Mzee Ngala Bango Sounds Live Mnarani

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 มิ.ย. 2017
  • Two hours of Bango from the legend himself.
  • เพลง

ความคิดเห็น • 364

  • @abrahamzuma6554
    @abrahamzuma6554 7 ปีที่แล้ว +53

    2800 miles away from Kenya aah ,'shangazi Maria' this song reminds me of the late Mariam Mwangi.........She was the real shangazi Maria....agwiraye ndo mwenye arichaye ni uzuzuwe utamu

  • @abel-ds1xl
    @abel-ds1xl 4 หลายเดือนก่อน +5

    2024 and I'm here 😎
    This is legendary

    • @paskalinapa6177
      @paskalinapa6177 หลายเดือนก่อน +1

      💃💃💃💃

    • @abel-ds1xl
      @abel-ds1xl หลายเดือนก่อน +2

      @@paskalinapa6177 bambika 🤗🤗

    • @paskalinapa6177
      @paskalinapa6177 หลายเดือนก่อน

      @@abel-ds1xl tamu sana

  • @beatricesantajames9591
    @beatricesantajames9591 ปีที่แล้ว +1

    Aaaww wapi watu wa coast let's gather here ,tunayo harunaaaa utamu kwenda mbele

  • @bettinahmburu7955
    @bettinahmburu7955 4 ปีที่แล้ว +18

    Wapi Wale wa rabai bengo home of bango nipeni Luke

    • @suleesulee3835
      @suleesulee3835 3 ปีที่แล้ว

      Rabai tupoo sanaaa

    • @salma5016
      @salma5016 ปีที่แล้ว +1

      Walai ends hizo kifuani hubanduki wacha tu mungu azidi kumpa huyu mzee maisha marefu

    • @shilabothe7132
      @shilabothe7132 ปีที่แล้ว

      Bengo mazera Kalorien mirikinn taveta

  • @AggreyInina
    @AggreyInina 2 หลายเดือนก่อน

    🎉I admire mz ngala alongside safari sounds at paradise beach Asc those good days heko sana

  • @khadijaomar6730
    @khadijaomar6730 4 ปีที่แล้ว +12

    Izo ndio zilikua zama za bango kweli.full team..looo kweli ujana una raha..bango hoiyeee..mashabiki hoiyeee

  • @dicksonmadedangala201
    @dicksonmadedangala201 หลายเดือนก่อน

    2024 anyone?

  • @sarahnjagikagendo7362
    @sarahnjagikagendo7362 4 ปีที่แล้ว +14

    Bango sio Bango bila mzee Ngala! Much respect

  • @mzeenaaman7503
    @mzeenaaman7503 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mzee wangu,,nakumbuka mawaidha yako tukiwa sote fria town,

  • @mzeenaaman7503
    @mzeenaaman7503 หลายเดือนก่อน

    I really miss those days,,akina emmah,,

  • @athmanndeje3425
    @athmanndeje3425 4 ปีที่แล้ว +8

    LOURANCE na LILLY takes me bck when we use to snck school From Dr Kraph Bengo Rabai to Mazeras because of the Legendary Mzee Joseph Ngala...salute mtunguyaz all the way from Turkey really miss my home Bengo Rabai..home of Bango

  •  6 หลายเดือนก่อน

    That's the voice of pwani naipenda bango

  • @wilfredk1478
    @wilfredk1478 5 ปีที่แล้ว +25

    Takes me back to 1992 when i was a beach operator at Diani. A wilderness experience of some sort. God is great.

  • @catenzeki678
    @catenzeki678 5 ปีที่แล้ว +16

    Hii imenikumbusha Bakulutu...kaloleniii huu ni mtego najua wangoja kufwatuliwa

  • @suleesulee3835
    @suleesulee3835 3 ปีที่แล้ว +2

    Kwaheri daisy kwaheri daisy bye bye...Hio nyimbo yanikumbusha jamboree ukiskia hio ujue bango yafunga .Much love from DOHA QATAR

    • @catenzeki678
      @catenzeki678 3 ปีที่แล้ว +1

      yes those days wen bango wz bango.Ilikua every sundays frm 2pm mpk saa nne...ilikua raha sana

    • @suleesulee3835
      @suleesulee3835 3 ปีที่แล้ว +1

      Kabisar catherine

  • @ednahsaru3759
    @ednahsaru3759 4 ปีที่แล้ว +4

    The legend,bango bila mzee Ngala si bango utamu mtupu.....kiuno 2

    • @jamalaggrey5032
      @jamalaggrey5032 3 ปีที่แล้ว

      Kbssa bila jasho.. Ndio zanliwaza huku Qatar

  • @mabubaeasther5886
    @mabubaeasther5886 4 ปีที่แล้ว +11

    Can't get enough of dis,uuuiiiiih! kweli miaka yasonga.rhumba bila jasho.

