watoto msiache mtoto awe analia hv sasa nd kama marehem saheel mlikuwa mnaacha watoto wa watu wanalia sana jamn sio vizur mtoto kulia sana hvo so kwa ubaya lakin❤❤

    • @busatiplus
      @busatiplus 7 วันที่ผ่านมา +2

      Kwani Watu wanavyoonesha Mtu anachomwa visu anakufa huwa anachomwa visu kweli?

    • @aishaomar2287
      @aishaomar2287 7 วันที่ผ่านมา

      ​@@busatiplus mwambie huyo

    • @Gloriazawad
      @Gloriazawad 7 วันที่ผ่านมา

      Saheel 😮😮

    • @IvonaRutha
      @IvonaRutha 6 วันที่ผ่านมา

      Mtoto akilia sana anaugua mwishowe ni kufa jamn niamini😢

    • @KulwaAndrew
      @KulwaAndrew 6 วันที่ผ่านมา

      @IvonaRutha kweli jmn

  • @JudithOboya
    @JudithOboya 7 วันที่ผ่านมา +1

    Leo hii ni ya fire fire fire 🔥🔥😂

  • @Mushizo-g5b
    @Mushizo-g5b 7 วันที่ผ่านมา +2

    Nimewai leo ❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @DaudyMassale
    @DaudyMassale 7 วันที่ผ่านมา +1

    Zuu umezid kamdomo nawewe bana😮

  • @FelistusAdhiambo-o3p
    @FelistusAdhiambo-o3p 6 วันที่ผ่านมา

    Woooow hicho kikao nimependa sana msimamo wa baba❤❤❤

  • @esterkimalio8846
    @esterkimalio8846 7 วันที่ผ่านมา +3

    Eti chiko nayeye ni handsome 😂😂😂😂 sura kama au basi

    • @aishaomar2287
      @aishaomar2287 7 วันที่ผ่านมา

      @@esterkimalio8846 🤣🤣🤣

  • @ASHANDEGWA
    @ASHANDEGWA 7 วันที่ผ่านมา +3

    We masozi mtoto wko yuko wp ,kiguu n njia mtoto uliyemzaa yuwapi

    • @aishaomar2287
      @aishaomar2287 7 วันที่ผ่านมา

      Asante mwaya kwa kuniulizia

  • @juliethrobart9430
    @juliethrobart9430 7 วันที่ผ่านมา +1

    Hii Episode ya LEO nimeielewa sanaaa❤❤❤❤

  • @UwamahoroFefe
    @UwamahoroFefe 7 วันที่ผ่านมา

    Hongereni sana Leo m'mejua kutufurahisha ep 2 kwa Siku endeleeni kama hivo,alafu zuu apana bhana umekua mtu wakupayuka sana punguza ,Kuna tatizo lkn halitatuliwi hivo ,ndoa sio mchezo

  • @Jeniferics
    @Jeniferics 7 วันที่ผ่านมา +1

    Jamani Zuu umesidi sana Utavunja ndoa yake mwenye we

  • @fatumaselemani3807
    @fatumaselemani3807 7 วันที่ผ่านมา

    Mashallah ❤❤❤❤❤mungu abaliki sana kazi zenu

  • @JimmynineManus
    @JimmynineManus 6 วันที่ผ่านมา

    Jamani Rahma jana nimemuona na kumuita kanikaushia saw

  • @StelaSamson-c1r
    @StelaSamson-c1r 3 วันที่ผ่านมา

    Nmecheka Chiko kujiita handsome boy uluuii😅

  • @IssaAbdalla-g9c
    @IssaAbdalla-g9c วันที่ผ่านมา

    Kwa mara yakwanza namuona zuu kacharuka ivyooo😂😂😂

  • @loveoldian7332
    @loveoldian7332 6 วันที่ผ่านมา +1

    kila Nyumba ina Balaa yake Busati kume kumewaka moto💥💥💥

  • @USA-n6k
    @USA-n6k 7 วันที่ผ่านมา +1

    Baba Kai anayazua mwenyewe huyo zuu kwadha macho anatoa sura bovu kaaaaaa

  • @Maryburhan
    @Maryburhan 7 วันที่ผ่านมา +3

    Ila ili rizuu linaboa sasa😢kil ckuinajidai nmebadilika lkn kidgo linapayuka

    • @tausifautini407
      @tausifautini407 7 วันที่ผ่านมา

      We acha ujinga mume anauma😏😏

  • @babysister4th
    @babysister4th 5 วันที่ผ่านมา +1

    Eti chiko ni mhandsome 😂😂kila mwanamke anaweza mtamani....ila sio huku kenya 😢😂😂😂

