MANULA AFYEKWA NA SIMBA BILA MWENYEWE KUJUA / AYOUB ATAKIWI NA VIONGOZI ILA MIKATABA YAKE MIGUMU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 ก.ย. 2024
  • Hii ni CROWN MEDIA, 92.1 CROWN FM & CROWN TV
    Follow us on Social Media Platforms
    Instagram:
    Crown FM - / crownfmtz
    Crown TV - / crowntvtz
    Twitter (X):
    CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
    CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
    Facebook:
    CROWN MEDIA: www.facebook.c...
    TIKTOK:
    - www.tiktok.com...
    SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz

ความคิดเห็น • 54

  • @DambweRama
    @DambweRama หลายเดือนก่อน +5

    KUMESHAANZA KUCHANGAMKA 👑👑👑👑 HAPA NI NYUMBANI

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 หลายเดือนก่อน +2

    Ukimfanyia Interview Ahmed Ally uwe Makini sana ana Akili mno...He's very Bright..big up sana Kwake..💪💪

    • @user-jo5ev5fr6h
      @user-jo5ev5fr6h หลายเดือนก่อน

      Yule comedian au??

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@user-jo5ev5fr6hUTAUFYATA TU NG'OMBE WA MAZIWA NYIE YENU MAJANI TU 😂😂😂😂

  • @stanastana3199
    @stanastana3199 26 วันที่ผ่านมา

    Watangazi wanahama hama balaa sahii crown media imewachukua

  • @bbclondonulimwenguwasoka6126
    @bbclondonulimwenguwasoka6126 หลายเดือนก่อน +1

    Crown mubarikiwe sana, nawakubali

  • @user-ff1it9og8y
    @user-ff1it9og8y หลายเดือนก่อน +1

    Simba asipangwe leo Kib D huyo kabadilika kawa kama Chama na Aishi manula kapenda pesa

  • @user-us7yu2cj9l
    @user-us7yu2cj9l หลายเดือนก่อน +1

    Hao wasenge ipo siku watasema kila msemaji awe na sauti yaaina gani

  • @honestthomas1549
    @honestthomas1549 หลายเดือนก่อน

    Namna yoyote siyo yeyote

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 หลายเดือนก่อน +1

    Na manura anahusika kwenye magoli hayo na boss wake walipokua wa nachukua bahasha

  • @salumumwela5775
    @salumumwela5775 หลายเดือนก่อน

    Akili kubwa sana Ahamd

  • @jafarimatima6821
    @jafarimatima6821 หลายเดือนก่อน +1

    Zawadi ya Usaliti hiyo msishangae

  • @hamismwangwale563
    @hamismwangwale563 หลายเดือนก่อน

    Jamaa ana kichwa Sana , amed

  • @AllyMaya-yj3xd
    @AllyMaya-yj3xd หลายเดือนก่อน +6

    YAAN WEWE MWANDISHI NI MJINGA AYOUB MKATABA WAKE ULIISHA TUMEMSAJILI SASA MSIMU HUU KAMA HATAKIWI NA VIONGOZI TUMEMPAJE.
    WEWE ACHA KUONGELEA HELA ZA SIMBA ACHA KUONGELEA HASARA YA SIMBA HAIKUHUSU WEWE SIMBA INAJUA INAFANYA NN

    • @isakajunior7139
      @isakajunior7139 หลายเดือนก่อน +1

      Mwambie na Mo apunguze kulalamika timu inampa hasara kwasabbu hasara yake haituhusu

    • @kassimrajabu7805
      @kassimrajabu7805 หลายเดือนก่อน

      ​@@isakajunior7139😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @user-jo5ev5fr6h
      @user-jo5ev5fr6h หลายเดือนก่อน

      Mbona imekuuma kaka.

  • @jamalmanishi7282
    @jamalmanishi7282 27 วันที่ผ่านมา

    Ndugu zangu sivema kutukana mtandaoni kama mtu maoniyake haujayapenda msahihishe kwa hoja harafu wanasimba niwatu makini msiwaige wale wengine michezo nifuraha

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h 28 วันที่ผ่านมา

    Mtovu wa nidhamu? Mara aliporudi kutoka mafuchoni kwa hofu ya kufungwa na Yanga mkamchezesha, alichofanya kibu ni kuangukaanguka tu kiwanjani, pumnzi zero, mna kazi na uongozi weni.

  • @shaurichapote1138
    @shaurichapote1138 29 วันที่ผ่านมา

    Kwanza kuna vitu vinashangaza sijui watu wengine wana fikiliaje je simba amechaguaje kupata hasara? Simba waliomba ayoub aumie? Sijui kuna watu uchambuzi niwa wapi ndo maana jemedari kakausha tu maana nimwelewa mkubwa sana wa mpira

  • @skyscapeinternational9658
    @skyscapeinternational9658 หลายเดือนก่อน

    hapa ni nyumban

  • @thomaszadock7424
    @thomaszadock7424 หลายเดือนก่อน

    Hiyo ndo comedian wa kwanza

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 หลายเดือนก่อน

    Radio hii tupo paleeee

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything หลายเดือนก่อน

    👊👍✌️.