  • @rahmakombo3641
    @rahmakombo3641 5 ปีที่แล้ว +8

    Jamani mzee ngala mwenyewe wanikumbusha mbali. Mwenyezi mungu akupe afya na umri mrefu uzidi kutu tumbuiza.

  • @Markfeehily426
    @Markfeehily426 3 ปีที่แล้ว +5

    Mzee Ngala hoyeee all the best and long life great 🎶🎵

  • @Nizzalious
    @Nizzalious ปีที่แล้ว +12

    2023 anyone? Leave a mark

    • @shazylatifa7332
      @shazylatifa7332 7 หลายเดือนก่อน +1

      December 12😊😊

  • @pendokesi3977
    @pendokesi3977 6 ปีที่แล้ว +13

    Hongera mzee wetu....

  • @yarahstaste104
    @yarahstaste104 ปีที่แล้ว +15

    I can say bango is our identity as the mijikenda community❤️‍🔥. Bango sio bango Bila Ngala Family🔥… the saxophone in bango is just the whole vibe that u will never get anywhere on this earth🤌🏽. #bangoforlife #mpakachee #specialrequest #unanikumbushabarsheba #bangobilawewesiobango. Much respect 🫡 🇰🇪❤.

    • @Klelcken
      @Klelcken ปีที่แล้ว

      Usitufungie nje.. mimi wako 'MLAMU WA TARARE"

  • @edmondmugambi6657
    @edmondmugambi6657 4 หลายเดือนก่อน +2

    2024 and still nostalgic

  • @mathewrutto9362
    @mathewrutto9362 3 ปีที่แล้ว +4

    Hapo 19:20 Mzee ngala brings back good memories. 2020 here in Georgia USA.🤔

  • @marionmcguire2713
    @marionmcguire2713 ปีที่แล้ว +3

    Malindi is our home, loving the music

  • @bridgetbonya7459
    @bridgetbonya7459 3 ปีที่แล้ว +3

    All the way from USA. Ama kweli muziki mtamu wa bango halisi ni dawa ya stress. Niusikiapo moyo wangu huzizima kama maji ya mtungini. Hongera Mzee Bango kwa kugusa mioyo yetu. Mungu aendelee kukubariki.

  • @ericmvex3300
    @ericmvex3300 ปีที่แล้ว +8

    i seriously need this two to perform before me at my wedding i realy love this

  • @rodgerswitila1094
    @rodgerswitila1094 5 ปีที่แล้ว +4

    ###254-kenya---###255- Tanzania Zanzibar na kanda Africa mashariki kwa ujumla

  • @habilotanga
    @habilotanga 3 ปีที่แล้ว +6

    Mambo ndo haya eti. Reminds me of my brother from a Rabai mother - the one and only Saddam Isele aka Ahmed Hassan wa Mazeras. Our days at Kenyatta University in the 90's made more sense with bango.

  • @najmafeisal4680
    @najmafeisal4680 4 ปีที่แล้ว +10

    Auuuuch my heart.wanachama oyeeeeeee.miss those moment.

  • @levimutie5076
    @levimutie5076 2 ปีที่แล้ว +6

    Who's around these streets in 2022

  • @catenzeki678
    @catenzeki678 5 ปีที่แล้ว +3

    Sikia utamu wa saxo.LONG LIVE MZEE NGALA😗😗😗😗

  • @catenzeki678
    @catenzeki678 5 ปีที่แล้ว +22

    Wow!This is when bango wz bango acha xa i.When bango sounds crew wote walikua pamoja Mzee Ngala kina Mozenga,Chai,Sande pojo,Matano Ngao,Manu de bango n lead singer wz Jimmy Ngala.Ni jeri kare kayuya

    • @dmcngoma4350
      @dmcngoma4350 3 ปีที่แล้ว

      Yani acha tu

    • @catenzeki678
      @catenzeki678 3 ปีที่แล้ว

      @@dmcngoma4350 Ilikua raha sana

    • @stanleytsofa7143
      @stanleytsofa7143 2 ปีที่แล้ว

      You've said it mbna hawarudi pamoja haw watu wakaturudisha huko hii ndo mizizi

    • @catenzeki678
      @catenzeki678 2 ปีที่แล้ว

      @@stanleytsofa7143 Ata mimi sielewi...wanatukosesha raha

    • @sulehmanariek2865
      @sulehmanariek2865 2 ปีที่แล้ว

      @@catenzeki678 Catherine haha

  • @jamalaggrey5032
    @jamalaggrey5032 3 ปีที่แล้ว +1

    Team Qatar... Bila jasho... Mama zowea miss those days

  • @binttsulu647
    @binttsulu647 2 ปีที่แล้ว

    Niko hapa 2022 ,, jamani nenda nalo sawa ,, stress nitoe wapi mzee mwenyewe ngala kazitoa,, roho katulia sina ata bugda mambo yako sawa or shwari kama bahari🤗🤗🤗🤗🤗😍😍much love bango

