RAIS SAMIA AMUULIZIA DIAMOND UKUMBUNI - ''NASEEB YUPO? HAYUPO! RAYVANNY? OMMY DIMPOZ?''...
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 28 ก.ย. 2024
- RAIS SAMIA AMUULIZIA DIAMOND UKUMBUNI - ''NASEEB YUPO? HAYUPO! RAYVANNY? OMMY DIMPOZ?''...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Nashanga mama hajamuwuliziya ambaye anaye Jiita 🤴 Kiba?😂😂😂
💝💞💕💖💗💘💝💟 pendaneni pendaneni Kama nilivyowapenda ninyi-yesu.
Saf mama
Roll call
Nchi Ina raisi wahovyo sana hii
Hayo nimakosa makubwa ambayo umeandika , umeupata ujasiri wapi wakumtusi raisi wa inchi nzima kwamba ni rahisi wahovyo? Ushabiki wako utakuponza siku moja, ujuwe hi ni media
Tuwe naushabiki ila nidham niyalazima kuna mtu ka comments ya kumtusi mama samia eti kisa hajamtaja kiba , kwani kiba tu ndiye hakutajwa?niwengi hawajatajwa, mimi nimeona hilo nikosa lakutokuwa na nidham, ushabiki usitufanye tunajisahau mana media sio yakuvamiya inaweza kutuponza siku moja
Jamaani hii nchi inakazi sana mda wa kwenda kuwasikiliza wasanii mnao ila yangu mchukue mamlaka kuingoza nchi kuna maeneo hamjawahi kufika na kuwataturia shida zao duh ili yatapita mungu atuongoze tutavuka.😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Eti jmn uyu kweli rais anajitambuwa uyu yn kj kwenye ujinga anaach ht kwemda jusimiliza kero n matatizo ya wnanch
Sasa mfariji wa taifa hawezi kufanya kila kitu. Ulipo kama hajafika msaidie. Atajitahidi ila hatoweza vyote peke yake
Anawasaidizi mzee, muda mwingine lazima kupumzikish akili
Ongoza ww
Wewe sisi wote tunanjaa achakulialia mtu adismart unamiliki mshukuru mungu Mbona wengine wanaokota makopo awanauwakka hata wakula ila awalili jikaze sawa Dogo shikajembe zama shamba mambo yatakuwa shwali
Naseeb nae
Hajui Alikiba😂😂😂
Yupo paris.kawapa heshima sana efm ya kuwaambia na kuwaruhusu wabandike atakuwepo
Bullshit