  • @افااقع
    @افااقع 7 วันที่ผ่านมา +1

    Waah mimi niwa 77 haya basi mlio kuwa wa kwanza nikumbukeni na mimi kwa like hata mbili tu

  • @AzizaVenansi
    @AzizaVenansi 6 วันที่ผ่านมา +1

    Chiko mim namchukia San anaharibu mov jamani🎉🎉🎉🎉🎉

  • @rosemarandu
    @rosemarandu 6 วันที่ผ่านมา

    Zuu kamdomo kamezidi 😂

  • @everlinekenga437
    @everlinekenga437 7 วันที่ผ่านมา +4

    Zuuu leo kadifuka kwel 😂😂😂😂😂

    • @aishaomar2287
      @aishaomar2287 7 วันที่ผ่านมา

      Kavurugwa

    • @riziki8406
      @riziki8406 6 วันที่ผ่านมา

      Yanauma ameshindwa kuvumilia hata ingekuwa mm singeeza japo niliomba msamaha wa dhati

  • @MariaJoseph-l9p
    @MariaJoseph-l9p 7 วันที่ผ่านมา +2

    Zuu tulia

  • @agnesssimkoko
    @agnesssimkoko วันที่ผ่านมา

    Zuu naee anakela daah

  • @EnockDaudi-n9w
    @EnockDaudi-n9w 3 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂😂😂😂😂 jaman funguen mulango achen kupigana

  • @catherinemnyani78
    @catherinemnyani78 7 วันที่ผ่านมา +4

    Kwan masoz mtt wake yuko wp

    • @sharifamahamudu182
      @sharifamahamudu182 7 วันที่ผ่านมา

      Na mm jana niliuza tumbo masoz Lipo wap

  • @GaraxcyKepten
    @GaraxcyKepten วันที่ผ่านมา

    Busati. ongezeni umakini kuna makosa mnafanya🙏🙏

  • @TeddyPaul-j3g
    @TeddyPaul-j3g 7 วันที่ผ่านมา +2

    Chikko jamni 😂😂😂😂 sjui ni muhaya so kuigiza t unaonekana unasifa kama nini

  • @DevothaMbedule
    @DevothaMbedule 6 วันที่ผ่านมา

    Nimefrah kumuona candy waliofrah naomb like

  • @zuleykhasaid967
    @zuleykhasaid967 7 วันที่ผ่านมา +1

    Ebuuu acheniii kuumiza Huyoo mtoto me tumbo linanikataa Bhna 😥😥😥

  • @AishaHamissi-e6w
    @AishaHamissi-e6w 2 วันที่ผ่านมา

    🤣🤣🤣🤣🤣 house girl ya siku izi inachekesha sana

  • @stellahwafula-tn3gd
    @stellahwafula-tn3gd 7 วันที่ผ่านมา +1

    Much love from kenya 😢😢❤

  • @EvethaSimba-i1c
    @EvethaSimba-i1c 6 วันที่ผ่านมา

    Chiko umetongozwa halafu unaringa au kwa vile huwezi kuzalisha acha porojo,Hb na madevu yako hayo,Sania friji bivu haligandishi umbea utakuponza,Zuu shusha sauti kwa bibi basi iliujue ukweli,Baba kai asantee kumteyea zuuh,Kai funguka kwa mzee sasa

  • @salmazwallo5920
    @salmazwallo5920 7 วันที่ผ่านมา +1

    Ki sania nacho ilaa kai mpuuzi nae kabulaa agee kwa utaratibuu unaanza kufoka fokaa mwambien ilii aumie yaishee cmpendii kai asaivi aliabiwa na tasha lkn akamuona hafai