  • @ClassicUsed-jg6ri
    @ClassicUsed-jg6ri หลายเดือนก่อน +1

    Manula aende yanga akachukue nafasi ya diara

  • @JacksonMartin-pb2vq
    @JacksonMartin-pb2vq หลายเดือนก่อน

    😅😅😅😅hapo kumeanza kuchangamka ila ikitokea wakifungwa ndio hatari zaidi

  • @audifacejosephat7071
    @audifacejosephat7071 หลายเดือนก่อน +1

    Manula ni duka la GSM wache apambane na hali yake

    • @tofatofali9803
      @tofatofali9803 หลายเดือนก่อน

      Umeongea kimbea sana man futa hii

  • @drallan6879
    @drallan6879 หลายเดือนก่อน

    vipi mwenda Yuko wapi?

  • @drallan6879
    @drallan6879 หลายเดือนก่อน +1

    sasa Kama Ayub ameumia mlitaka tusema nini?

    • @shaurichapote1138
      @shaurichapote1138 29 วันที่ผ่านมา

      Huyo mchambuzi sijui anachambua kama hajui kama ayoub kaumia

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5l 25 วันที่ผ่านมา

    INGEKUWA HILO LIMEFANYIKA YANGA JEMEDARI ANGESEMA YANGA HAWANA WELEDI KTK USAJILI WAKE

  • @gilbertmaganga9370
    @gilbertmaganga9370 หลายเดือนก่อน

    Mnashindwa kuchambua timu zipo mahakamani zinashikiana mnachambua ujinga acheni bangi

  • @abdiharuna2818
    @abdiharuna2818 หลายเดือนก่อน

    Juma acha uongo hata jobe mlisema hvyohvyo kua mkataba wake ni mgumu kuvunjika

  • @abumuhammad9615
    @abumuhammad9615 หลายเดือนก่อน +1

    Wewe kipara ugali jemedari huna ujualo...mchukue manula umpleke dukani kwa GSM

  • @josephmwise3177
    @josephmwise3177 หลายเดือนก่อน

    Tatizo la Manula ni meneja wake anasimamiwa na mchambuzi uchwara badala ya meneja, Huwezi kuwa mchezaji mkubwa akachukuwa meneja wa kulipwa Elfu kumi kumi.

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 หลายเดือนก่อน

    Kwani kale ka tv Kenu kameishia wapi naona wote mko criwn😅😅

  • @mushtaqakram9843
    @mushtaqakram9843 หลายเดือนก่อน

    Sasa ayoub kwani walimsajili aikiwa majerui au ?si kaumia aikiwa kambini jamani kwani Simba walipanga ayoub apate injury

  • @erastocyprian3555
    @erastocyprian3555 หลายเดือนก่อน

    Jemedari lini utakuwa mtu sahii,na kusema kweli?

  • @Humanity21216
    @Humanity21216 หลายเดือนก่อน

    Ila vitu vingine bwana ety Aishi Manula hana taarifa wakati mimi shabiki tu najua watu walienda misri na wamerudi😂😂 wachambuzi mtafuteni Manula kwanini hayupo kambini? Au muulizeni Ahmed kuwa walijaribu kumtafuta muajiriwa wao kuhusiana kutokufika mazoezini??

  • @YustinoMchopa
    @YustinoMchopa หลายเดือนก่อน

    Kwani yy manula amekatazwa kuvunja mkataba?

  • @b.warron4631
    @b.warron4631 หลายเดือนก่อน +1

    Ingekuwa kipa WA yaNGA ungeongea me korosho😅😅

  • @EmanuelMwambu
    @EmanuelMwambu หลายเดือนก่อน

    Mbona Kila kitu ni Simba ,hakuna kingine Cha kuongelea.swala la timu kupata hasara linawahusu. Ongeleeni na mtibwa huko.

    • @jackmabirangacharles9398
      @jackmabirangacharles9398 25 วันที่ผ่านมา

      Panapo Ongelea ni pale panapokuwa na Shida ndio Maana pana sema

  • @ekimnkande2873
    @ekimnkande2873 หลายเดือนก่อน

    Hivi mnashindwa kumpata kiongozi wa simba kuongelea mambo ya manula

    • @salymkingungo5229
      @salymkingungo5229 หลายเดือนก่อน +1

      sasa kazi ya msemaji ni nini?

  • @Awadhharoun-hr4ir
    @Awadhharoun-hr4ir หลายเดือนก่อน

    hio mbwa jemedari haiwezi sema chochote kwan kaguswa pachpach

  • @ip_header
    @ip_header หลายเดือนก่อน

    Makipa Sita ilikupunguza magoli labda wanadaka wote ktk mechi moja

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 หลายเดือนก่อน +1

    Na manura anahusika kwenye magoli hayo na boss wake walipokua wa nachukua bahasha

    • @salymkingungo5229
      @salymkingungo5229 หลายเดือนก่อน

      kauli za kisenge hizo,kwani hujui kama Tanzania nzima tajiri namba moja ni Rais wetu wa heshima Mo!!
      sasa anashindwa kuwapa pesa wachezaji wetu!!??? sie msimu haukuwa bora kwetu so tujipange2 lakini sio kuongea kauli za kishoga,kwani Boulizdad walivyofungwa 4 klabu bingwa,walipewa bahasha?