Kipindi tuna kocho megeni alie ondoka mbona muliita wachezaji wa inje Kuna mchanganyiko munatumia wachezaji wa Simba na yanga tumieni wachezaji wa nje .
Ukwel usemwe kocha Hana Sifa za kuiongoza timu zaid anapanga kulingana na mazoea ya kuona wachezaji wanaocheza hapa ligi ya ndn kocha Hana cha ku offer
Kipindi tuna kocho megeni alie ondoka mbona muliita wachezaji wa inje Kuna mchanganyiko munatumia wachezaji wa Simba na yanga tumieni wachezaji wa nje .
Ukwel usemwe kocha Hana Sifa za kuiongoza timu zaid anapanga kulingana na mazoea ya kuona wachezaji wanaocheza hapa ligi ya ndn kocha Hana cha ku offer
Umeongea ukweli shida mpira wetu umeingiliwa na siasa hakuna mifumo mizuri ya kuwatengeneza wachezaji
Moo kwelii wewe unajua sokaaaa
Zaandaani kabixa😂😂😂😂
Za ndaaaaaniiiiiii! @awadhinho @blackmaradona awaitwi timunya taifa sjui kama mumemuona uyu kijana!😢