  • @priscillahbakari5185
    @priscillahbakari5185 2 ปีที่แล้ว +5

    Feeling relaxed and at peace as I listen to bango music....missing home from diaspora

  • @bongetpinto2742
    @bongetpinto2742 4 ปีที่แล้ว +6

    safi sana, nimekutana na mtoto wake Tanzania
    nae ni mwanamuziki mzuri sana he plays saxophone and bass guitar

    • @aliuali4690
      @aliuali4690 7 หลายเดือนก่อน

      Kilonga ngala is doing greet in zanzibar

  • @rodgerswitila1094
    @rodgerswitila1094 5 ปีที่แล้ว +4

    Akurehemu Mwenyezi Mzee wetu Ngala Mwenyewe!!

  • @nicksonbandari9932
    @nicksonbandari9932 8 หลายเดือนก่อน +1

    takes me since 1998❤❤✔👍

  • @josephtvshow7467
    @josephtvshow7467 5 ปีที่แล้ว +11

    King of Bango in kenya thumbs up Mzee Ngala.

  • @mwambajisaidi6116
    @mwambajisaidi6116 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mzee ngala ndio rumba yani rumba bila jasho sikia utamu yani utamu mtupu rumba hadi chee

  • @dmcngoma4350
    @dmcngoma4350 3 ปีที่แล้ว +3

    Aki Niko free town home kwenye bango lenyewe 😭 how I miss home

  • @benedictmaghanga5815
    @benedictmaghanga5815 ปีที่แล้ว

    Tuko na Mzee Leo 28th Jan 2023 live at tudor paradise

  • @Mamas-world
    @Mamas-world 2 ปีที่แล้ว +1

    No one, no one like Mzee Ngala mwenyewe.
    Yaaani H A K U N A!

  • @muyemuye1325
    @muyemuye1325 ปีที่แล้ว +2

    Legend of legends.hii mix hunikumbusha bamburi water sport haki enzi hizooo.kare kayuya asenani

    • @ismaelmatano3571
      @ismaelmatano3571 ปีที่แล้ว

      Hahaha.... Tuko sote water sport na jamboree

  • @bijahaathman1016
    @bijahaathman1016 2 ปีที่แล้ว +1

    Kwanini tu huzunike sababu hatuja pata,yataka ushukuru ukipata na ukikosa 🙏🙏🙏

  • @elizabethwambui4730
    @elizabethwambui4730 3 ปีที่แล้ว +4

    This songs made me fall in love with mombasa status grill mtwapa

  • @kotekitunyerezii5189
    @kotekitunyerezii5189 4 ปีที่แล้ว +15

    Our culture Our heritage💯🔥🔥🔥🎷🎷🎷🎺🎺🎺🎹🎹🥁🥁

  • @anneamor6192
    @anneamor6192 4 ปีที่แล้ว +5

    Long live mzee ngala our legendary

  • @aliuali4690
    @aliuali4690 7 หลายเดือนก่อน

    Miaka inasonga sana isee …enzi hizo jamboreee .Duuuh pumzika kwa Amani kaka mkubwa Fadhili outer Barisheba …these songs remainds me a lot about you my brother ..till we meet a gain!

  • @bettinahmburu7955
    @bettinahmburu7955 4 ปีที่แล้ว +10

    East West Bango is the best....wapi high table Mfalme Rough...Mwinga...Bashir...aitwa

  • @FionaNafula
    @FionaNafula 4 หลายเดือนก่อน

    Ndugu mwavunja urafiki hatupendani

  • @ericalube7902
    @ericalube7902 2 ปีที่แล้ว +2

    Just loving bango,my memories when i lived in malindi....mashabiki hoyeeeee!!

  • @mohamedkassim9320
    @mohamedkassim9320 3 ปีที่แล้ว +3

    Nyimbo za kuliwaza, za enzi za mapenzi ya kuzubaishana yaani enjoyment bila vikwazo wala seriousness. Hayapo tena.

  • @lydiasalama7506
    @lydiasalama7506 5 ปีที่แล้ว +16

    Old school bango ndio mambo yote jamani!❣❣..

  • @thehouseholder5468
    @thehouseholder5468 5 ปีที่แล้ว +19

    Hi I’m edith, Mariam,s sister , I live in the England now with my English husband but your comment brought a tear to my eye as I miss my beloved sister Mariam so much , thank you for the memories 🤗

  • @medzamtana6406
    @medzamtana6406 2 หลายเดือนก่อน

    in 2024 we are still here!

  • @manuenatty821
    @manuenatty821 3 ปีที่แล้ว +3

    We should hang out with Mzee Ngala and listen to this good music once more..... "Wavuka maji ya Shingo ukitumia fimbo, mwishowe ni wewe.... "

  • @joygitau16
    @joygitau16 5 ปีที่แล้ว +8

    I love bango and I miss Mombasa so much..Mombasa paradise kikambala year 2008-2009☺️✌️

    • @samuelnjogu5093
      @samuelnjogu5093 ปีที่แล้ว

      Same to me at mtwapa and mnarani kilifi

  • @najmafeisal4680
    @najmafeisal4680 4 ปีที่แล้ว +2

    Mfalme wa bango💕+974.......na miss home jaman.

    • @jamalaggrey5032
      @jamalaggrey5032 3 ปีที่แล้ว

      Acha tuu.. Bango ondoa stres za waraabu.

  • @issahyusuf3789
    @issahyusuf3789 5 ปีที่แล้ว +5

    Mashabiki hoiyeeeeee @ Jimmy Ngala & dad Joe yuummmyyy

  • @roserositah7908
    @roserositah7908 5 ปีที่แล้ว +7

    i love bango cant wait to enjoy in Voi on 31st March......

  • @suleimantita7517
    @suleimantita7517 ปีที่แล้ว +1

    It's 2023, still fresh ❤️
    Iyo ngoma at 10:47 😓

  • @sirhamisimaarufa501
    @sirhamisimaarufa501 ปีที่แล้ว

    naomba wimbo huo wa bango yamenichosha mwangu unaitwaje

  • @anandadouglas5958
    @anandadouglas5958 5 ปีที่แล้ว +7

    # 254 Zilipendwa
    KING OF KINGS

  • @billyharrison3905
    @billyharrison3905 6 ปีที่แล้ว +9

    Agwiraye ndo mwenye arichaye ni uzuzuwe.

  • @sturbbornvideoz8547
    @sturbbornvideoz8547 11 หลายเดือนก่อน

    Miss bango 😢 missing home

  • @user-vb3te1ig9g
    @user-vb3te1ig9g 2 หลายเดือนก่อน

    🎉🎉🎉Old is Gold.. Aaaaah mazoea ya moyoni ntashika mtigani mazoea mazoea mpenzi wangu naumiaaa sasa yaniletea majuto😢

  • @CellahChoge.
    @CellahChoge. 5 ปีที่แล้ว +6

    Bango my daily cup of coffee..

  • @estheranitamwachinga3505
    @estheranitamwachinga3505 2 ปีที่แล้ว +1

    Mziki bila Jasho
    Just amazing 👌👌

  • @itsnajma
    @itsnajma 6 ปีที่แล้ว +9

    Bango hoyeee miss home,nakumbuka mambo mengi tu alot of memories with these songs

  • @veronicagros9419
    @veronicagros9419 ปีที่แล้ว

    10,000 miles away jameni mzee ngala wanikumbusha years back 1999 bango night hapo malindi market village. Memories

  • @mapenzishutu8865
    @mapenzishutu8865 5 ปีที่แล้ว +5

    Mazoea ya moyoni nitashika mtigani....

  • @maqbullkareem6147
    @maqbullkareem6147 2 ปีที่แล้ว +1

    Wanikumbusha mjombangu marehemu Hendry 'Karume' kalume mungu amlaze mahali pema penye wema Ameen.. MZEE NGALA MWENYEWE 🎼🎵🎶🎷🎸🎹🥁🎺🎤🔊

  • @puritywangari7739
    @puritywangari7739 5 หลายเดือนก่อน

    Pray for me and my family

  • @leonardmutisya8472
    @leonardmutisya8472 6 ปีที่แล้ว +7

    Finally we have a collection...nyimbo nzuri !

  • @ondusoshens7728
    @ondusoshens7728 4 ปีที่แล้ว +4

    Bango Bango......smooth n sweet.

  • @mamujally3814
    @mamujally3814 6 ปีที่แล้ว +5

    Japo mwituni kuna ndege wengi,mmoja kama we sioni..
    Missing +254.....

  • @wilsonmutisya3373
    @wilsonmutisya3373 3 ปีที่แล้ว +1

    Sidi na Tuva utunzi maridhawa Sana good morning...!!

  • @MICHARAZOKE
    @MICHARAZOKE 2 ปีที่แล้ว +4

    miles away from my country and enjoying the mzeeI can't wait to come and enjoy more of it

  • @emilymahero1124
    @emilymahero1124 6 ปีที่แล้ว +9

    Natamani nyumbani😢😢.These songs remind me of my Aunt Foleni.May she rest in peace

    • @jazmin4537
      @jazmin4537 6 ปีที่แล้ว

      emily mahero pole da

    • @samorahbanderas8767
      @samorahbanderas8767 3 ปีที่แล้ว

      Nakumbuka pia Nikicheza bango kwake Nyumbani Mwembe tayari hapo 😢😢

  • @khadijaomar6730
    @khadijaomar6730 4 ปีที่แล้ว

    Mzee ngala wanikumbusha mbali.home sweet home254..from Qatar

    • @mamakerukiya331
      @mamakerukiya331 4 ปีที่แล้ว

      Haha rudi sis. Mi nita kupeleka oneday .

  • @sophiahmedza929
    @sophiahmedza929 6 ปีที่แล้ว +6

    Far from home enjoying my evening

  • @issahyusuf3789
    @issahyusuf3789 5 ปีที่แล้ว +2

    Wooooww ,@ mzee ngala ,,,& Jimmy Miss's u much guys #/ bango soundz hooiyeeee

  • @susanmage742
    @susanmage742 3 ปีที่แล้ว +1

    Auch!!!!huu wimbo umemusha goosebumps mziki bila jasho wakati mziki ulkua mziki ...wacha za ckuizi watu wanaruka kama chura!!!

    • @catenzeki678
      @catenzeki678 3 ปีที่แล้ว

      ata zinaboa

    • @catenzeki678
      @catenzeki678 3 ปีที่แล้ว

      Old is Gold

    • @cyrusorumi7680
      @cyrusorumi7680 2 ปีที่แล้ว

      Mitindo huja na hupita but bango ipo mahali pake

  • @fatmahawa1564
    @fatmahawa1564 5 ปีที่แล้ว +3

    Long live king mzee ngala

  • @joleenmasha
    @joleenmasha 5 ปีที่แล้ว +5

    Mbona zanikumbusha nyumbani nyimbo hizi bango bango

  • @gracioushaggai5486
    @gracioushaggai5486 3 ปีที่แล้ว +3

    Bango songs I love them...😘

  • @mudyseosman1708
    @mudyseosman1708 3 ปีที่แล้ว +6

    Am in love with this kind of music it's so relaxiive

  • @user-nk6zg5hr9d
    @user-nk6zg5hr9d 2 หลายเดือนก่อน

    Kipenzi b❤🥰2024💥

  • @iwonder_tk
    @iwonder_tk 4 ปีที่แล้ว +5

    Oh home...can't wait to see you soon!

  • @maikonyakundi4209
    @maikonyakundi4209 2 หลายเดือนก่อน

    Hizi record/misiki ya mzee Ngala, I Ani kumbusha wakati nilikuwa mdogo. Na mawaidha yake yadumu milele.

  • @yaangoka5903
    @yaangoka5903 4 ปีที่แล้ว +3

    Long Live Mzee

  • @umbeaeastafrica7943
    @umbeaeastafrica7943 6 ปีที่แล้ว +20

    I love bango music to the moon and back.

  • @wilsonmutisya3373
    @wilsonmutisya3373 3 ปีที่แล้ว +1

    Wapi Alex Maitha mwanabango mwenzagu kutoka Freretown...!!

  • @seniordecanzhen7897
    @seniordecanzhen7897 6 ปีที่แล้ว +4

    Sunthruru......... mbal c mbal tena iwapo ahadi.....apoooooh

  • @shilabothe7132
    @shilabothe7132 ปีที่แล้ว

    Happy Babu Manuela Sari bengo kwakina suzeni

  • @user-nk6zg5hr9d
    @user-nk6zg5hr9d 2 หลายเดือนก่อน

    Baragumu❤❤❤❤2024

  • @agnesmunga8625
    @agnesmunga8625 5 ปีที่แล้ว +5

    nakumbuka rabai mkapuni, ukiwaona wape salamu zangu

  • @kivulivillas
    @kivulivillas 2 ปีที่แล้ว

    Tamu za maishani.machero ndauka mamaaa huku mbali mwenzenu ndani ya Uswiss. Narudi kwetu Diani mimi....